Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Hamna lolote. Mbona tulikuwa tukiingia kila mtu anapoa?Nani alikuwa anawaogopa watu. Hakuna walinzi wanaojiamini Kama wa ile kampuni niliyokuwa nafanyia kazi.
Kinakuwa kimyaa!! Ila hapa unajifanya eti hakuna mtu anaogopa TISS pale ofisini kwenu.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app