Wewe unataka tutoke vibaruani ku check watoto wetu wanacheza na nani af tugeuze turudi duh?Kuhusu suala la kulea, watanzania wengi hawalei watoto bali wanafuga mifugo kama mifugo mingine kuku...
Nalo neno.Kuhusu suala la kulea, watanzania wengi hawalei watoto bali wanafuga mifugo kama mifugo mingine kuku.
Mtu ana mtoto lakini hajui mtoto anacheza wapi, mtoto anacheza na nani wala mtoto anacheza michezo gani. Mtoto akitoka asubuhi anarudi mida ya kula tu baada ya hapo haonekani mpaka usiku. Na akirudi haulizwi alikua wapi?
Mtoto anaenda shule, mzazi hata hajui mtoto anasoma nini shule. Mzizi kazi yake ni kumpatia mtoto chakula mengine mtoto mwenyewe atajua cha kufanya. Watanzania wengi hawalei bali wanafuga mifugo.
Si Bora sisi tunafuga watoto, hizo nchi zinazolea watoto kama mtoa mada unavyodai si ndo zimesalisha mashoga? Bora tuendelee kulea hivihivi. Si unaona watoto wa school bus wa kiume walivyo nyoronyoro? Laini laini? Wazuri kama madem
HahahaSi Bora sisi tunafuga watoto, hizo nchi zinazolea watoto kama mtoa mada unavyodai si ndo zimesalisha mashoga? Bora tuendelee kulea hivihivi. Si unaona watoto wa school bus wa kiume walivyo nyoronyoro? Laini laini? Wazuri kama madem
Naunga mkono hoja.Kuhusu suala la kulea, watanzania wengi hawalei watoto bali wanafuga mifugo kama mifugo mingine kama kuku.
Mtu ana mtoto lakini hajui mtoto anacheza wapi, mtoto anacheza na nani wala mtoto anacheza michezo gani. Mtoto akitoka asubuhi anarudi mida ya kula tu baada ya hapo haonekani mpaka usiku. Na akirudi haulizwi alikua wapi?
Mtoto anaenda shule, mzazi hata hajui mtoto anasoma nini shule. Mzazi kazi yake ni kumpatia mtoto chakula mengine mtoto mwenyewe atajua cha kufanya. Watanzania wengi hawalei bali wanafuga mifugo.
Ukirudi kutoka kibaruani unaweza kukaa na mwanao ukaongea nae.Wewe unataka tutoke vibaruani ku check watoto wetu wanacheza na nani af tugeuze turudi duh?
Mtaani vitoto vya kiume vinaf*rwa sana tembea uone. Na hii yote kwasababu wazazi wao hawawafatiliiSi Bora sisi tunafuga watoto, hizo nchi zinazolea watoto kama mtoa mada unavyodai si ndo zimesalisha mashoga? Bora tuendelee kulea hivihivi. Si unaona watoto wa school bus wa kiume walivyo nyoronyoro? Laini laini? Wazuri kama madem