ni kweli kabisa watu wafupi hasa wanaume wafupi wana shida sana hasa tabia zao za kujihisi muda wote kuwa wanadharauliwa,kujitia ujuaji uliopitiliza,wana gubu sio la nchi hii,infact hawajiamini hta kidogo talking from experienceKama mtu mfupi kampenda mfupi mwenzake anasaidiwaje huyo?
#nooffence...hakunaga kazi ngumu kama kudeal na mtu mfupi...ni heri waowane/tuowane wenyewe kwa wenyewe tu
Ooh. πAngalau ft 5.8
Shadeeya mambo? Nje ya maadaOoh. [emoji120]
Babu zetu wamekula weee...dona still walikuwa warefu na hata sisi watoto wao tumerithi urefu wao, mfano Baba mzazi alikuwa na urefu wa futi 6.10 pia ndiyo waliobahatika kuishi miaka mingi sana kuliko ninyi mnaoigaiga mavyakula haya ya kipumbavu kama kuku wenu mataira wasio na baba wala mama/kuku wa kisasa.
Afu usiwe mjinga kiasi hata panya akakuzidi akili, dona ndicho chakula bora zaidi kuliko sembe lako hilo maana husaidia sana mmeng'enyo wa chakula kupatikana kirahisi tokana na nyuzi nyuzi zipatikanazo kwenye viini vya mahindi na maganda yake(fibres).
Kwanini panya akuzidi akili Binadamu ambaye haangaiki kula makapi tupu/mahindi yaliyokobolewa zaidi ya kula kiini cha mahindi na maganda yake pekee?
Stuka, chukua hatua sasa "haki afya"[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
China ni wafupi ila wana jeshi imara sana. China ni wafupi, lakini kazi yao kwenye teknolojia si kitoto. So kama urefu ni akili hayo mambo ya chromosomes, wachina wangeyaelewa ili wapate warefu. Ila pia, ukipata chance ya kutengeneza 'hybridi' na couple ndefu si mbaya. Urefu pia ni mzuri kwa bongo hasa ukiwa mwalimu maana unaweza andika ubaoni bila kusimamia kucha, na kuwaona vizuri watoto wanaotoroka shule, lakini marekani urefu uleule ungekufanya uwe na pesa kwa kucheza kikapu.!.hahahahaha!(tusake pesa vimo hivi kama havitupi maslahi havina maana kwetu-kimo ni fursa)
bila kisahau china , indonesia, mtoa mada anazingua
Mie Alhamdulillah niko salama kabisa.Shadeeya mambo? Nje ya maada
Naam kheri, nikija pm hujibu kabisaMie Alhamdulillah niko salama kabisa.
Mimi nikilala kwa kunyooka kitandani, utosi unagusa kitanda na nyayo zinapitiliza kidogo kitandani. Means Nina kama futi 6 hivi (183CM). Ila mtaani wananiita "Tall".Kwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38.
Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu.
Ila kusema ukweli watanzania wengi wafupi mno kwa kweli. Nadhani kuna haja ya kulitazama hili swala kwa jicho la tatu, kwa mstakabali wa mwendelezo wa kizazi chetu.
Ikiwezekana mashuleni kwenye mambo ya genetics basi wanafunzi wafundishe hata unapotaka kuchagua mwenza basi hakikisha angalau unachagua yule mnaepisha kimo ili angalau kutokomoza tatizo la ufupi.
Kwa sababu nimegundua pia inachangiwa pia unakuta mtu mfupi then anaoa mfupi mwenzia.
Inashangaza mimi naonekana mrefu wakati ukienda maeneo mengine mimi ni wakawaida tu. Sijabahatika kufika nchi za wenzetu hasa ulaya, lakini hawa wote ninaowaonaga hapa kwetu wengi ni wana vimo vya kuridhisha sana. Yaani hata mimi nikikaa katikati yao naonekana wa kawaida tu. Ukiangalia hata hapa Afrika mashariki wenzetu kuna unafuu aisee.
Nb:samahanini kwa wale warefu kwenda chini kama nitakuwa nimewakwaza.
[emoji2398]troublemaker 2019. all right reserved
Kwa nchi zingine iko ni kimo standard tu.Mimi nikilala kwa kunyooka kitandani, utosi unagusa kitanda na nyayo zinapitiliza kidogo kitandani. Means Nina kama futi 6 hivi (183CM). Ila mtaani wananiita "Tall".
Najiona wa kawaida tu. Ila nikisimama mahali kwenye watu wengi, nakua nimewapita vimo. Hapa ndo naamini maneno yako kua wengi wetu ni Wafupi.
Na wewe una ngapi Shadeeya? πOoh. π
Hakuna ukwl wowote zaidi ya upuuzi