Watanzania wengi hawafanyi shughuli za uzalishaji, wanaishi kijanja tu

Watanzania wengi hawafanyi shughuli za uzalishaji, wanaishi kijanja tu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Shughuli ya uzalishaji ni shughuli ambayo inazalisha bidhaa au huduma

Nchi nyingi kama China, Russia, South Korea, Angola, Nigeria n.k zimeendelea Kwa kuwa asilimia kubwa ya wananchi wanashiriki katika uzalishaji kama viwandani, kilimo, ufugaji, madini, huduma n.k

Hapa kwetu vijana wengi wapo mjini kama waviziaji ili siku ipite

Unakuta vijana wengi ni madalali, mawinga, machawa, kubet, n.k

Yaani mtu ana miaka 30 hana hata hela ya Pamba, viazi, maharage
Hana hata mashine ya Kusaga, hata mashine ya kuchakata taka, yupo tu Dar anabishana Yanga na Simba

Watanzania wanaozalisha hawazidi asilimia 30 huku wengine wakiwa wapo wapo tu kuvizia na kuishi kama kunguru
Yaani mtu hana kazi ya uzalishaji

Uchumi wetu itakuwaje ili Watanzania walipe Kodi na zisaidie maisha ya kawaida, barabara, maji n.k

Serikali ipitishe mkongoto kuwachapa vijana wanazurula mjini kufanya kazi zisizo za uzalishaji kama machinga haiwezekani kijana wa miaka 22 upo mjini unatembeza sindiria, unauza karanga, mama lishe, washona viatu, n.k hawa hawazalishi chochote zaidi wanakuza uchumi wa China

Hawa vijana wachukuliwe waletwe huku mashambani walime, wafuge tupate ngozi, Kwa to na nyama
Kuliko kuzubaa mjini wakiuza ice cream 🍨 🍦 ambazo kiuchumi hawachangii chochote

Tutazidi kuwa Taifa masikini ikiwa nguvu kazi yaani vijana wenye elimu hawaleti ujuzi kwenye jamii mfano fundi viatu, machinga, kuuza karanga, chupi, n.k

Vijana wawaze kuleta bidhaa sokoni kama mbolea, mazao, mavazi n.k
 
Shughuli ya uzalishaji ni shughuli ambayo inazalisha bidhaa au huduma

Nchi nyingi kama China, Russia, South Korea, Angola, Nigeria n.k zimeendelea Kwa kuwa asilimia kubwa ya wananchi wanashiriki katika uzalishaji kama viwandani, kilimo, ufugaji, madini, huduma n.k

Hapa kwetu vijana wengi wapo mjini kama waviziaji ili siku ipite

Unakuta vijana wengi ni madalali, mawinga, machawa, kubet, n.k

Yaani mtu ana miaka 30 hana hata hela ya Pamba, viazi, maharage
Hana hata mashine ya Kusaga, hata mashine ya kuchakata taka, yupo tu Dar anabishana Yanga na Simba

Watanzania wanaozalisha hawazidi asilimia 30 huku wengine wakiwa wapo wapo tu kuvizia na kuishi kama kunguru
Yaani mtu hana kazi ya uzalishaji

Uchumi wetu itakuwaje ili Watanzania walipe Kodi na zisaidie maisha ya kawaida, barabara, maji n.k

Serikali ipitishe mkongoto kuwachapa vijana wanazurula mjini kufanya kazi zisizo za uzalishaji kama machinga haiwezekani kijana wa miaka 22 upo mjini unatembeza sindiria, unauza karanga, mama lishe, washona viatu, n.k hawa hawazalishi chochote zaidi wanakuza uchumi wa China

Hawa vijana wachukuliwe waletwe huku mashambani walime, wafuge tupate ngozi, Kwa to na nyama
Kuliko kuzubaa mjini wakiuza ice cream 🍨 🍦 ambazo kiuchumi hawachangii chochote

Tutazidi kuwa Taifa masikini ikiwa nguvu kazi yaani vijana wenye elimu hawaleti ujuzi kwenye jamii mfano fundi viatu, machinga, kuuza karanga, chupi, n.k

Vijana wawaze kuleta bidhaa sokoni kama mbolea, mazao, mavazi n.k
 

Attachments

  • Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    363.2 KB · Views: 1
  • images (2) (1).jpeg
    images (2) (1).jpeg
    44.3 KB · Views: 1
  • IMG-20250128-WA0054.jpg
    IMG-20250128-WA0054.jpg
    142.5 KB · Views: 1
Ndugu yangu haiwezekani taifa zima mkawa wazalishaji,nani amuuzie nani,nani atuuzie ice cream?robot au?nani atoe huduma?misukule au,tunategemeana,mjini akili tu,juna watu ofisi yao ji laptop ila kwamwezi anakinga hela ndefu sana kupitia technology.
Ni kwelinachinga wanaotembeza magauni natatu siku nzima wanazingua
 
Hapa wa kulaumiwa ni serikali ambayo sera zake zinalenga sana kudumaza uchumi wa ndani na kunufuaisha uchumi wa mataifa ya jirani na ya nje.

Imagine namna serikali kupitia watendaji wake wa hovyo namna wanaweza hujumu wajasiriamali wanaochipukia kwa kuwatoza makodi kibao na kuwawekea vikwazo vya kifedha wanapotaks kukuza mitaji.

Ukisema unataka kufungua shamba kubwa badala ya kuja kukupa sapoti shamba liwe kubwa watakuja kukuletea utitiri wa masharti kupitia mamlaka uchwara ambazo kazi yake ni kuzuia ukuaji wa biashara chipukizi na kupambana na wafanya biashara wakubwa wa ndani kwa wivu na tamaa za kuona kwann wewe ufanikiwe wakati sisi tumeajiriwa hatuna maisha ya uhuru kama yako.

Tazama wanajiandaa kufungua soko kwaajiri ya wachina hapo ubungo ambalo litakwenda kuua ndoto ya kuwa na viwanda vyetu vya bidhaa ndogo ndogo hapa nchini. Kwa sasa taifa limekuwa ni la wachuuzi tupu. Wazalishaji ni wachache sana uchuuzi umeshika kasi.

MUNGU atuokoe ili tukomboe vizazi vijavyo.
 
Ndugu yangu haiwezekani taifa zima mkawa wazalishaji,nani amuuzie nani,nani atuuzie ice cream?robot au?nani atoe huduma?misukule au,tunategemeana,mjini akili tu,juna watu ofisi yao ji laptop ila kwamwezi anakinga hela ndefu sana kupitia technology.
Ni kwelinachinga wanaotembeza magauni natatu siku nzima wanazingua
Namaanisha kuzalisha bidhaa au huduma
Huyo mtu wa IT anauza huduma
 
Ninahisi,watanganyika,ubongo wetu, hauko sawa!
Tunachezewa akili Hadi,unajiuliza,tatizo ni,elimu,au ni peda??
 
Shughuli ya uzalishaji ni shughuli ambayo inazalisha bidhaa au huduma

Nchi nyingi kama China, Russia, South Korea, Angola, Nigeria n.k zimeendelea Kwa kuwa asilimia kubwa ya wananchi wanashiriki katika uzalishaji kama viwandani, kilimo, ufugaji, madini, huduma n.k

Hapa kwetu vijana wengi wapo mjini kama waviziaji ili siku ipite

Unakuta vijana wengi ni madalali, mawinga, machawa, kubet, n.k

Yaani mtu ana miaka 30 hana hata hela ya Pamba, viazi, maharage
Hana hata mashine ya Kusaga, hata mashine ya kuchakata taka, yupo tu Dar anabishana Yanga na Simba

Watanzania wanaozalisha hawazidi asilimia 30 huku wengine wakiwa wapo wapo tu kuvizia na kuishi kama kunguru
Yaani mtu hana kazi ya uzalishaji

Uchumi wetu itakuwaje ili Watanzania walipe Kodi na zisaidie maisha ya kawaida, barabara, maji n.k

Serikali ipitishe mkongoto kuwachapa vijana wanazurula mjini kufanya kazi zisizo za uzalishaji kama machinga haiwezekani kijana wa miaka 22 upo mjini unatembeza sindiria, unauza karanga, mama lishe, washona viatu, n.k hawa hawazalishi chochote zaidi wanakuza uchumi wa China

Hawa vijana wachukuliwe waletwe huku mashambani walime, wafuge tupate ngozi, Kwa to na nyama
Kuliko kuzubaa mjini wakiuza ice cream 🍨 🍦 ambazo kiuchumi hawachangii chochote

Tutazidi kuwa Taifa masikini ikiwa nguvu kazi yaani vijana wenye elimu hawaleti ujuzi kwenye jamii mfano fundi viatu, machinga, kuuza karanga, chupi, n.k

Vijana wawaze kuleta bidhaa sokoni kama mbolea, mazao, mavazi n.k
Nguvu kazi ya tanzania ni watanzania milion 25 . Wengine wote wanaobaki ni wazee na watoto. Katika hao milion 25 toa hapo wanafunzi wa vyuo na vijana wa hovyo . 🤣 afu kuna mtu anakuambia tanzania ni nchi tajiri
 
Hapa wa kulaumiwa ni serikali ambayo sera zake zinalenga sana kudumaza uchumi wa ndani na kunufuaisha uchumi wa mataifa ya jirani na ya nje.

Imagine namna serikali kupitia watendaji wake wa hovyo namna wanaweza hujumu wajasiriamali wanaochipukia kwa kuwatoza makodi kibao na kuwawekea vikwazo vya kifedha wanapotaks kukuza mitaji.

Ukisema unataka kufungua shamba kubwa badala ya kuja kukupa sapoti shamba liwe kubwa watakuja kukuletea utitiri wa masharti kupitia mamlaka uchwara ambazo kazi yake ni kuzuia ukuaji wa biashara chipukizi na kupambana na wafanya biashara wakubwa wa ndani kwa wivu na tamaa za kuona kwann wewe ufanikiwe wakati sisi tumeajiriwa hatuna maisha ya uhuru kama yako.

Tazama wanajiandaa kufungua soko kwaajiri ya wachina hapo ubungo ambalo litakwenda kuua ndoto ya kuwa na viwanda vyetu vya bidhaa ndogo ndogo hapa nchini. Kwa sasa taifa limekuwa ni la wachuuzi tupu. Wazalishaji ni wachache sana uchuuzi umeshika kasi.

MUNGU atuokoe ili tukomboe vizazi vijavyo.
Una akili nyingi mkuu
Nadhani wewe tumeelewana
Vijana wengi ni wachuuzi wa bidhaa za China hili Taifa
 
Mbona tuliunda Robot Yunis au kwakuwa tulimzidishia make up.
 
Binadamu tunategemeana.
Jifunze kuheshimu kazi za watu, hao unao waona mawinga, machinga na wauza sidiria usidhani hawafahamu kama kuna hayo mambo ya kilimo n.k
Shukuru wameamua kujitafutia riziki kwa njia halali na wala hawakuombi pesa ya kujikimu.
 
Back
Top Bottom