Kama unamuwazia hivyo serikali yako ichukie haraka sana.Nilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
majungu !!Nilikuwa namkubali sana hadi alipotamka kuwa anaunga mkono ushoga ndipo nilipomtoa thamani na sasa baada ya kusikia ameteuliwa kuwa balozi wa ushoga Tanzania na Afrika kwa ujumla ndio kabisaaa
Zile ID mbili zimeshakula tofali bado hiiHata kuolewa na amsterda nao ni mchango mzuri tu
Na aliyetoa amri ya shambulizi leo yuko motoni anabanikwa kama ndafuTundu Amewatendea wema watu wengi sana. Aliwakomboa watu waliopaswa kupewa vifungo magerezani kwa kesi za michongo.
Baraka za watu zilimponya tar 7 sept 2017.
Hana mchango wowote kwa TaifaNimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.
For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.
Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.
Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.
In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.
Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.
Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
LEAT ilifilisiwa na Lissu na wenzake! Au hutaki?We nyuma ya nyumba tulia...
Naijua sana mpaka matawi yao mikoani.Hujui kitu umejaza chuki za kishamba tu
Ndugu yangu, TAL ni kati ya watu wachache sana Tanzania wenye uzalendo unaotisha, upendo wa ajabu, huruma ya aina yake. Wenzangu wa Nyamongo tunamkumbuka sana kwa makuu aliyotufanyia. Anayemzidi kwa mbali ni Mungu Mwenyezi tu. Aliwahurumia washitaki wake Dodoma. Hii ndiyo sababu amebaki hai na kupewa nafasi nyingine ya kuishi hapaduniani. Ni jasiri ajabu.Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.
For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.
Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.
Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.
In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.
Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.
Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
Hili la Lissu kuwa best compared, halina ubishi, hata mimi nimelisema hapa Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!sahihi Bwana Pascal.
Pamoja na mambo yoote bado Lissu can be a best Candidate as compared to......
Lisu ndo ameituliza bahari, kitendo cha yeye kugombea uraisi kilimpelekea mauti yule nduliNimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.
For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.
Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.
Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.
In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.
Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.
Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
Nduli ameondoka,wapambe wanalia njaa na ukiwa.Lisu ndo ameituliza bahari, kitendo cha yeye kugombea uraisi kilimpelekea mauti yule nduli
Ulidadavua vizuriHili la Lissu kuwa best compared, halina ubishi, hata mimi nimelisema hapa Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
P
Tundu Amewatendea wema watu wengi sana. Aliwakomboa watu waliopaswa kupewa vifungo magerezani kwa kesi za michongo.
Baraka za watu zilimponya tar 7 sept 2017.
Utakuwa ulikuja mjini kusoma wewe.Nimemfahamu ndg Tundu Lissu at least 2008 nikiwa chuo. Sijawahi kusoma historia yake. Nilipenda speed yake kama kijana hasa akiwa bungeni lakini as time went on nikawa nalose interest na baadae nikampuuza kabisa nikawa sina interest nae hasa upinzani wake kwenye ku reshuffle mikataba ya madini na msimamo wake mkali kwa mambo mbali mbali kwa sababu binafsi nilimkubali mwenda zake na speed yake.
For some reasons akitokea kwenye mijadala youtube huwa siachi kumsikiliza mpaka mwisho kwani uwezo wake wa kujenga hoja ni mkubwa. Karibuni nikakutana na historia ya maisha yake.
Sijawahi kufikiri kuwa anaweza akawa ametoa mchango mkubwa kama niliousikia kwenye historia yake hasa baada ya masomo yake ya masters. Antipas alipigania wanyonge enzi ambazo watu walikuwa hawapazi sauti kama leo aligombania wanyonge wasiokuwa na sauti, ni wakati haya makampuni makubwa yalikuwa yakikingiwa kifua na watawala kwa kigezo cha uwekezaji.
Nakitafuta kitabu chake huyu Antipas niendelee kujifunza maana huo uzalendo ninatamani auendeleze hadi leo hasa kwenye mambo genuine ya kuhakikisha masilahi ya nchi yanalindwa katika angle mbalimbali kwani kwa mambo ya karibuni nilimdefine kama yuko against na masilahi ya nchi.
In short naweza kusema kuwa TAL ni mzalendo ila anaweza akawa ameuvuruga uzalendo ukaminywa na mtindo wa ku politicize hata mambo mengi ya msingi.
Samahani Ndg. Tundu kwa kutokuujua mchango wako na kuwa against na naamini watanzania wengi hawajui mchango wako katika kudeal na mafisadi ya CCM enzi zako.
Ninachoweza kukuunga mkono ni kununua kitabu chako sijui wapi ili kukujigunza zaidi.
Na leo amekiri kalipwa haki zake zoote.Hakika hakustahili kufa!na ndo maana Mungu alimponya na kumuokoa katikati ya waovu
My Role Model forever beingHapa Tundu Lissu alinifumbua macho sana๐๐๐
View attachment 2247479