Watanzania wanawatumia wakenya kama kilinganishio (benchmark) cha maendeleo

Huyo ni Mtz mwenzako
 
tanzania njaa ni historia, hatuwezi lingana na nyie mapopoma mnaojisifu mnauchumi mkubwa akati hamuwezi gharamia chakula mpaka mpewe chakula cha msaada.
Nigeria ina uchumi mkubwa mara nne ya Kenya na wao pia hawajitoshelezi kichakula.
 
Huo utajili mlionao hamuoni hata aibu kujisifia kwa upumbavu.

https://www.google.com/url?sa=t&sou...AxAB&usg=AOvVaw0MOlf5j_KTF3dOhmsuEqgO&ampcf=1
 
 
Ile stigler's gorge imekufa kifo cha mende sindio?

kazi iko fire huko, tuko kwenye tunels za kuchepusha maji ili yatupishe tufanye kazi ya $blns.

ile likoni imekufa kifo cha mbu😆😆😆.
mnaua project za shilingi mbili mbili, na bado mnataka kujiinua mbele ya wakubwa wenu.
 
Naskia ndugu zako wanakula kinyesi 😂😂

ungekuwa reasonable kidogo ungekumbuka mavi huja mtu anapokuwa amekula.

ni kama kusema kenya hata mavi ya kukunya mkule hayapatikani😭😭😭😭
 
ungekuwa reasonable kidogo ungekumbuka mavi huja mtu anapokuwa amekula.

ni kama kusema kenya hata mavi ya kukunya mkule hayapatikani😭😭😭😭
Mnakula mavi na nyama ya Albino combination hatareee🤮🤮
 
Wakenya huwa hatuna muda na mataifa masikini kama Tanzania. sisi huwa tunawaona Watanzania kama wehu wa kiana flani hivi........
Dah...naona una kichwa chepesi sana kusahau...kule twitter wakenya walianzisha ''UkaidiwaMagufuli''...hakuna chombo chochote cha habari kilichowahi kumjadili Rais Uhuru...lakini vya Kenya vilimnanga Rais Magufuli hasa alivyolichukulia janga la covid19......
Tatizo Wakenya ama hamna taarifa za kutosha kuhusu Tanzania...au mnapotoshwa kwa makusudi kuhusu Tanzania...ndiyo maana watanzania wameamua kuwaambia ukweli...tena kwa maslahi yenu wenyewe ....
 
Naona replies ziko tofauti sana na swali 🤔🤔🤔, nilitegemea mtajibu nchi mfano senegal, ethiopia, n.k
 
Naona replies ziko tofauti sana na swali 🤔🤔🤔, nilitegemea mtajibu nchi mfano senegal, ethiopia, n.k
Senegal na Ethiopia ni ligi zenu. Ligi yetu South Africa, Egypt, Morocco, Tunisia, Algeria na kidogo kidogo Namibia.
 
tanzania njaa ni historia, hatuwezi lingana na nyie mapopoma mnaojisifu mnauchumi mkubwa akati hamuwezi gharamia chakula mpaka mpewe chakula cha msaada.
Chakula hicho Cha msaada kinawaleta huku omba omba, majahaba, Magaidi, na wakora wakora wa Tz.
 
Chakula hicho Cha msaada kinawaleta huku omba omba, majahaba, Magaidi, na wakora wakora wa Tz.
endeleeni kuchemsha mawe maana ndo maisha yenu, kila mwaka watu wanakufa na njaa alafu jukwaani mnajisifia uchumi mkubwa, hivi hamuonagi aibu nyie nyang'au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…