Pre GE2025 Watanzania wengi hawapo Flexible, Wengi ni Conservative na hapo ndipo CCM inaposhindia

Pre GE2025 Watanzania wengi hawapo Flexible, Wengi ni Conservative na hapo ndipo CCM inaposhindia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
😀

Wewe kwa uelewa wako dini ya Ibrahim na dini ya Mûsa ziko sawa?
Au dini ya Mûsa na Daudi ziko sawa?
Au dini ya Daudi na Yesu ziko sawa?

Dini inaendana na utawala zama husika.
Ndio maana ukristo wa leo wa kuabudu Utatuma mtakatifu ni tofauti na ukristo wa karne ya kwanza ambapo Hakukuwa na huo utatu mtakatifu na ingehesabika kuwa ni kufuru.
Kwakweli !
 
Watanzania ndo watu wenye IQ ndogo kuliko mataifa yote ya EA, au pengine wanaizidi Burundi kidogo tu.
Nani kakwambia tunaizidi Burundi? Wale watu kila kukicha wanatimkia ulaya na Arabuni mmoja baada ya mwingine, sisi ukitimka ni kutoka buza mpalanger kwenda mbagala kibonde maji,
Wao rais akicheza na katiba wanaua huku sisi tunamtandikia kanga barabarani
Nchi ya watu wenye akili huwa haina utulivu ni fujo na vurugu mwanzo mwisho hakuna kuoneana wala kuibiana kura kama huku.
 
Kwa hiyo we umebugia tu, hujui IQ ni nini na Wala hukufanya utafiti!!?
Nilifanya utafiti nikagundua Rais wenu anaongoza wafu. Hiyo ikanifanya niamini utafiti uliofanyika siku za nyuma kidogo ulioleta majibu kuwa Tanzanians have the lowest IQ among East Africans.

Mngekuwa na akili mmemtazama tu Mzanzibari akiuza ardhi yenu Watanganyika?
 
Kwa tume hii ya uchaguzi na katiba hii, lazima hilo liwe hitimisho lako. Lakini tume ikiwa huru na katiba bora, utaona ukweli ambao huwezi kuuona katika mazingira haya.
Mimi naamini wananchi wa tz sisi ndio chanzo cha haya yote tunajipenda sana na tunaogopa kufa.
 
Elimu waliyopewa imewadumaza kwasababu ni aina ya elimu ambavyo haikufanyi ujitambue na kutambua mambo kwa wepesi. Mimi wakati nakuwa nilikuwa nawasikia ndugu na jamaa wakisema "mimi nimesoma nimefuta ujinga" lakini kadiri ninavyo kuwa nashanga, ujinga upi walioufata huko shuleni! Mbona bado niwajinga sana.
 
Siyo siri kuwa watanzania wengi wangependa kuona mabadiliko ya ungozi kwenye ngazi zote. Shamra shamra tulizokuwa tunazishiudia miaka hiyo kwa sasa hakuna. CCM inaonekana kuishiwa pumzi, ila wanaoikimbiza nao ni viwete.

Uchaguzi wa mwaka 2015 ulikiacha kilichokuwa chama kikuu cha upinzani katika hali mbaya ya kukosa kuaminiwa na wananchi baada ya kumpa Edward Lowasa apeperushe bendera yao. Wengi walivunjika mioyo yao. Imani ya wananchi kwa chadema haipo tokea wakati ule.

CCM 5 tena. Siyo kwa sababu wengi wanaipenda, ila hakuna mbadala.
 
Siyo siri kuwa watanzania wengi wangependa kuona mabadiliko ya ungozi kwenye ngazi zote. Shamra shamra tulizokuwa tunazishiudia miaka hiyo kwa sasa hakuna. CCM inaonekana kuishiwa pumzi, ila wanaoikimbiza nao ni viwete.

Uchaguzi wa mwaka 2015 ulikiacha kilichokuwa chama kikuu cha upinzani katika hali mbaya ya kukosa kuaminiwa na wananchi baada ya kumpa Edward Lowasa apeperushe bendera yao. Wengi walivunjika mioyo yao. Imani ya wananchi kwa chadema haipo tokea wakati ule.

CCM 5 tena. Siyo kwa sababu wengi wanaipenda, ila hakuna mbadala.
Na kwenye hilo wamefanikiwa, wamejua udhaifu mkubwa wa watanzania uko wapi. ( Easly distracted, wapenda vitonga)
So wape mambo yasiyo umiza, wata ignore yale ya muhimu
 
Siyo siri kuwa watanzania wengi wangependa kuona mabadiliko ya ungozi kwenye ngazi zote. Shamra shamra tulizokuwa tunazishiudia miaka hiyo kwa sasa hakuna. CCM inaonekana kuishiwa pumzi, ila wanaoikimbiza nao ni viwete.

Uchaguzi wa mwaka 2015 ulikiacha kilichokuwa chama kikuu cha upinzani katika hali mbaya ya kukosa kuaminiwa na wananchi baada ya kumpa Edward Lowasa apeperushe bendera yao. Wengi walivunjika mioyo yao. Imani ya wananchi kwa chadema haipo tokea wakati ule.

CCM 5 tena. Siyo kwa sababu wengi wanaipenda, ila hakuna mbadala.
Huna akili ujinga umekujaa.
 
Siyo siri kuwa watanzania wengi wangependa kuona mabadiliko ya ungozi kwenye ngazi zote. Shamra shamra tulizokuwa tunazishiudia miaka hiyo kwa sasa hakuna. CCM inaonekana kuishiwa pumzi, ila wanaoikimbiza nao ni viwete.

Uchaguzi wa mwaka 2015 ulikiacha kilichokuwa chama kikuu cha upinzani katika hali mbaya ya kukosa kuaminiwa na wananchi baada ya kumpa Edward Lowasa apeperushe bendera yao. Wengi walivunjika mioyo yao. Imani ya wananchi kwa chadema haipo tokea wakati ule.

CCM 5 tena. Siyo kwa sababu wengi wanaipenda, ila hakuna mbadala.
Hakuna mtanzania anayejitambua atajitokeza kushiriki kwenye chaguzi za kihuni. Ccm wala wasihangaike tena kuiba kura goli liko wazi, washiriki wenyewe na wajitangaze washindi kisha wajitokeze kushinda kwa kishindo. Yaani kujitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Back
Top Bottom