Pre GE2025 Watanzania wengi hawapo Flexible, Wengi ni Conservative na hapo ndipo CCM inaposhindia

Pre GE2025 Watanzania wengi hawapo Flexible, Wengi ni Conservative na hapo ndipo CCM inaposhindia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unakataa flexibility

Vitu vya asili ndio conservative (havibadiliki) au havipo Flexible
Kipi kwako hakieleweki.
Sasa ndio kuna Watu wanataka mambo ambayo wameyaunda wao(ambayo sio ya asili) yasibadilike, ndio huitwa conservative
 
Vyombo vya ulinzi na dola nguvu wanatoa wapi?
Maagizo toka juu. Viongozi ni CCM damdam. Ndio wanaowapa hela,posho, mishahara,nyota,vyeo,silaha,mabomu,risasi. Hao wakipokea maagizo ni kuchakachua kura na kuiba kura mwanzo mwisho ndio maana wanashinda.


Siku vyombo vya ulinzi na usalama vikiamua kukataa kuiba kura ndio itakuwa MWISHO wa CCM
 
Maagizo toka juu. Viongozi ni CCM damdam. Ndio wanaowapa hela,posho, mishahara,nyota,vyeo,silaha,mabomu,risasi. Hao wakipokea maagizo ni kuchakachua kura na kuiba kura mwanzo mwisho ndio maana wanashinda.


Siku vyombo vya ulinzi na usalama vikiamua kukataa kuiba kura ndio itakuwa MWISHO wa CCM

Utatenganishaje vyombo vya ulinzi na wananchi?
Ikiwa waliopo kwenye vyombo vya ulinzi asilimia 99% ni ndugu zetu na wametoka kwenye familia ambazo sio za watawala.

Embu nîeleze nielewe
 
Kwema Wakuu!

Watanzania waliowengi ni Conservative(Watu ambao ni wagumu kubadilika au wanachukia au kuogopa mabadiliko)…

Sio ajabu mtu ni muislam au mkristo kwa sababu alizaliwa na kukulia kwenye Ukristo. Sio ajabu mtu ni Simba au Yanga kwa sababu alipokulia ni Washabiki wa Simba na Yanga.

Katika siasa, tabia hii ni mtaji na tegemeo kubwa kwa chama kama CCM. Moja ya mambo ambayo CCM inajiamini nalo ni hilo la watanzania kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Sio ajabu mpaka leo kuna Watu wanahangaika na kumtajataja JPM. Wapo wengine wanamtajataja Nyerere. Wao kila kitu kwao ni Nyerere au JPM. Hiyo ni ishara ya mtu kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Ni sawa na wale Walokole au Wasabato au waislam wao kila kitu lazima warejelee Watu wa zamani waliokufa miaka zaidi ya elfu elfu huko. Yesu anasema, Mara Mtume anasema. Ukimuuliza wewe kwaakili yako unasema nini anawasha macho.

Dunia haihitaji kuongozwa na Watu wasiotaka mabadiliko, Watu wanaochukia mambo mapya. Watu wasio wabunifu.

Wananchi wengi hawaoni chama kingine zaidi ya CCM, hata hao wapinzani waliowengi ni kama CCM tuu sio ajabu ukasikia mpinzañî akiiñgia CCM.

CCM wanaamini bila wao nchi hii haiwezi kuongozwa na kuletwa maendeleo. Huo ndio u-conservative wenyewe huo.
Ni kama Watu wa dini wanaoamini kuwa dini yao ndio itawapeleka mbinguni na dini zingine mbingu hawaendi. Ni dalili ya kutokufikiri vizuri. Kuifunga akili katika vikao.

Usitegemee maendeleo yoyote ya maana kwenye jamii yenye Watu wengi ambao wapo conservative au ambao hawapo flexible.

Mimi nimemaliza, leo sihitaji maswali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama
Mmmh !
Flexibility ya mpaka kwenye Dini hiyo itakuwa ni kali ya mwaka !
 
Utatenganishaje vyombo vya ulinzi na wananchi?
Ikiwa waliopo kwenye vyombo vya ulinzi asilimia 99% ni ndugu zetu na wametoka kwenye familia ambazo sio za watawala.

Embu nîeleze nielewe
Je unaelewa, jinsi kura zinavyoibwa?
Polisi/jeshi/usalama ndio wanaohusika kwenye shughuli nzima na wanawalinda wao. Kuna uchaguzi nilikoswakoswa na risasi za polisi. Rafiki yangu alipigwa ya mguu. Polisi walikuwa wanabadilisha mabox ya kura. Watu wakawashtukia ndio wakaanza kufyatua risasi ili kutawanya watu.


Na hao polisi wanapokea maagizo toka JUU ili kuchakachua kura.
 
Unawaza kuolewa?
Halafu kumbe ni Mtibeli? Mzee wa mada nyeti. Huwa siangalii mleta mada. Mara nyingi nashambulia tu hoja. Wewe yani ningejua nisingekujibu hivyo 😅

Ila kiukweli yapo mambo hayahitaji flexibility unayotaka kuihubiri. Mathalan mimi kuzaliwa mkatoliki sioni cha kunitoa hapo. Naweza kuwasikiliza waamini wa madhehebu mengine ila sio tiketi ya kuhamia.
Kadhalika tangu nimejitambua nimekuwa napigia kura chadema. Yani niko hivyo. Kadhalika nilimuuliza mama yangu we ni timu gani, nikiwa bado chalii. Aliposema, "mi ni Yan'ngaa" hiyo ikawa imeenda. Sasa nitafariki humohumo.

Hivyo basi, kuhamahama jambo ni kukosa misimamo wakati mwingine. Ila pia watu wanahama sana madhehebu. Wanapigia kura vyama tofauti. Tofauti na dini, siasa ina wenyewe. Nawe ni shahidi. Inasemekana Lyatonga alishinda uchaguzi akapinduliwa matokeo. Maalim nae. Lowasa kadhalika akiwa chadema.

Hoja ni, ni lini watawala wataacha kuwa conservatives?
 
Halafu kumbe ni Mtibeli? Mzee wa mada nyeti. Huwa siangalii mleta mada. Mara nyingi nashambulia tu hoja. Wewe yani ningejua nisingekujibu hivyo 😅

Ila kiukweli yapo mambo hayahitaji flexibility unayotaka kuihubiri. Mathalan mimi kuzaliwa mkatoliki sioni cha kunitoa hapo. Naweza kuwasikiliza waamini wa madhehebu mengine ila sio tiketi ya kuhamia.
Kadhalika tangu nimejitambua nimekuwa napigia kura chadema. Yani niko hivyo. Kadhalika nilimuuliza mama yangu we ni timu gani, nikiwa bado chalii. Aliposema, "mi ni Yan'ngaa" hiyo ikawa imeenda. Sasa nitafariki humohumo.

Hivyo basi, kuhamahama jambo ni kukosa misimamo wakati mwingine. Ila pia watu wanahama sana madhehebu. Wanapigia kura vyama tofauti. Tofauti na dini, siasa ina wenyewe. Nawe ni shahidi. Inasemekana Lyatonga alishinda uchaguzi akapinduliwa matokeo. Maalim nae. Lowasa kadhalika akiwa chadema.

Hoja ni, ni lini watawala wataacha kuwa conservatives?
Mambo ya asili kikawaida ni conservative
Ila mambo tuliyoyaunda sisi ambayo sio ya asili ambayo tunataka yawe ndio kila kitu miaka nenda rudi pasipo kubadilika ndio tunayaita Conservative mfano tamaduni, mila na desturi ni mambo tuliyojiwekea wenyewe.

Watawala ni zao la kwenye jamii yetu.

Wanasema ukitaka kubadili siasa kuwa mwanajeshi kisha fanya mapinduzi, lakini ukitaka kubadili jamii yakupasa uwe Mwanasiasa(mtawala).
Zingatia Dini ni siasa ya zamani
 
Je unaelewa, jinsi kura zinavyoibwa?
Polisi/jeshi/usalama ndio wanaohusika kwenye shughuli nzima na wanawalinda wao. Kuna uchaguzi nilikoswakoswa na risasi za polisi. Rafiki yangu alipigwa ya mguu. Polisi walikuwa wanabadilisha mabox ya kura. Watu wakawashtukia ndio wakaanza kufyatua risasi ili kutawanya watu.


Na hao polisi wanapokea maagizo toka JUU ili kuchakachua kura.

Pole sana Mkuu.

Risasi huua Watu wasiotaka kubadilika, lakini risasi haiui Watu wanaotaka mabadiliko ya kweli.
 
Mmmh !
Flexibility ya mpaka kwenye Dini hiyo itakuwa ni kali ya mwaka !

😀

Wewe kwa uelewa wako dini ya Ibrahim na dini ya Mûsa ziko sawa?
Au dini ya Mûsa na Daudi ziko sawa?
Au dini ya Daudi na Yesu ziko sawa?

Dini inaendana na utawala zama husika.
Ndio maana ukristo wa leo wa kuabudu Utatuma mtakatifu ni tofauti na ukristo wa karne ya kwanza ambapo Hakukuwa na huo utatu mtakatifu na ingehesabika kuwa ni kufuru.
 
Pole sana Mkuu.

Risasi huua Watu wasiotaka kubadilika, lakini risasi haiui Watu wanaotaka mabadiliko ya kweli.
Mabadiliko watu wanayataka ila changamoto ni wizi wa kura ambao wanafanya ccm kwenye uchaguzi huku wakilindwa na vyombo vya ulinzi na usalama.


Ndio maana watu washakata tamaa.
 
Mabadiliko watu wanayataka ila changamoto ni wizi wa kura ambao wanafanya ccm kwenye uchaguzi huku wakilindwa na vyombo vya ulinzi na usalama.


Ndio maana watu washakata tamaa.

😀

Mkuu kama wanaotaka mabadiliko wangekuwa wengi kuliko waliotaka leo hii yangekuwa yameshatokea hayo mabadiliko.

Tatizo ni kuwa wanaotaka mabadiliko hawafiki hata robo
 
😀

Mkuu kama wanaotaka mabadiliko wangekuwa wengi kuliko waliotaka leo hii yangekuwa yameshatokea hayo mabadiliko.

Tatizo ni kuwa wanaotaka mabadiliko hawafiki hata robo
Mkuu, wengi wanaogopa kufa, kufungwa au kupata madhara yoyote toka kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. Kwenye siasa za TZ kuna makundi makuu matatu.

1. Watu wanayoipenda CCM (ndani ya hili kundi kuna makundi madogo mawili (i) Wanayoiopenda ccm ukweli ukweli (ii) wanayoipenda kulinda/kutafuta maslahi)

2. Watu wa upinzani (hawaitaki ccm)

3. Watu waliopo katikati/vuguvugu/neutral
(Hili ndio kundi kubwa lililopo kwa sasa)
Ndani yake kuna makundi madogomadogo mengi mno
(i) ambao hawaitaki ccm (upinzani)ila wanaogopa kujulikana. Wanaogopa madhara ya hatari ambayo wanaweza kukutana nayo (waoga) ila wanajua hali halisi na wizi wa kura na matatizo yote


(ii) ambao wao hawaelewi chochote kuhusu kinachoendelea wao wako bize na mishe zao za kutafuta hela, wako bize na simba na yanga, wako bize na bongofleva na masupastaa wa mitandaoni, wengine wako bize na amapiano na misambwanda. Yaani wao hakuna wanachoelewa.



Sasa hayo makundi makuu matatu ndio yapo kwa sasa. Ila kundi la vuguvugu ndio wako wengi ila wanaogopa madhara ya hatari ambayo wanaweza kukutana nayo wakiwa upande wa upinzani.


Hofu ya vyombo vya ulinzi na usalama ndio inawapa watu hofu.
 
Vitu vya asili ndio conservative (havibadiliki) au havipo Flexible
Kipi kwako hakieleweki.
Sasa ndio kuna Watu wanataka mambo ambayo wameyaunda wao(ambayo sio ya asili) yasibadilike, ndio huitwa conservative
Kulala usiku kuamka asubuhii siyo kitu Cha asili
 
Kwema Wakuu!

Watanzania waliowengi ni Conservative(Watu ambao ni wagumu kubadilika au wanachukia au kuogopa mabadiliko)…

Sio ajabu mtu ni muislam au mkristo kwa sababu alizaliwa na kukulia kwenye Ukristo. Sio ajabu mtu ni Simba au Yanga kwa sababu alipokulia ni Washabiki wa Simba na Yanga.

Katika siasa, tabia hii ni mtaji na tegemeo kubwa kwa chama kama CCM. Moja ya mambo ambayo CCM inajiamini nalo ni hilo la watanzania kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Sio ajabu mpaka leo kuna Watu wanahangaika na kumtajataja JPM. Wapo wengine wanamtajataja Nyerere. Wao kila kitu kwao ni Nyerere au JPM. Hiyo ni ishara ya mtu kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Ni sawa na wale Walokole au Wasabato au waislam wao kila kitu lazima warejelee Watu wa zamani waliokufa miaka zaidi ya elfu elfu huko. Yesu anasema, Mara Mtume anasema. Ukimuuliza wewe kwaakili yako unasema nini anawasha macho.

Dunia haihitaji kuongozwa na Watu wasiotaka mabadiliko, Watu wanaochukia mambo mapya. Watu wasio wabunifu.

Wananchi wengi hawaoni chama kingine zaidi ya CCM, hata hao wapinzani waliowengi ni kama CCM tuu sio ajabu ukasikia mpinzañî akiiñgia CCM.

CCM wanaamini bila wao nchi hii haiwezi kuongozwa na kuletwa maendeleo. Huo ndio u-conservative wenyewe huo.
Ni kama Watu wa dini wanaoamini kuwa dini yao ndio itawapeleka mbinguni na dini zingine mbingu hawaendi. Ni dalili ya kutokufikiri vizuri. Kuifunga akili katika vikao.

Usitegemee maendeleo yoyote ya maana kwenye jamii yenye Watu wengi ambao wapo conservative au ambao hawapo flexible.

Mimi nimemaliza, leo sihitaji maswali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama
Acha ulaghai wewe. Inategemea ni mabadiliko ya aina gani. Ukiona watanzania hawataki kubadilika kufuata maoni au fikra zako ujue mwenyewe ndio umepotoka. Watanzania walibadilika pale ujenzi wa ujamaa kwa mashirka ya umma ilipobadilika kua jambo haliwezekani. Sasa wanaamini ujenzi wa ujamaa kwa sekta binafsi inayofuata sheria na utaratibu chini ya dola inayodhibiti sekta hiyo kunufaisha umma ndio njia sahihi kuwaletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
 
Acha ulaghai wewe. Inategemea ni mabadiliko ya aina gani. Ukiona watanzania hawataki kubadilika kufuata maoni au fikra zako ujue mwenyewe ndio umepotoka. Watanzania walibadilika pale ujenzi wa ujamaa kwa mashirka ya umma ilipobadilika kua jambo haliwezekani. Sasa wanaamini ujenzi wa ujamaa kwa sekta binafsi inayofuata sheria na utaratibu chini ya dola inayodhibiti sekta hiyo kunufaisha umma ndio njia sahihi kuwaletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Vizuri kwa kûchangia.
 
Kwema Wakuu!

Watanzania waliowengi ni Conservative(Watu ambao ni wagumu kubadilika au wanachukia au kuogopa mabadiliko)…

Sio ajabu mtu ni muislam au mkristo kwa sababu alizaliwa na kukulia kwenye Ukristo. Sio ajabu mtu ni Simba au Yanga kwa sababu alipokulia ni Washabiki wa Simba na Yanga.

Katika siasa, tabia hii ni mtaji na tegemeo kubwa kwa chama kama CCM. Moja ya mambo ambayo CCM inajiamini nalo ni hilo la watanzania kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Sio ajabu mpaka leo kuna Watu wanahangaika na kumtajataja JPM. Wapo wengine wanamtajataja Nyerere. Wao kila kitu kwao ni Nyerere au JPM. Hiyo ni ishara ya mtu kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Ni sawa na wale Walokole au Wasabato au waislam wao kila kitu lazima warejelee Watu wa zamani waliokufa miaka zaidi ya elfu elfu huko. Yesu anasema, Mara Mtume anasema. Ukimuuliza wewe kwaakili yako unasema nini anawasha macho.

Dunia haihitaji kuongozwa na Watu wasiotaka mabadiliko, Watu wanaochukia mambo mapya. Watu wasio wabunifu.

Wananchi wengi hawaoni chama kingine zaidi ya CCM, hata hao wapinzani waliowengi ni kama CCM tuu sio ajabu ukasikia mpinzañî akiiñgia CCM.

CCM wanaamini bila wao nchi hii haiwezi kuongozwa na kuletwa maendeleo. Huo ndio u-conservative wenyewe huo.
Ni kama Watu wa dini wanaoamini kuwa dini yao ndio itawapeleka mbinguni na dini zingine mbingu hawaendi. Ni dalili ya kutokufikiri vizuri. Kuifunga akili katika vikao.

Usitegemee maendeleo yoyote ya maana kwenye jamii yenye Watu wengi ambao wapo conservative au ambao hawapo flexible.

Mimi nimemaliza, leo sihitaji maswali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama
Na kiongozi asiyeamini wenzie kama wanaweza kuongoza Chama miaka yote anataka awe yeye tu, huyo ni CONSERVATIVE Mwandamizi!
 
Kwema Wakuu!

Watanzania waliowengi ni Conservative(Watu ambao ni wagumu kubadilika au wanachukia au kuogopa mabadiliko)…

Sio ajabu mtu ni muislam au mkristo kwa sababu alizaliwa na kukulia kwenye Ukristo. Sio ajabu mtu ni Simba au Yanga kwa sababu alipokulia ni Washabiki wa Simba na Yanga.

Katika siasa, tabia hii ni mtaji na tegemeo kubwa kwa chama kama CCM. Moja ya mambo ambayo CCM inajiamini nalo ni hilo la watanzania kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Sio ajabu mpaka leo kuna Watu wanahangaika na kumtajataja JPM. Wapo wengine wanamtajataja Nyerere. Wao kila kitu kwao ni Nyerere au JPM. Hiyo ni ishara ya mtu kutokuwa Flexible au kuwa conservative.

Ni sawa na wale Walokole au Wasabato au waislam wao kila kitu lazima warejelee Watu wa zamani waliokufa miaka zaidi ya elfu elfu huko. Yesu anasema, Mara Mtume anasema. Ukimuuliza wewe kwaakili yako unasema nini anawasha macho.

Dunia haihitaji kuongozwa na Watu wasiotaka mabadiliko, Watu wanaochukia mambo mapya. Watu wasio wabunifu.

Wananchi wengi hawaoni chama kingine zaidi ya CCM, hata hao wapinzani waliowengi ni kama CCM tuu sio ajabu ukasikia mpinzañî akiiñgia CCM.

CCM wanaamini bila wao nchi hii haiwezi kuongozwa na kuletwa maendeleo. Huo ndio u-conservative wenyewe huo.
Ni kama Watu wa dini wanaoamini kuwa dini yao ndio itawapeleka mbinguni na dini zingine mbingu hawaendi. Ni dalili ya kutokufikiri vizuri. Kuifunga akili katika vikao.

Usitegemee maendeleo yoyote ya maana kwenye jamii yenye Watu wengi ambao wapo conservative au ambao hawapo flexible.

Mimi nimemaliza, leo sihitaji maswali.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama
Ukisema conservative naona unawapa sifa ambayo pana mno. Ungesema “wakuda”, hawako informed, hawana upeo wa juu wa mawazo. Ukisema ati siyo flexible hapo napo kidogo unawapa narrow definition. Ungesema hawako liberal - yaani backward mindset, deplorables etc ujue factor kubwa cha wa Tanzania kuwa na mindset kama hizi ni Elimu.

Believe me, 99% ya waTanzania ni primary school education, inawezekana kabisa hawa hawana upeo wowote kidunia zaidi ya kijijini Tanzania, na watu kama hao kuoshwa akili ni kitu kidogo sana. Mtu akija na Koran wanarukia, akija na biblia wanarukia, wanaamini kila kitu hasa kile ambacho siyo cha kisayansi, hawana critical thinking.

Leo kijijini au hata mjini mtu anakunywa maji machafu anaishi kwenye nyumba ambayo dunia nyingine waliishi miaka ya karne ya 17, na kesho yake wanachagua CCM!

Mindset kama hii siyo kuwa conservative au kutokuwa flexible bali ukuda, ujinga, ushamba - bumpkins, hata wasomi wengi wako influenced na hawa 99% kwa sababu ndiyo wanamoishi na wako overwhelmed ni hii mindset
 
Back
Top Bottom