Watanzania wengi ni wachawi na waganga: Ukizama wanakufariji, ukiinuka wanakushambulia

Watanzania wengi ni wachawi na waganga: Ukizama wanakufariji, ukiinuka wanakushambulia

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
6,373
Reaction score
16,073
Ukiwa na madhila utapata watu wengi sana wa kukushauri na kukupa nasaha.

Wengine watajifanya motivational speakers huku wakikupa usia wa mambo kadhaa ya kubumba.

Baadhi watajitutumua na kujifaragua kwamba wanakujali sana, ati wako tayari hata kufunga novena.

Lakini ukiwaambia nina milioni kadhaa nataka nifanye biashara wanavimbisha mishavu na kununa.

Au ukiwapa taarifa kwamba familia yako ina furaha na mnaishi kwa amani na upendo watajifanya kucheka usoni lakini wakitoka hapo wanatimua mbio wanaenda kufungua mikoba yao ya kichawi kukusambaratisha.

Kuna mmoja nilimfuma ananinafikia nikamzaba makofi matatu akabaki kujiliza na kuomba msamaha kwa wingi.

Watu wengi wanapenda kukuona ukifeli na kushindwa. Hata ndugu zako pia.

Wakijifanya kukutabasamia kaza uso. Wanaigiza.

MY TAKE: Tuishi kwa machale.
 
Sitasahau baada ya mama yangu kufariki tumezika jioni yake nikam bamba rafiki yangu ananisema! " atakoma alikua anaringa sana tuone sasa " toka siku hiyo rafiki yangu ni mume wangu na ndugu tumbo moja.
 
Ukiwa na madhila utapata watu wengi sana wa kukushauri na kukupa nasaha.

Wengine watajifanya motivational speakers huku wakikupa usia wa mambo kadhaa ya kubumba.

Baadhi watajitutumua na kujifaragua kwamba wanakujali sana, ati wako tayari hata kufunga novena.

Lakini ukiwaambia nina milioni kadhaa nataka nifanye biashara wanavimbisha mishavu na kununa.

Au ukiwapa taarifa kwamba familia yako ina furaha na mnaishi kwa amani na upendo watajifanya kucheka usoni lakini wakitoka hapo wanatimua mbio wanaenda kufungua mikoba yao ya kichawi kukusambaratisha.

Kuna mmoja nilimfuma ananinafikia nikamzaba makofi matatu akabaki kujiliza na kuomba msamaha kwa wingi.

Watu wengi wanapenda kukuona ukifeli na kushindwa. Hata ndugu zako pia.

Wakijifanya kukutabasamia kaza uso. Wanaigiza.

MY TAKE: Tuishi kwa machale.
mswahili ni kiumbe cha ovyo sana kwenye hii dunia
 
Ukiwa na madhila utapata watu wengi sana wa kukushauri na kukupa nasaha.

Wengine watajifanya motivational speakers huku wakikupa usia wa mambo kadhaa ya kubumba.

Baadhi watajitutumua na kujifaragua kwamba wanakujali sana, ati wako tayari hata kufunga novena.

Lakini ukiwaambia nina milioni kadhaa nataka nifanye biashara wanavimbisha mishavu na kununa.

Au ukiwapa taarifa kwamba familia yako ina furaha na mnaishi kwa amani na upendo watajifanya kucheka usoni lakini wakitoka hapo wanatimua mbio wanaenda kufungua mikoba yao ya kichawi kukusambaratisha.

Kuna mmoja nilimfuma ananinafikia nikamzaba makofi matatu akabaki kujiliza na kuomba msamaha kwa wingi.

Watu wengi wanapenda kukuona ukifeli na kushindwa. Hata ndugu zako pia.

Wakijifanya kukutabasamia kaza uso. Wanaigiza.

MY TAKE: Tuishi kwa machale.
Kuna jirani zangu wanne hivi wao walishajenga kipindi kirefu wakati Mimi nikiendelea kusaka pesa za kujengea.

Muda wote huo walinisihi nianze ujenzi na kunipa moyo kuwa naweza kuanza hata na kiasi kidogo cha pesa.
Sasa nilipoanza kujenga nilitegemea wanipe moyo zaidi lakini cha ajabu wamenuna hatari, daah!!
 
Hata humu JF weka thread 'NINA MIAKA 6 BILA AJIRA NATESEKA KWELI' utapata maneno ya kufariji na thread itakuwa ndefu sana, sasa andika thread 'NAOMBA USHAURI BIASHARA GANI NZURI KWA MTAJI WA 200M' watu watakushambulia kama mpira wa kona.
 
Kuna jirani zangu wanne hivi wao walishajenga kipindi kirefu wakati Mimi nikiendelea kusaka pesa za kujengea.

Muda wote huo walinisihi nianze ujenzi na kunipa moyo kuwa naweza kuanza hata na kiasi kidogo cha pesa.
Sasa nilipoanza kujenga nilitegemea wanipe moyo zaidi lakini cha ajabu wamenuna hatari, daah!!
Usishangae wao ndio walikuwa wanakufunga usijenge, kuwa makini...

Naona Mleta mada kachelewa KUJUA uhalisia wa binadamu...
 
Hata humu JF weka thread 'NINA MIAKA 6 BILA AJIRA NATESEKA KWELI' utapata maneno ya kufariji na thread itakuwa ndefu sana, sasa andika thread 'NAOMBA USHAURI BIASHARA GANI NZURI KWA MTAJI WA 200M' watu watakushambulia kama mpira wa kona.
Umepiga pennyewe...kama ni makalio basi ni kwenye kiini chake
 
Back
Top Bottom