BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #41
Huna lolote.Tafuta mchawi anikamate. Nitakulipa wewe na hiyo mchawi wako, until the mtu yeyote anayeamini Uchawi ni mjinga au maskini au both.
kabisa mkuu. kuna jamaa yangu ndugu wamemtesa sana kisa tu alikuwa fevorate kid kwa mama, wamempeleka jela mwaka na nusu kesi ya kusingiziwa baada ya kumaliza 6, mama kampambania mpaka katoka, badae kaenda chuo kapata kazi akawa anamsaidia sana mama, ndugu roho zinataka kuwatoka, ndugu wakaenda kazini kwake kusiliba kuwa jamaa anaiba sana, mwamba kasimamishwa kazi ila uchunguzi ukaonyerha hakuna alichoiba akarejeshwa, ndugu hawakuishia hapo, wakasambaratisha ndoa yake, mama kafariki, kwa sasa wanataka kumnyang'anya urithi wake wampe mdogo wao wa kike, kuna ndugu wengine hawafai.Hata Huyo mume na ndugu wanaweza kukugeuka
Minimize your expectations to anyone in this world
Hao ndo marafiki zangu wa kweli nakupa kitu ilinitokea, mwaka 2017 nikiwa kwenye kazi zangu na kazi huwa naanza saa 12 asubuhi nakuwa bize sana mpaka mida ya saa 4 asubuhi napata muda kidogo wa kupumzika. Sasa ililetwa chai na best wateja wamepungua nikasema niinywe ile kunywa tu nilianguka na nilizinduka baada ya siku 3, nazinduka sijielewi nimepalalaiz upande mmoja yani sina hamu. Mume huyu huyu ndo alinihudumia na kupambana sana hapo ananihudumia huku kuna watoto mapacha. Rafiki sikuona hata mmoja zaidi ya mume na ndugu tena wa tumbo moja tu!Hata Huyo mume na ndugu wanaweza kukugeuka
Minimize your expectations to anyone in this world
Kwetu tumezaliwa tumbo moja namaanisha Baba na Mama hakuna watoto wa nje ya ndoa.Baba mmoja je?
Duuh.! Pole sana kweli Binadamu sio watuHao ndo marafiki zangu wa kweli nakupa kitu ilinitokea, mwaka 2017 nikiwa kwenye kazi zangu na kazi huwa naanza saa 12 asubuhi nakuwa bize sana mpaka mida ya saa 4 asubuhi napata muda kidogo wa kupumzika. Sasa ililetwa chai na best wateja wamepungua nikasema niinywe ile kunywa tu nilianguka na nilizinduka baada ya siku 3, nazinduka sijielewi nimepalalaiz upande mmoja yani sina hamu. Mume huyu huyu ndo alinihudumia na kupambana sana hapo ananihudumia huku kuna watoto mapacha. Rafiki sikuona hata mmoja zaidi ya mume na ndugu tena wa tumbo moja tu!
Kwa kuongezea huyu mume ni kichaa mwenzangu, rafiki best yani tuna matukio ambayo yanizidisha upendo kiasi kwamba tumepita milima na mabonde nikisimulia hapa unaweza sema natunga ila ndo kweli yenyewe!Hata Huyo mume na ndugu wanaweza kukugeuka
Minimize your expectations to anyone in this world
Tena hawa tunaowaita watu wa karibu ni wabaya sana, wako kwa ajili ya kuhakikisha hutuendi mbeleDuuh.! Pole sana kweli Binadamu sio watu
Mungu wangu.... Kumbe ndivyo ilivyo??Anaendeleza juhudi za kukuloga na kuchochea matunguri.
Ipo sana mikoa ya kusini hii baba kumloga mwanae asifanikiweWanaroho mbaya sana hata baba usimwamini,unaweza Kuta dingi anakuroga wakati huo huo Anataka pesa zako
Aliwapa elimu gani? Na ss tulee wanetuKadri siku zinaenda naendelea kugundua mzee alikua genius kwa jinsi alivotulea mpaka Leo mambo madogo ya kijamiii kwa sehemu kubwa hayanipi shida
Yeah this is true...Hata Huyo mume na ndugu wanaweza kukugeuka
Minimize your expectations to anyone in this world
Utakuwa mchawi wew au ndo tabia yako na wew kupiga simu bila kuongeaYou must be as dumb as brick.
Yes umemjibu vizuri huyu naye atakuwa mchawi manake anakasirika ninYou must be as dumb as stone.
AND DON'T FORGET: You must be a witch.
Nikikukamata nakuzaba makofi matatu.