JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Endelea kumsifia mumeo kwani huo ni wajibu wako kama mke.Nedlloyd Munroe ona huyu mvuta bange 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kumsifia mumeo kwani huo ni wajibu wako kama mke.Nedlloyd Munroe ona huyu mvuta bange 😂😂😂
We jamaa hujielewiEndelea kumsifia mumeo kwani huo ni wajibu wako kama mke.
"Tamaa Mbele mauti nyuma"Unafikiria 800k allowance per day nani asieitaka
Hata watoo watakuelew wakitaka. Kitu chochot cha siri(kinachofichwa) ni hatari sana. Ndo maana "hata upanga hukaa chumbani kwa Baba"Wengi wanaijua hii kazi juu juu tu,hii ni moja ya kazi za hatari sana,
Sitaki kuongea mengi ila najua wakubwa watanielewa.
Kaka funika kombe................. ,Umechokonolewa kidogo na wewe umechokonoka. Hii michezo haichezwi hivyo. Usimwage mchele kwenye kuku wengi..Acha uwongo. Kwanza wewe siyo TISS.
Ni mtu tu labda uliyekuwa unawaona wanakuja na kuondoka.
Tatu, Makinikia hayakua Zamcargo pekee yalikuwa mpaka TICTS ambako kote TISS na Feed Force walikuwa wanaenda.
Alikurupuka kuhusu nini?Ile ishu magu alikurupuka asee.
Wabongo wakawa watulivu kusubiri scania zao. Hahaha kalaghabao.
Nimuongo!Kuna mzee mmoja mwandamizi kitengo niliwai kukaa nae....
Aliniapia hato ruhusu mtoto Ake aingie huko....Na kwel nafahamu watoto Ake hakuna hata mmoja Alie fuata nyayo.....
Jamaa ni mkristo ila kipindi Cha Ramadhani ana hamia Zanzibar swala 5.....
Alinisimulia makashi Kashi mengi sana tangu ame be recruited kitengo....
Anasema walivalishaa mifuko usoni safari ika Anza......zungushwa sana mpak kujikuta kwenye msitu mnene.....
Anasema makashi Kashi ya siku za mwanzoni wali juta na walitamani kutoroka.....
Hajawai ruhusu mwanae afuate nyayo.....
Na huo ndo ukweli. Tatizo ni palee watu wanapotamani wasichokijua na hamadi Mungu akijalia yakatimia ndo inakuwa majuto kilio na kusaga meno. Ila acha waendelee TU ,maisha ndo yalivyoUnafanya kazi za kujificha ficha
Mara et unalinda wengine wanaokula na kunywa na familia zao
Naamini Kuna watu wako kwenye hiyo idara Ila WANAJUTA kwenye maisha Yao yote kuwa hukooo
😅😅😅😅😅 "Mnachokitafuta mtakipata...😊👍"Mngejua msingekuwa mnaropoka hovyo tu... kwanza TISS hawachukui watu wajingajinga na wakiona uko smart unahitaji msasa kidogo wataku-shape wanavyotaka wao.
Pia ni kazi hatari mno! Watu kila saa matumbo yanawauma kwa uoga we kalagabaho uliyefeli kila kitu maishani unadhania ni rahisirahisi tu au kila mtu anaweza kuwa kule 😊😊😊 acheni kabisa.
Alafu pia mbona nchini kuna issue nyingi tu za kuongelea na kushughulika nazo?! 🤔🤔🤔 mnaona haitoshi mnataka kupekua na mambo ya TISS pia 😃... kuna mwaka walitakaga kushughulika na JF mpaka wakamtia hatiani Mr. Melo sijui mnakumbuka?! Naona saiv imekuwa tena mada pambe humu eeh😃😃😃
Mnachokitafuta mtakipata...😊👍🏾
Haina Hata haja ya kumshauri Kama sio mmoja Wao na anatuenjoy basi Hata pata hata kunusa pua yake mpaka anakufa. "Ile Kazi haitaki kabisaa Mtu anae itaka"Ukibahatika kuingia huko UTAJUTA!
Na kule huenda ambaye hata hakutarajia wala hakutaka kwenda Ila kajikuta kaenda 😊😊😊 sasa we bora endelea na shughuli zako na za kujenga nchi kwa ujumla... nakushauri achana na hiyo kitu
Once upon one Wiseman sayVile vilivyomo sirini ndio mtego mkubwa kwa watu kutaka kujua kukoje.
Wakizama na kukutana na Ukiwa, unyama na order za Ajabu wanajutia kuwajua 🤣
Piga ramli chonganishiHata mimi nataka kuwa UT nafanyaje bosi wangu?
Vijana wengi wapo inspired kutoka katika movie za akina James bond na Tom cruiseHata vijiweni tu anzisha mada ya Usalama wa Taifa utaona kila mmoja atakavyotiririka. Hapa kila mmoja atakuwa na aidha jamaa, ndugu au jirani ambaye ni Usalama wa Taifa.
Kila mmoja anataka kuwa Usalama... Sijui ni kwasababu ya kuishi kwenye comfort zones zetu! Kwasababu ni kazi ya Siri basi wengi wanadhania ndiyo Bora. Au kwasababu tunapenda kuonekana miamba kwa wengine!
Diwani yametokea ya kumtokea hapa jukwaani ikawa mshikemshike... kila mmoja yupo jikoni. Baada ya taarifa hii ni nyingine. Wengine wapo Makwao huko Nanjilinji ila anajua kinachoendelea Ikulu.
.............................................................
Nami nikukosoe hakuna tofauti ya Mafunzo kimedani kati ya police na uhamiaji.Acha uwongo.
TISS ni Jeshi usu. Training zao physically hazizidi hata Magereza na Police. Ni mafunzo ya kawaida na matumizi ya silaha nyepesi Kama Mgambo, zimamoto, na Uhamiaji.
Pili, unaposema wanachukua watu smart, hizo ni stori zako za vijiweni tu.
Tatu, TISS wa TZ ni wa kawaida sana na utaratibu wao wa kazi unawakosesha Uhuru. Kwasababu TISS siyo taasisi ya kujitegemea, ni idara chini ya ofisi ya Rais. Hivyo wanafanya kazi zao Kama 'chawa' wa Rais.
Kwa faida ya nani? Ili iwejee...kifupi hajawai ruhusu mtoto wake wa kumzaa aende huko....Nimuongo!
Anakuzuga.