Watanzania wengi wanapenda kuwa Usalama wa Taifa

Watanzania wengi wanapenda kuwa Usalama wa Taifa

Hata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.

Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!

Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.

.............................................................
Et wengine wapo makwao huko nanjilinji wanajuwa kinachoendelea ikulu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimya ukatawala Kama dakika 3.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mwambie magari ya uhamiaji hayo,😂😂, tiss magari yao ni mabovu mno
 
Kuna jitu lisomi la PhD
PhD ni kuwa partially (maana ukiwa fully utaokota makopo) deep kwenye jambo shallow!!!

Muwekee mazingira Rafiki kwenye jambo shallow ambalo huyu PhD yupo kiasi deep uone kama Hata toa matokeo Bora. Hii ni endapo tu hiyo PhD ameifanya mwenyewe bila mangumashi. Ha ha haaaa!
 
Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimya ukatawala Kama dakika 3.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa kufikiri hivi tu' nao ni uzwazwa...
Utaheshimiwa Kwa Ukuu wa FIKRA na Matendo yako na sio Kwa cheo ama kazi yako.
Ukiwa mtu mwema, mtu mwenye Hekima, Heshima, mtu mwenye Maadili, Muwajibikaji na mwenye Upendo lazima Utaheshimiwa na kukimbiliwa na watu. Mtu anayeogopwa ni gaidi pekee
Mkuu utakuwa unazungumzia Aidha jamii za watu wa dunia ya kwanza, ktk hii dunia ya 3 ukiwa na sifa zote hizo ila ukakosa kumiliki pesa basi ujue hauna heshima kuanzia kwa ndugu zako na jamii kwa ujumla..jamii zetu hazina haja ya fikra bali hela!
 
Hata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.

Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!

Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.

.............................................................
Wengi wao Ni wanoko na washenzi wenye husuda na Mafanikio ya wenzio Sasa wanadhani kazi ya Usalama wa Taifa Ni umbea na kuchongeana ili.kuharibiana.
 
Watanzania wengi Wana DNA za Umbeya, kutafuta SIFA na kupenda ngono.

Ndio maana kuanzia Media mpaka MITANDAONI, watu wanaojua kubuni tabiri tabiri, kujifanya wanajua Nini kinaendelea sehemu fulani ni wengi.

Vitu Kama, Za ndaaaani kabisa .,....vina wafuasi wengi.

Pili, Watu wengi sana Wana imagination za ajabu sana kuhusu TISS Kwasababu shughuli zao ni siri. Na wengi wamekuwa wakiwafikiria kwa makubwa sana kuliko uhalisia.

Binafsi, nimewahi kuwa mlinzi, lindo nililokuwepo tulikuwa tunalinda na hao TISS enzi za Magu.

Mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia
Kuna mzee mmoja mwandamizi kitengo niliwai kukaa nae....

Aliniapia hato ruhusu mtoto Ake aingie huko....Na kwel nafahamu watoto Ake hakuna hata mmoja Alie fuata nyayo.....

Jamaa ni mkristo ila kipindi Cha Ramadhani ana hamia Zanzibar swala 5.....

Alinisimulia makashi Kashi mengi sana tangu ame be recruited kitengo....

Anasema walivalishaa mifuko usoni safari ika Anza......zungushwa sana mpak kujikuta kwenye msitu mnene.....
Anasema makashi Kashi ya siku za mwanzoni wali juta na walitamani kutoroka.....

Hajawai ruhusu mwanae afuate nyayo.....
 
Mngejua msingekuwa mnaropoka hovyo tu... kwanza TISS hawachukui watu wajingajinga na wakiona uko smart unahitaji msasa kidogo wataku-shape wanavyotaka wao.

Pia ni kazi hatari mno! Watu kila saa matumbo yanawauma kwa uoga we kalagabaho uliyefeli kila kitu maishani unadhania ni rahisirahisi tu au kila mtu anaweza kuwa kule 😊😊😊 acheni kabisa.

Alafu pia mbona nchini kuna issue nyingi tu za kuongelea na kushughulika nazo?! 🤔🤔🤔 mnaona haitoshi mnataka kupekua na mambo ya TISS pia 😃... kuna mwaka walitakaga kushughulika na JF mpaka wakamtia hatiani Mr. Melo sijui mnakumbuka?! Naona saiv imekuwa tena mada pambe humu eeh😃😃😃

Mnachokitafuta mtakipata...😊👍🏾
 
Hata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.

Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!

Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.

.............................................................
😆😆😆
 
Kuna jamaa yangu mmoja namweshimu Sana.Siku moja tupo Barabarani V8 in namba plate ya UT ,akaanza stori zake za kiwaki "Hii kazi ya usalama wa taifa Ni kazi ninayoikubali sana,naona wajomba wapo mzigoni. ". Nikamjibu siku nyingine ukiona namba plate imeandikwa UT basi tambua hiyo ni UHAMIAJI TANZANIA. Kuanzia hapo ukimya ukatawala Kama dakika 3.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Aaa hahaha
 
Back
Top Bottom