usimamizi mbaya
Member
- Nov 3, 2024
- 55
- 92
Tunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu,Halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano. Hapo ye anatauta hela ya kula tu basi.Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.
✍️👍Kumbuka, pengine zaidi ya 70% ya watanganyika ni masikini. Na zaidi ya 20% ya wenye fedha za ziada, haziandikiki, yaani ni wezi na wapigaji! Pengine 10% ya wenye pesa mingi kupitiliza, ndio wakwepa kodi wakubwa, mafisadi papa, wauza ngada, watakatishaji etc.
Nyumba ni Liability kama ndoto zako ni kumiliki nyumba kwaajili ya kuishi amka amka kumekucha....Tunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu, halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano.
Hapo yeye anatafuta hela ya kula tu basi. Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.
Ujumbe mzuri mkuu asante kwa chapuoTunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu, halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano.
Hapo yeye anatafuta hela ya kula tu basi. Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.
Napinga hoja zako hazina mshiko..Tunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu, halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano.
Hapo yeye anatafuta hela ya kula tu basi. Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.
Tatizo ni kwamba watz wengi tunafocus kwenye kuongeza liabilities yaani vitu vinavyotoa hela mfukoni kama gari na nyumba na si kwenye kuongeza assets.Tunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu, halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano.
Hapo yeye anatafuta hela ya kula tu basi. Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.
Sijazungumzia kazi za kurisk.Hoja wengi wakishajenga wanaona wamemaliza hawapambani kupata uwekezaji zaidi.Napinga hoja zako hazina mshiko..
Sababu ukizidi kutafuta pesa kwa nguvu huenda ukaishia gerezani na hiyo nyumba wakalalia wengine.
Nashauri kwamba ukizidi kupata mafanikio especially kwa kazi za kurisk maisha basi unapaswa upunguze kasi ili usiishie pabaya..
Sawa mkuuSijazungumzia kazi za kurisk.Hoja wengi wakishajenga wanaona wamemaliza hawapambani kupata uwekezaji zaidi.
Uwezo wa kufikiri na kujituma pamoja na kuwa na marafiki wa fikra kama zako kwamba ukijenga umemaliza.
Tofauti ya kujenga nyumba na kujenga mahali pakujisiri tofauti ipo wapi?Kuna kujenga nyumba na kujenga mahali pa kujisitiri🤔
Kupanga sio ushujaa lknTunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu, halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano.
Hapo yeye anatafuta hela ya kula tu basi. Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.
Hatujakataa kujenga si jambo bora,bali kwajili mtu akijenga anajiziuka na kujiona amemaliza?Basi tukubaliane hapahapa kuanzia leo tusijenge tuishi kama machura kwenye matope!, tena ikabidi tuishi kama kamongo kwenye matope na maji!.