ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Shughuli ya uzalishaji ni shughuli ambayo inazalisha bidhaa au huduma
Nchi nyingi kama China, Russia, South Korea, Angola, Nigeria n.k zimeendelea Kwa kuwa asilimia kubwa ya wananchi wanashiriki katika uzalishaji kama viwandani, kilimo, ufugaji, madini, huduma n.k
Hapa kwetu vijana wengi wapo mjini kama waviziaji ili siku ipite
Unakuta vijana wengi ni madalali, mawinga, machawa, kubet, n.k
Yaani mtu ana miaka 30 hana hata hela ya Pamba, viazi, maharage
Hana hata mashine ya Kusaga, hata mashine ya kuchakata taka, yupo tu Dar anabishana Yanga na Simba
Watanzania wanaozalisha hawazidi asilimia 30 huku wengine wakiwa wapo wapo tu kuvizia na kuishi kama kunguru
Yaani mtu hana kazi ya uzalishaji
Uchumi wetu itakuwaje ili Watanzania walipe Kodi na zisaidie maisha ya kawaida, barabara, maji n.k
Serikali ipitishe mkongoto kuwachapa vijana wanazurula mjini kufanya kazi zisizo za uzalishaji kama machinga haiwezekani kijana wa miaka 22 upo mjini unatembeza sindiria, unauza karanga, mama lishe, washona viatu, n.k hawa hawazalishi chochote zaidi wanakuza uchumi wa China
Hawa vijana wachukuliwe waletwe huku mashambani walime, wafuge tupate ngozi, Kwa to na nyama
Kuliko kuzubaa mjini wakiuza ice cream 🍨 🍦 ambazo kiuchumi hawachangii chochote
Tutazidi kuwa Taifa masikini ikiwa nguvu kazi yaani vijana wenye elimu hawaleti ujuzi kwenye jamii mfano fundi viatu, machinga, kuuza karanga, chupi, n.k
Vijana wawaze kuleta bidhaa sokoni kama mbolea, mazao, mavazi n.k
Nchi nyingi kama China, Russia, South Korea, Angola, Nigeria n.k zimeendelea Kwa kuwa asilimia kubwa ya wananchi wanashiriki katika uzalishaji kama viwandani, kilimo, ufugaji, madini, huduma n.k
Hapa kwetu vijana wengi wapo mjini kama waviziaji ili siku ipite
Unakuta vijana wengi ni madalali, mawinga, machawa, kubet, n.k
Yaani mtu ana miaka 30 hana hata hela ya Pamba, viazi, maharage
Hana hata mashine ya Kusaga, hata mashine ya kuchakata taka, yupo tu Dar anabishana Yanga na Simba
Watanzania wanaozalisha hawazidi asilimia 30 huku wengine wakiwa wapo wapo tu kuvizia na kuishi kama kunguru
Yaani mtu hana kazi ya uzalishaji
Uchumi wetu itakuwaje ili Watanzania walipe Kodi na zisaidie maisha ya kawaida, barabara, maji n.k
Serikali ipitishe mkongoto kuwachapa vijana wanazurula mjini kufanya kazi zisizo za uzalishaji kama machinga haiwezekani kijana wa miaka 22 upo mjini unatembeza sindiria, unauza karanga, mama lishe, washona viatu, n.k hawa hawazalishi chochote zaidi wanakuza uchumi wa China
Hawa vijana wachukuliwe waletwe huku mashambani walime, wafuge tupate ngozi, Kwa to na nyama
Kuliko kuzubaa mjini wakiuza ice cream 🍨 🍦 ambazo kiuchumi hawachangii chochote
Tutazidi kuwa Taifa masikini ikiwa nguvu kazi yaani vijana wenye elimu hawaleti ujuzi kwenye jamii mfano fundi viatu, machinga, kuuza karanga, chupi, n.k
Vijana wawaze kuleta bidhaa sokoni kama mbolea, mazao, mavazi n.k