Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Wewe endelea kuropoka lakini kaa kwa kujuwa kuwa huyo ndiye Rais wetu ajaye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea kuropoka lakini kaa kwa kujuwa kuwa huyo ndiye Rais wetu ajaye
Sizani kama unamarinda wewe!Sauti zinaendelea kupazwa na wananchi kupitia mitandao ya kijamii, vyombo vya habari, sauti za wananchi vilingeni na magengeni kuona kuwa siku moja Taifa hili linawekwa mikononi mwa Paul Makonda kama mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wetu.