Watanzania wengi Wana DNA za Umbeya, kutafuta SIFA na kupenda ngono.
Ndio maana kuanzia Media mpaka MITANDAONI, watu wanaojua kubuni tabiri tabiri, kujifanya wanajua Nini kinaendelea sehemu fulani ni wengi.
Vitu Kama, Za ndaaaani kabisa .,....vina wafuasi wengi.
Pili, Watu wengi sana Wana imagination za ajabu sana kuhusu TISS Kwasababu shughuli zao ni siri. Na wengi wamekuwa wakiwafikiria kwa makubwa sana kuliko uhalisia.
Binafsi, nimewahi kuwa mlinzi, lindo nililokuwepo tulikuwa tunalinda na hao TISS enzi za Magu.
Mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia