Watanzania wangapi wanaufahamu mchango wa Tundu Lissu kwa Taifa?

Watanzania wangapi wanaufahamu mchango wa Tundu Lissu kwa Taifa?

Escrowseal1

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2014
Posts
4,618
Reaction score
4,605
Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.

For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.

Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.

Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.

In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.

Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.

Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
 
Niko UNDP kwa sababu ya huyu Mwamba nakumbuka alipokuwa LEAT he encourage us tukiwa internship AWF madogo tuliobobea katika UHIFADHI wa MAZINGIRA..long life KAMANDA...Katiba Mpyaa iko jikoni inamotela
Nilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
 
Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake .

For some reasons akitokea kwenye mijadala you tube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake .

Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu wakikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti , ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.

Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.

In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi .

Samahani ndg Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.

Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi
Wewe na mwendazake, unaleta mada na majibu yake!
 
Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake .

For some reasons akitokea kwenye mijadala you tube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake .

Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu wakikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti , ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.

Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.

In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi .

Samahani ndg Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.

Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi
Kwenye swala la madini wengi hawakumuelewa na hawamuelewi Lissu, na sababu kubwa ya kugomwelewa ni uvivu wa kusoma, Lissu kwenye sekta ya madini alianza kuisemea miaka ya 1990s, akikataa style ya uwekezaji uliojikita kuumiza, kudhulumu na hata kuua wachimbaji wadogo! (Soma article yake inaitwa "The golden opportunity" -Tundu Lissu na Curtis

Walichofanya viongozi wengi kwenye madini ni kuudanganya umma kupitia kuunda "kamati" lakini ukweli ni kwamba mzizi wa tatizo kwenye sekta hii umeendelea kulindwa kwa nguvu za dola!
 
Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake .

For some reasons akitokea kwenye mijadala you tube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake .

Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu wakikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti , ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.

Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.

In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi .

Samahani ndg Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.

Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi
Tupo akina sisi, tulio soma nae sekondari, tuliwaletea historia yake humu Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

Na ni akina sisi, ndio tulimshauri Tundu Lissu
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na hata baada ya zile pyu pyu ni akina sisi tulimshauri arejee nyumbani Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

P
 
Tundu Lissu ni mmojawapo wa Tanzania wenye akili nyingi sana niliowahi kuwaona nchi hii panapo masuala ya Historia, Sheria na Katiba. Lissu anaishi miaka miaka mingi sana mbele ya Watanzania wengi.
Hii nchi haikumstahili
Long live Tundu Lissu.
 
Wewe huwezi kumshauri kitu cha maana Tundu Lissu, yule mtu sio wa league yako kabisa, kwa kila kitu. Maarifa, ujuzi, principles na msimamo.
 
Nilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
Wapi na lini ameunga mkono ushoga na kuchaguliwa kuwa balozi wa mashoga? Utakuwa choko wewe si bure, na siku ya kuzaa utawapa shida wakunga
 
Ila mashoga na wasagaji wamejaa CCM...
Kweli mkuu
Screenshot_20210126-171647.jpg
FB_IMG_1603615079875.jpg
tapatalk_1570946898001.jpg
FB_IMG_1570960151009.jpg
tapatalk_jpeg_1571937092693.jpg
 
Wewe huwezi kumshauri kitu cha maana Tundu Lissu, yule mtu sio wa league yako kabisa, kwa kila kitu. Maarifa, ujuzi, principles na msimamo.
Mkuu Yoda , no one is perfect. Hivyo pamoja na ubingwa wote wa sheria wa Tundu Lissu, he is a human being, can't be perfect kwenye kila kitu, na mimi kwa upande wangu, kiukweli ni kilaza, ila kuna sometimes bingwa anakuwa wrong na kilaza anakuwa right!.

Angalia nyuzi hizi mbili muone jinsi Bingwa was wrong na kilaza was right

Kosa la pili ni kwenye kuupinga udikiteta

Na hata kwenye kuwasilisha hoja, kuna kitu kinaitwa kuropoka!. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

P.
 
Niko UNDP kwa sababu ya huyu Mwamba nakumbuka alipokuwa LEAT he encourage us tukiwa internship AWF madogo tuliobobea katika UHIFADHI wa MAZINGIRA..long life KAMANDA...Katiba Mpyaa iko jikoni inamotela
Aliifilisi LEAT akiwa na Legemeleza Nshala, mpaka Leo wafadhili hawataki kabisa kuisikia
 
Back
Top Bottom