Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,042
- 1,917
Heeeeeee 😁 mbona mwenezi nae kwenye kundi maalum kulikoni ?
Toa umb*a katika michango yakoNilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
Huyo Tundu Lissu mnaye mkebehi kwa taarifa yenu ndiye authority ya Sheria za Madini Tanzania pamoja na Mholanzi mmoja. Nahisi hata Adellaide Killangi ambaye Alikuwa ni AG wa Magufuli amemnukuu Tundu Lissu mara 15 kwenye Thesis yake ya PhD.Alijitahid saana kuleta uchoko... Now naona kama anaanza fanikiwa.
Alijitahid kutuchonganisha na mataifa makuubwa, now kasahaulika.
Aliitangaza nchi vibaya.
Weka hapa ushahidi wa kuunga mkono maana wabongo hata ukisikia unasema nimeona na nilikuwapo.Nilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
Porojo.Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.
For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.
Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.
Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.
In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.
Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.
Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
The dude is a true patriot ,naomba msiwashangae wanaoendelea kumbeza kwani hawako well informed kama nilivyokuwa mpaka nilipokutana na historia yake you tube nika surrender in short anapaswa kuheshimiwa na watanzania japo tuna utamaduni wa kusifia mtu akitwaliwa. From now namheshimu hasa mazingira ya wakati wa mbabe Ben. Wengi wa vijana mawaziri ndani ya CCM wanabebwa kwa ukada have nothing to compare na huyu MwambaHuyo Tundu Lissu mnaye mkebehi kwa taarifa yenu ndiye authority ya Sheria za Madini Tanzania pamoja na Mholanzi mmoja. Nahisi hata Adellaide Killangi ambaye Alikuwa ni AG wa Magufuli amemnukuu Tundu Lissu mara 15 kwenye Thesis yake ya PhD.
Hata tume ya Prof Osoro na Prof Mruma, Judge Bomani hamna hata mmoja wao ambaye hajanukuuu machapisho ya Tundu Lissu.
Mwanafunzi au mtafiti yeyote atakayefanya tafiti, iwe ya Masters au PhD kwenye eneo la Sheria za mazingira na madini, atakapofika kwenye chapter ya Literature Review hawezi kuacha kumnukuu Tundu Lissu. Ukikwepa kumnukuu Tundu Lissu na ukapata hiyo Cheti yako utakuwa hujawiva wewe na Supervisor wako.
Kimsingi kabla ya Tundu Lissu hamna Mtanzania alikuwa ameandika kwa undani juu ya Sheria za madini zinavyonufaisha nchi za kigeni kuliko wazawa. Na mapendekezo ya nini kifanyike ambayo ndiyo yametawala kwenye recommendations za Tume ya Bomani, Osoro na Mruma
Unatumika Nyuma ya nyumba wewe!!!Nilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
Ila mashoga na wasagaji wamejaa CCM...
Inasemekana....Mrithi wa Mzee wa V8 kakusikia.
Muna siku walihutubia Samia na Lissu siku moja muda mmoja. We watched the differences.Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.
For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.
Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.
Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.
In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.
Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.
Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
Duuh na wewe ni great thinker?Nilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
sahihi Bwana Pascal.Mkuu Yoda , no one is perfect. Hivyo pamoja na ubingwa wote wa sheria wa Tundu Lissu, he is a human being, can't be perfect kwenye kila kitu, na mimi kwa upande wangu, kiukweli ni kilaza, ila kuna sometimes bingwa anakuwa wrong na kilaza anakuwa right!.
Angalia nyuzi hizi mbili muone jinsi Bingwa was wrong na kilaza was right
Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
Wanabodi, Kanuni ya Kuu ya Kwanza kwa mwanahabari yoyote ni to tell nothing but the truth. Naomba kuitumia kanuni hii kuwaambia Chadema, they were wrong!, walikosea!. Ukikosoa makosa yoyote, toa na mapendekezo ya kurekebisha makosa hayo. Hivyo Chedema kwanza wakiri makosa, pili wakubali yaishe...www.jamiiforums.com
Kosa la pili ni kwenye kuupinga udikiteta
Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Wanabodi, Declaration of Interest, japo mimi Paskali, ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini hoja zangu zote hutanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kuzitoa truthfully, with objectivity, impartiality na balance bila bias ya ukada wangu, nimetoa angalizo hili kwa vile watu humu wana vyama vyao...www.jamiiforums.com
Na hata kwenye kuwasilisha hoja, kuna kitu kinaitwa kuropoka!. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
P.
Tundu Amewatendea wema watu wengi sana. Aliwakomboa watu waliopaswa kupewa vifungo magerezani kwa kesi za michongo.Tundu Lissu ni mmojawapo wa Tanzania wenye akili nyingi sana niliowahi kuwaona nchi hii panapo masuala ya Historia, Sheria na Katiba. Lissu anaishi miaka miaka mingi sana mbele ya Watanzania wengi.
Hii nchi haikumstahili
Long live Tundu Lissu.
Ana mchango kwa watu binafsi kuliko Nchi.Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.
For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.
Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.
Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.
In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.
Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.
Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
Lissu alisema mgogoro wa Barrick/ Accacia na Makinikia utaleta shida na hatutaambulia kitu twende kwa mujibu wa sheria na mazungumzo. Kuna watu wakabisha na kushupaza shingo.Kwenye swala la madini wengi hawakumuelewa na hawamuelewi Lissu, na sababu kubwa ya kugomwelewa ni uvivu wa kusoma, Lissu kwenye sekta ya madini alianza kuisemea miaka ya 1990s, akikataa style ya uwekezaji uliojikita kuumiza, kudhulumu na hata kuua wachimbaji wadogo! (Soma article yake inaitwa "The golden opportunity" -Tundu Lissu na Curtis
Walichofanya viongozi wengi kwenye madini ni kuudanganya umma kupitia kuunda "kamati" lakini ukweli ni kwamba mzizi wa tatizo kwenye sekta hii umeendelea kulindwa kwa nguvu za dola!
HahahaaaaaTunaomba picha ya huo uapisho au barua otherwise wewe ndio balozi mwenyewe wa haya uliyoyataja
Ndio maana tunataka apewe fursa mchango wake usambaeAna mchango kwa watu binafsi kuliko Nchi.
Fursa kama ipi?Ndio maana tunataka apewe fursa mchango wake usambae