Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukibahatika kuingia huko UTAJUTA!Naomba connection na mie niingie kitengo madam mzuri.. niwa navaa kaunda
haha! Watu bana... hivi hawakusoma ile story ya bwana mmoja waliyempa jina la "JOHN GWERU"...?!View attachment 2472878
Mzee anasemaga subiri muingie 18 yard mtajua TISS Ni Nini.
Hakuna maneno mengi.📌
Vile vilivyomo sirini ndio mtego mkubwa kwa watu kutaka kujua kukoje.haha! Watu bana... hivi hawakusoma ile story ya bwana mmoja waliyempa jina la "JOHN GWERU"...?!
Kmmk umenichekesha 🤣🤣🤣🤣Wanahamasisha! Maana tunawaona hata mitaani, kwanza muda wote wanaweza kuvunja sheria mchana kweupee na mtu asimuulize chochote hata kuwe na askari au sheria ya aina gani, huku barabarani mtu anakuchezea rafu hata muda mingine kukusababishia ajali na anaweza asisimame sasa nani asietaka kuishi hivyo kwenye nchi kama hii! Nani asietaka kua mshenzi kiasi hicho!!?
Ss usalama c ndo kuna hela😀😀😀😀Mtoa mada bora tu umesema kweli..
Ety mijitu mingine ikitaka kutongoza utasikia tu ooh nice usalama wa taifa.
Sijui wanaona ndo nn masikini wakati pesa ndo muhimu zaid
Kijana ulikimbia umande nini?..Kinachosababisha hayo yoote ni Ongezeko la Udumavu wa FIKRA KWA vijana na jamii ya watanzania wengi.
Uvivu na uzembe, mtu anapenda kukaa kijiweni Kupiga porojo na umbea akiamini Tiss ni kazi rahisi kama kuvaa kaunda na Kupiga umbea.
Mtu mwenye kujishughulisha na kuwajibika hawezi KUTAMANI kuwa mtu mwa Kwa kuajiriwa.
Hii imewafanya vijana wengi Tanzania kulawitiwa na Wanawake kusagwa na wenzao kisa kupenda slop
Shenzi typ
Ndio maana kuna ongezeko kubwa la Ukatili vijana kujiua na kuuwana.
Kisa tu alikuwa na lengo fulani la kuishi kifahari Kwa njia ya kitonga lkn kakutana na moto unaompeleka kupita njia ngumu anaamua kujitoa fahamu 🧏 Kwa kujifanyia Ukatili
Kuna jitu lisomi la PhD lkn saizi linafikiria haliwezi kuishi bila kuajiriwa afu linajiona lina Akili ety pambavu sana[emoji24]
Ngoja kuna siku moja tu inakuja
Mungu atafanya maajabu kupindua kombe
Nchii kuiweka mikononi mwa Kijana wa Mtaani
Hawa wanaojiita wasomi, ma-dkt na mapro watasaga lami Kwa kulipia haya mateso ya Vijana wenye ndoto wanawasababishia watoke kwenye Reli [emoji24][emoji24]
Leo kijana anashindwa kujisimamia Usalama wa Maisha yake
Lkn amedanganywa anaweza kusimamia Usalama wa taifa
Huu sio ujinga na upumbavu wa PhD order [emoji24]
Ni kweli lkn dhahabu zina pesa zaidSs usalama c ndo kuna hela😀😀😀😀
Hakuna kitu kigumu kama kuishi na mwanamke wa kiafrika.Ukiweza hapo na bado ukawa na akili timamu,basi mbingu ni zako.Wengi wanatamani kuwa usalama lakini hata wake au waume zao wameshindwa kuwa manage!
We mvuta bange usiojielewa mke wa Tupac... njoo soma hapa JAYJAYVile vilivyomo sirini ndio mtego mkubwa kwa watu kutaka kujua kukoje.
Wakizama na kukutana na Ukiwa, unyama na order za Ajabu wanajutia kuwajua 🤣
Nedlloyd Munroe ona huyu mvuta bange 😂😂😂Naona umeamua kuniletea quote ya Mumeo Nedlloyd Munroe.
uliwahi kupita jeshi?! Au una jamaa, mzazi,ndugu au kijana wako kama umejaaliwa aliyewahi kupita jeshi?!Wanahamasisha! Maana tunawaona hata mitaani, kwanza muda wote wanaweza kuvunja sheria mchana kweupee na mtu asimuulize chochote hata kuwe na askari au sheria ya aina gani, huku barabarani mtu anakuchezea rafu hata muda mingine kukusababishia ajali na anaweza asisimame sasa nani asietaka kuishi hivyo kwenye nchi kama hii! Nani asietaka kua mshenzi kiasi hicho!!?
Ubarikiwe saana, hii Comment yako itasaidia vijana wengi wengi akili timamu na fikra sahihiWatanzania wengi Wana DNA za Umbeya, kutafuta SIFA na kupenda ngono.
Ndio maana kuanzia Media mpaka MITANDAONI, watu wanaojua kubuni tabiri tabiri, kujifanya wanajua Nini kinaendelea sehemu fulani ni wengi.
Vitu Kama, Za ndaaaani kabisa .,....vina wafuasi wengi.
Pili, Watu wengi sana Wana imagination za ajabu sana kuhusu TISS Kwasababu shughuli zao ni siri. Na wengi wamekuwa wakiwafikiria kwa makubwa sana kuliko uhalisia.
Binafsi, nimewahi kuwa mlinzi, lindo nililokuwepo tulikuwa tunalinda na hao TISS enzi za Magu.
Mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia
Mapajero yakizamaniMwambie magari ya uhamiaji hayo,[emoji23][emoji23], tiss magari yao ni mabovu mno