Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Yaani kuikataa ccm ndiyo flexibility!?..Sasa uiondoe ccm umpe nani nchi!?..Tanzania ndiyo sehemu inayoshangaza wageni wengi wafanyabiashara,bidhaa mpya inaingia sokoni na inauzika fresh tu,huko unakowaona wako flexible bidhaa mpaka iaminiwe inunuliwe ni miaka na baada ya promotion ya kutosha
Hakuna sehemu nimesema Watu waikatae CCM.
Kitendo cha kutoona wa kumpa nchi nje ya CCM ndio u-conservative wenyewe Mkuu.