Watanzania wengi ni wachawi na waganga: Ukizama wanakufariji, ukiinuka wanakushambulia

Watanzania wengi ni wachawi na waganga: Ukizama wanakufariji, ukiinuka wanakushambulia

Hata Huyo mume na ndugu wanaweza kukugeuka

Minimize your expectations to anyone in this world
kabisa mkuu. kuna jamaa yangu ndugu wamemtesa sana kisa tu alikuwa fevorate kid kwa mama, wamempeleka jela mwaka na nusu kesi ya kusingiziwa baada ya kumaliza 6, mama kampambania mpaka katoka, badae kaenda chuo kapata kazi akawa anamsaidia sana mama, ndugu roho zinataka kuwatoka, ndugu wakaenda kazini kwake kusiliba kuwa jamaa anaiba sana, mwamba kasimamishwa kazi ila uchunguzi ukaonyerha hakuna alichoiba akarejeshwa, ndugu hawakuishia hapo, wakasambaratisha ndoa yake, mama kafariki, kwa sasa wanataka kumnyang'anya urithi wake wampe mdogo wao wa kike, kuna ndugu wengine hawafai.
 
Hata Huyo mume na ndugu wanaweza kukugeuka

Minimize your expectations to anyone in this world
Hao ndo marafiki zangu wa kweli nakupa kitu ilinitokea, mwaka 2017 nikiwa kwenye kazi zangu na kazi huwa naanza saa 12 asubuhi nakuwa bize sana mpaka mida ya saa 4 asubuhi napata muda kidogo wa kupumzika. Sasa ililetwa chai na best wateja wamepungua nikasema niinywe ile kunywa tu nilianguka na nilizinduka baada ya siku 3, nazinduka sijielewi nimepalalaiz upande mmoja yani sina hamu. Mume huyu huyu ndo alinihudumia na kupambana sana hapo ananihudumia huku kuna watoto mapacha. Rafiki sikuona hata mmoja zaidi ya mume na ndugu tena wa tumbo moja tu!
 
Hao ndo marafiki zangu wa kweli nakupa kitu ilinitokea, mwaka 2017 nikiwa kwenye kazi zangu na kazi huwa naanza saa 12 asubuhi nakuwa bize sana mpaka mida ya saa 4 asubuhi napata muda kidogo wa kupumzika. Sasa ililetwa chai na best wateja wamepungua nikasema niinywe ile kunywa tu nilianguka na nilizinduka baada ya siku 3, nazinduka sijielewi nimepalalaiz upande mmoja yani sina hamu. Mume huyu huyu ndo alinihudumia na kupambana sana hapo ananihudumia huku kuna watoto mapacha. Rafiki sikuona hata mmoja zaidi ya mume na ndugu tena wa tumbo moja tu!
Duuh.! Pole sana kweli Binadamu sio watu
 
Back
Top Bottom