Watanzania wengi wanapenda kuwa Usalama wa Taifa

Watanzania wengi wanapenda kuwa Usalama wa Taifa

Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimwa ukatawala Kama dakika 3.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wanahamasisha! Maana tunawaona hata mitaani, kwanza muda wote wanaweza kuvunja sheria mchana kweupee na mtu asimuulize chochote hata kuwe na askari au sheria ya aina gani, huku barabarani mtu anakuchezea rafu hata muda mingine kukusababishia ajali na anaweza asisimame sasa nani asietaka kuishi hivyo kwenye nchi kama hii! Nani asietaka kua mshenzi kiasi hicho!!?
 
Hata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.

Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!

Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.

.............................................................
Unafikiria 800k allowance per day nani asieitaka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimwa ukatawala Kama dakika 3.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuingia sehemu ambapo huwez toka
Ndugu mim ni hohahehae tu nauza samaki maisha yanaends
aaah samaki biashara kubwa sana hiyo, mie kikubwa niwe kitengo tu.. hayo mambo ya kutoka tutajuana nayo mbele kwa mbele, naweza kuja kuwa DGIS tukatoka kabisaa madili makubwa makubwa nakuwa nakupasia
 
Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimwa ukatawala Kama dakika 3.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23]
 
Watanzania wengi Wana DNA za Umbeya, kutafuta SIFA na kupenda ngono.

Ndio maana kuanzia Media mpaka MITANDAONI, watu wanaojua kubuni tabiri tabiri, kujifanya wanajua Nini kinaendelea sehemu fulani ni wengi.

Vitu Kama, Za ndaaaani kabisa .,....vina wafuasi wengi.

Pili, Watu wengi sana Wana imagination za ajabu sana kuhusu TISS Kwasababu shughuli zao ni siri. Na wengi wamekuwa wakiwafikiria kwa makubwa sana kuliko uhalisia.

Binafsi, nimewahi kuwa mlinzi, lindo nililokuwepo tulikuwa tunalinda na hao TISS enzi za Magu.

Mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia
Nakukumbuka kijana.

Ila mbona mlikuwa mnatuogopa Sana tukija kulinda Yale makinikia/mchanga wa magu pale kazini kwako Zambia cargo (mofed)?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
aaah samaki biashara kubwa sana hiyo, mie kikubwa niwe kitengo tu.. hayo mambo ya kutoka tutajuana nayo mbele kwa mbele, naweza kuja kuwa DGIS tukatoka kabisaa madili makubwa makubwa nakuwa nakupasia
sawa kila kheri
 
Jamaa ni watu wa kawaida sana ila humu wanakuwa overrated sana, nakumbuka kuna siku IGP kaja na wao walikuja kupiga gwaride kumpokea na suti zao ni watu wa kawaida tu kama professional zingine mfano walimu nk

Mwingine alikuwa jirani yetu ,alikuwa dereva huko TISS na ile nyumba ni ya TISS nyumba kubwa kama Hostel,jamaa alikuwa kama madereva wengine wa serikali
 
Back
Top Bottom