kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Sera za Russia ni tofauti na west katika kutambua haki za mashoga. Suala la madini sitokujibu pengine hujui chochote juu ya rasilimali hyo.Kuna faida gani kufa huku umeng'ang'ania madini?hiyo akili matope?Aliyekuambia Russia hakuna mashoga na Nani?
Watanzania wengi wanamuunga mkono Russia, wakidhani ni USSR. Hawajui kuwa wanachanganya kati ya Russia na USSR. Russia na USSR ni vitu viwili tofauti ingawa historia inaonyesha Russia aliwahi kuwa sehemu ya USSR, lakini nje ya USSR.
Russia hakuwahi kuwa na msaada kwa Tanzania na waafrika, Russia anatumia address za USSR kama vile Moscow, St Petersburg na Majengo ya balozi za iliyokuwa USSR, na technolojia, hicho ndicho kinapelekea wengi kuendelea kudhania kuwa Russia ndiye USSR .
Sasa hivi, Russia anagombana na mwenzake waliyewahi kuwa naye huko USSR, waafrika wanadhani Russia ndiye USSR na kuna mchi nje ya Afrika zinadhani Russia ndiye USSR. Kunachooelekea wengi kudhania hivyo wakiwemo US na NATO ni kitendo cha Russia kuendelea kutembea katika viatu na historia ya USSR. Hata urafiki wa nchi yetu na yao ni ule kihistoria wa enzi za USSR tu.
Kinachombeba huyu Russia hata wengine waamue kumchukulia serious ni resources alizo nazo, technology na ubabe na uchumi aliou rithi kutoka USSR...
Britanicca
Kupewa ARV bure waita matope? Si mkatae kupokea tu? Usiseme kachukua madini. Sema umempa madini. Kaiba?Ulitaka tusapoti ushoga? Kuna msaada gani wa maana kutoka west? Anakupa ARV anachukua madini, hyo ni msaada au matope?
Wamesaini posho tuuuuHivi Wabunge Jana wametoka na tamko lolote tangible?? Au wamesaini tu Posho?
Sio kwel mkuu Russia ina msaada mkubwa sn tz ukienda kule kibaha utakutana na wanajesbi wengi tu wa kirusi tunasaidiana kwenye upande wa vifaru na mizinga ya masafa marefu pia ata officer cadet wengi tu wa tz wanafanya training Russia ninavyoandika hapa kuna cadet kama 50 au zaid wanajiandaa kwenda Russia kwenye trainingWatanzania wengi wanamuunga mkono Russia, wakidhani ni USSR. Hawajui kuwa wanachanganya kati ya Russia na USSR. Russia na USSR ni vitu viwili tofauti ingawa historia inaonyesha Russia aliwahi kuwa sehemu ya USSR, lakini nje ya USSR.
Russia hakuwahi kuwa na msaada kwa Tanzania na waafrika, Russia anatumia address za USSR kama vile Moscow, St Petersburg na Majengo ya balozi za iliyokuwa USSR, na technolojia, hicho ndicho kinapelekea wengi kuendelea kudhania kuwa Russia ndiye USSR .
Sasa hivi, Russia anagombana na mwenzake waliyewahi kuwa naye huko USSR, waafrika wanadhani Russia ndiye USSR na kuna mchi nje ya Afrika zinadhani Russia ndiye USSR. Kunachooelekea wengi kudhania hivyo wakiwemo US na NATO ni kitendo cha Russia kuendelea kutembea katika viatu na historia ya USSR. Hata urafiki wa nchi yetu na yao ni ule kihistoria wa enzi za USSR tu.
Kinachombeba huyu Russia hata wengine waamue kumchukulia serious ni resources alizo nazo, technology na ubabe na uchumi aliou rithi kutoka USSR.
Britanicca
achana nae mkuu huyu ni wale watu wa bendera ya upinde wa mvua sasa anang'ang'ania Putin ammwagie ndani sasa Putin ni mtu wa kaziWe jamaa upo frustrated. News zote hizi unamtukana Mrusi.
Nadhani unatakiwa ujichunguze. Ipo na matatizo sehemu. Vilevile nakusihi uijue historia ya Urusi. Asilimia kubwa ya viongozi wa Israel wamefundishwa na Urusi. Ndio maana Victory day Urusi na Israel husherehekea siku moja.
Watanzania wengi wanamuunga mkono Urusi wakidhani ni USSR, siyo na mjue Urusi hana msaada aliowahi toa Kwa Tanzania
Watanzania wengi wanamuunga mkono Russia, wakidhani ni USSR. Hawajui kuwa wanachanganya kati ya Russia na USSR. Russia na USSR ni vitu viwili tofauti ingawa historia inaonyesha Russia aliwahi kuwa sehemu ya USSR, lakini nje ya USSR. Russia hakuwahi kuwa na msaada kwa Tanzania na waafrika...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Kwanini Israel ni Taifa dogo ila linaheshimika na kuogopeka?
ISRAEL ISRAEL ISRAEL Kila nchi ulimwenguni hasa ZILE kubwa zinajikomba Kwa ISRAEL , hata UMOJA wa mataifa kuna Muda unakuwa na kigugumizi juu ya Mienendo ya ISRAEL . Israel inaogopeka saana na Mataifa mengine kutokana na:- 1. Uwezo wa teknolojia kijeshi na kijamii. 2. Uwezo wa intelejensia...www.jamiiforums.com
Intelligence ya UKRAINE inaitesa Urusi, tangu kuanza kwa wiki hii Urusi alianza kuonekana na uhakika na ushindi wa Azovstal, kumbe kachezewa akili
Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema , Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke. Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote. Lengo lilikuwa ni...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Nimeishi Urusi najua Tamaduni zake, pamoja na Ukubwa wa Jeshi lake Rushwa ndiyo inawafanya wasikamilishe malengo kwa muda
Nimekuwa Russia tokea mwaka 2008 hadi 2011 alafu nikaenda Peru Na baadae kurejea Russia 2013 Russia ina rasilimali nyingi sana, ardhi hakika imebarikiwa. Russia ina historia, Russia ina utamaduni. Russia ina watu washindani wenye kuichangamsha dunia kwa kuipa ladha. Tatizo kubwa linaloiumiza...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno
Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote...www.jamiiforums.com
Ni maono tu kama Mengi nayosemaga yakatokea hata yasipotokea now ipo siku URUSI itahawanyika ama Kaskazini na kusini Au Magharibi na mashariki
Kwa jiografia Urusi ni Nchi kubwa Kwa eneo kuliko nchi yeyote ile duniani, na Kwa kushangaza hawatumii ukubwa huo kama advantage kwao , njia sahihi ya kuiongoza Urusi ilibidi iwe ya Majimbo kama ilivyo USA, na Demokrasia ilitakiwa kutamalaki sana ili kuondoa mbinu za kutaka ama kupindya serikali...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)
Habari za wanandugu hapa! Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka...www.jamiiforums.com
Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow
Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya. Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na vifaa vyake vya kivita Russia aliishia kupata hasara kubwa sana kwenye ile winter war, zaidi akaishia...www.jamiiforums.com
[emoji56][emoji56]jamaa analipwa shilingi ngapi huyu,manake propaganda hizi sio burebure tu huyu analipwa!We jamaa upo frustrated. News zote hizi unamtukana Mrusi.
Nadhani unatakiwa ujichunguze. Ipo na matatizo sehemu. Vilevile nakusihi uijue historia ya Urusi. Asilimia kubwa ya viongozi wa Israel wamefundishwa na Urusi. Ndio maana Victory day Urusi na Israel husherehekea siku moja.
Watanzania wengi wanamuunga mkono Urusi wakidhani ni USSR, siyo na mjue Urusi hana msaada aliowahi toa Kwa Tanzania
Watanzania wengi wanamuunga mkono Russia, wakidhani ni USSR. Hawajui kuwa wanachanganya kati ya Russia na USSR. Russia na USSR ni vitu viwili tofauti ingawa historia inaonyesha Russia aliwahi kuwa sehemu ya USSR, lakini nje ya USSR. Russia hakuwahi kuwa na msaada kwa Tanzania na waafrika...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Kwanini Israel ni Taifa dogo ila linaheshimika na kuogopeka?
ISRAEL ISRAEL ISRAEL Kila nchi ulimwenguni hasa ZILE kubwa zinajikomba Kwa ISRAEL , hata UMOJA wa mataifa kuna Muda unakuwa na kigugumizi juu ya Mienendo ya ISRAEL . Israel inaogopeka saana na Mataifa mengine kutokana na:- 1. Uwezo wa teknolojia kijeshi na kijamii. 2. Uwezo wa intelejensia...www.jamiiforums.com
Intelligence ya UKRAINE inaitesa Urusi, tangu kuanza kwa wiki hii Urusi alianza kuonekana na uhakika na ushindi wa Azovstal, kumbe kachezewa akili
Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema , Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke. Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote. Lengo lilikuwa ni...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Nimeishi Urusi najua Tamaduni zake, pamoja na Ukubwa wa Jeshi lake Rushwa ndiyo inawafanya wasikamilishe malengo kwa muda
Nimekuwa Russia tokea mwaka 2008 hadi 2011 alafu nikaenda Peru Na baadae kurejea Russia 2013 Russia ina rasilimali nyingi sana, ardhi hakika imebarikiwa. Russia ina historia, Russia ina utamaduni. Russia ina watu washindani wenye kuichangamsha dunia kwa kuipa ladha. Tatizo kubwa linaloiumiza...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno
Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote...www.jamiiforums.com
Ni maono tu kama Mengi nayosemaga yakatokea hata yasipotokea now ipo siku URUSI itahawanyika ama Kaskazini na kusini Au Magharibi na mashariki
Kwa jiografia Urusi ni Nchi kubwa Kwa eneo kuliko nchi yeyote ile duniani, na Kwa kushangaza hawatumii ukubwa huo kama advantage kwao , njia sahihi ya kuiongoza Urusi ilibidi iwe ya Majimbo kama ilivyo USA, na Demokrasia ilitakiwa kutamalaki sana ili kuondoa mbinu za kutaka ama kupindya serikali...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...www.jamiiforums.com
Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)
Habari za wanandugu hapa! Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka...www.jamiiforums.com
Putin anatakiwa kukutana na nchi kama Finland ambayo sasa naona ameanza kuichokonoa, atashangaa NATO ipo Moscow
Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya. Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na vifaa vyake vya kivita Russia aliishia kupata hasara kubwa sana kwenye ile winter war, zaidi akaishia...www.jamiiforums.com
Mashudu matupu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji123]Watanzania wengi wanamuunga mkono Russia, wakidhani ni USSR. Hawajui kuwa wanachanganya kati ya Russia na USSR. Russia na USSR ni vitu viwili tofauti ingawa historia inaonyesha Russia aliwahi kuwa sehemu ya USSR, lakini nje ya USSR.
Russia hakuwahi kuwa na msaada kwa Tanzania na waafrika, Russia anatumia address za USSR kama vile Moscow, St Petersburg na Majengo ya balozi za iliyokuwa USSR, na technolojia, hicho ndicho kinapelekea wengi kuendelea kudhania kuwa Russia ndiye USSR .
Sasa hivi, Russia anagombana na mwenzake waliyewahi kuwa naye huko USSR, waafrika wanadhani Russia ndiye USSR na kuna mchi nje ya Afrika zinadhani Russia ndiye USSR. Kunachooelekea wengi kudhania hivyo wakiwemo US na NATO ni kitendo cha Russia kuendelea kutembea katika viatu na historia ya USSR. Hata urafiki wa nchi yetu na yao ni ule kihistoria wa enzi za USSR tu.
Kinachombeba huyu Russia hata wengine waamue kumchukulia serious ni resources alizo nazo, technology na ubabe na uchumi aliou rithi kutoka USSR.
Britanicca
Uyu jamaa Leo ndio nimemuona kiazi sana nilkua nazan watu wanamuoneaKati ya kiazi namba moja ni wewe from russian empire, Soviet Union mpk leo Russia federation maamuzi yote yanatokea katika Kremlin pale Moscow Zama za Soviet uliwahi kusikia maamuzi ya kitu fulani yamefanywa na nchi ingine zaidi ya Russia. Umekuwa brainwashed sana na hawa westerners asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nichemshe unileUyu jamaa Leo ndio nimemuona kiazi sana nilkua nazan watu wanamuonea
Sawasawa...Watanzania wengi wanamuunga mkono Russia, wakidhani ni USSR. Hawajui kuwa wanachanganya kati ya Russia na USSR. Russia na USSR ni vitu viwili tofauti ingawa historia inaonyesha Russia aliwahi kuwa sehemu ya USSR, lakini nje ya USSR.
Russia hakuwahi kuwa na msaada kwa Tanzania na waafrika, Russia anatumia address za USSR kama vile Moscow, St Petersburg na Majengo ya balozi za iliyokuwa USSR, na technolojia, hicho ndicho kinapelekea wengi kuendelea kudhania kuwa Russia ndiye USSR .
Sasa hivi, Russia anagombana na mwenzake waliyewahi kuwa naye huko USSR, waafrika wanadhani Russia ndiye USSR na kuna mchi nje ya Afrika zinadhani Russia ndiye USSR. Kunachooelekea wengi kudhania hivyo wakiwemo US na NATO ni kitendo cha Russia kuendelea kutembea katika viatu na historia ya USSR. Hata urafiki wa nchi yetu na yao ni ule kihistoria wa enzi za USSR tu.
Kinachombeba huyu Russia hata wengine waamue kumchukulia serious ni resources alizo nazo, technology na ubabe na uchumi aliou rithi kutoka USSR.
Britanicca
Ulitumwa ufanye mapenzi ovyo ovyo, mpaka uingie ktk ARV
#35 isome kwa kutulia Kuna ukweliNichemshe unile