mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Hayo madude ya viongoz wenuHii Injii Ina wajinga sana .. Kuna wale ambao Kila wakila KASA wanakufa ila hawajawahi kuacha Kula KASA, na wakila haipiti muda utasikia watu Saba wafariki Dunia.
Lakini sawa, tumekubali ni Wajinga, Kwann Serikali Huwa inazisajili hizo Taasisi uchwara, na Ukute na Kodi wanakupa ? Nini nafasi ya Serikali kushughulika na Hawa Wezi ??.
Mimi Huwa nafikiria, haya madude, ni Viongozi wenyewe , maana Kwa Tanzania, hamna kinachoshindikana.
Sent using Jamii Forums mobile app