ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
- Thread starter
- #21
Tumeridhika na umasikini wetuNguvu kazi ya tanzania ni watanzania milion 25 . Wengine wote wanaobaki ni wazee na watoto. Katika hao milion 25 toa hapo wanafunzi wa vyuo na vijana wa hovyo . 𤣠afu kuna mtu anakuambia tanzania ni nchi tajiri