Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Najua basi ๐๐๐๐Naomba connection na mie niingie kitengo madam mzuri.. niwa navaa kaunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua basi ๐๐๐๐Naomba connection na mie niingie kitengo madam mzuri.. niwa navaa kaunda
๐๐๐Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimwa ukatawala Kama dakika 3.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
tusifanyiane hivyo madam.. nikipata kazi kitengoni mshahara wa kwanza wote nakupa wewe... ๐๐Najua basi ๐๐๐๐
Unafikiria 800k allowance per day nani asieitakaHata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.
Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!
Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.
.............................................................
800k kwa level ipi mkuu ? maana majamaa watakuwa na mahela sana eehUnafikiria 800k allowance per day nani asieitaka
Zile Kazi za.kisiasa Zanzibar na maandalizi ya ujio wa mafisi maji800k kwa level ipi mkuu ? maana majamaa watakuwa na mahela sana eeh
Unataka kuingia sehemu ambapo huwez tokatusifanyiane hivyo madam.. nikipata kazi kitengoni mshahara wa kwanza wote nakupa wewe... ๐๐
Mwana nipe connection basi au niunge na mdauZile Kazi za.kisiasa Zanzibar na maandalizi ya ujio wa mafisi maji
Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimwa ukatawala Kama dakika 3.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
aaah samaki biashara kubwa sana hiyo, mie kikubwa niwe kitengo tu.. hayo mambo ya kutoka tutajuana nayo mbele kwa mbele, naweza kuja kuwa DGIS tukatoka kabisaa madili makubwa makubwa nakuwa nakupasiaUnataka kuingia sehemu ambapo huwez toka
Ndugu mim ni hohahehae tu nauza samaki maisha yanaends
Tudokeze kidogo mtaalamu..Wengi wanaijua hii kazi juu juu tu,hii ni moja ya kazi za hatari sana,
Sitaki kuongea mengi ila najua wakubwa watanielewa.
[emoji23]Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimwa ukatawala Kama dakika 3.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nakukumbuka kijana.Watanzania wengi Wana DNA za Umbeya, kutafuta SIFA na kupenda ngono.
Ndio maana kuanzia Media mpaka MITANDAONI, watu wanaojua kubuni tabiri tabiri, kujifanya wanajua Nini kinaendelea sehemu fulani ni wengi.
Vitu Kama, Za ndaaaani kabisa .,....vina wafuasi wengi.
Pili, Watu wengi sana Wana imagination za ajabu sana kuhusu TISS Kwasababu shughuli zao ni siri. Na wengi wamekuwa wakiwafikiria kwa makubwa sana kuliko uhalisia.
Binafsi, nimewahi kuwa mlinzi, lindo nililokuwepo tulikuwa tunalinda na hao TISS enzi za Magu.
Mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia
sawa kila kheriaaah samaki biashara kubwa sana hiyo, mie kikubwa niwe kitengo tu.. hayo mambo ya kutoka tutajuana nayo mbele kwa mbele, naweza kuja kuwa DGIS tukatoka kabisaa madili makubwa makubwa nakuwa nakupasia
Nani alikuwa anawaogopa watu. Hakuna walinzi wanaojiamini Kama wa ile kampuni niliyokuwa nafanyia kazi.Nakukumbuka kijana.
Ila mbona mlikuwa mnatuogopa Sana tukija kulinda Yale makinikia/mchanga wa magu pale kazini kwako Zambia cargo (mofed)?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app