Watanzania wengi wanapenda kuwa Usalama wa Taifa

Watanzania wengi wanapenda kuwa Usalama wa Taifa

FB_IMG_16730897144401433.jpg

Mzee anasemaga subiri muingie 18 yard mtajua TISS Ni Nini.
Hakuna maneno mengi.📌
 
Naomba connection na mie niingie kitengo madam mzuri.. niwa navaa kaunda
Ukibahatika kuingia huko UTAJUTA!

Na kule huenda ambaye hata hakutarajia wala hakutaka kwenda Ila kajikuta kaenda 😊😊😊 sasa we bora endelea na shughuli zako na za kujenga nchi kwa ujumla... nakushauri achana na hiyo kitu
 
Wanahamasisha! Maana tunawaona hata mitaani, kwanza muda wote wanaweza kuvunja sheria mchana kweupee na mtu asimuulize chochote hata kuwe na askari au sheria ya aina gani, huku barabarani mtu anakuchezea rafu hata muda mingine kukusababishia ajali na anaweza asisimame sasa nani asietaka kuishi hivyo kwenye nchi kama hii! Nani asietaka kua mshenzi kiasi hicho!!?
Kmmk umenichekesha 🤣🤣🤣🤣
 
Kuwa smart ni pamoja na kupotezea ku-comment mambo usiyo na uelewa nayo wewe kiherehere kila mada we unajua (much know) alafu unataka kuwa kitengo
 
Mtoa mada bora tu umesema kweli..
Ety mijitu mingine ikitaka kutongoza utasikia tu ooh nice usalama wa taifa.
Sijui wanaona ndo nn masikini wakati pesa ndo muhimu zaid
Ss usalama c ndo kuna hela😀😀😀😀
 
Story za ukuzwaji wa watu hiyo idara na uhalisia ni tofauti kidogo.. Vijana wa NS waliokuwa wanajenga Ikulu Dodoma wa mwanzo kabisa wakati wa mzee Jiwe walikua wanasumbuana sana na hao jamaa pale Getini, jamaa wanataka wasalimiwe kama maafande kwao ila vijana wa NS hawaelewi kitu haha pale Getini walikua wanaleteana sana umwamba ndo nikaelewa kumbe story zao nyingi ni ghahawa tu na tambwe nyingi.
 
Kinachosababisha hayo yoote ni Ongezeko la Udumavu wa FIKRA KWA vijana na jamii ya watanzania wengi.

Uvivu na uzembe, mtu anapenda kukaa kijiweni Kupiga porojo na umbea akiamini Tiss ni kazi rahisi kama kuvaa kaunda na Kupiga umbea.
Mtu mwenye kujishughulisha na kuwajibika hawezi KUTAMANI kuwa mtu mwa Kwa kuajiriwa.

Hii imewafanya vijana wengi Tanzania kulawitiwa na Wanawake kusagwa na wenzao kisa kupenda slop
Shenzi typ
Ndio maana kuna ongezeko kubwa la Ukatili vijana kujiua na kuuwana.
Kisa tu alikuwa na lengo fulani la kuishi kifahari Kwa njia ya kitonga lkn kakutana na moto unaompeleka kupita njia ngumu anaamua kujitoa fahamu 🧏 Kwa kujifanyia Ukatili

Kuna jitu lisomi la PhD lkn saizi linafikiria haliwezi kuishi bila kuajiriwa afu linajiona lina Akili ety pambavu sana[emoji24]

Ngoja kuna siku moja tu inakuja
Mungu atafanya maajabu kupindua kombe
Nchii kuiweka mikononi mwa Kijana wa Mtaani
Hawa wanaojiita wasomi, ma-dkt na mapro watasaga lami Kwa kulipia haya mateso ya Vijana wenye ndoto wanawasababishia watoke kwenye Reli [emoji24][emoji24]
Leo kijana anashindwa kujisimamia Usalama wa Maisha yake
Lkn amedanganywa anaweza kusimamia Usalama wa taifa
Huu sio ujinga na upumbavu wa PhD order [emoji24]
Kijana ulikimbia umande nini?..

Sio kwa povu hilo
 
Wengi wanatamani kuwa usalama lakini hata wake au waume zao wameshindwa kuwa manage!
Hakuna kitu kigumu kama kuishi na mwanamke wa kiafrika.Ukiweza hapo na bado ukawa na akili timamu,basi mbingu ni zako.
Kwa maneno mengine mwanaume genius,ni ngumu sana kuishi na mwanamke.
Wanaoishi na wanawake na kuwa manage ni wanaume wasiofaa kabisa kuwa kufanya kazi za kutumia akili

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wanahamasisha! Maana tunawaona hata mitaani, kwanza muda wote wanaweza kuvunja sheria mchana kweupee na mtu asimuulize chochote hata kuwe na askari au sheria ya aina gani, huku barabarani mtu anakuchezea rafu hata muda mingine kukusababishia ajali na anaweza asisimame sasa nani asietaka kuishi hivyo kwenye nchi kama hii! Nani asietaka kua mshenzi kiasi hicho!!?
uliwahi kupita jeshi?! Au una jamaa, mzazi,ndugu au kijana wako kama umejaaliwa aliyewahi kupita jeshi?!

Kama jibu ni hapana... Kaa kimya, siku utakapoingia mikononi mwao ndo utaelewa au jibu kama ni ndio nikuulize sasa..... "Huonagi mabadiliko ya tabia na mwenendo kwa watu hao baada ya kuingia huko?!"
 
Ujinga tu, kila mmoja ana jukumu kwa usalama wa Taifa lake kwa namna yoyote ile inayofaa tofauti ni kuna walioajiriwa na wanalipwa tena mbaya zaidi kuna watu wapo kwa usalama na maslahi ya chama na baadhi ya viongozi walafi, kwa sasa natamani pesa tu, kama kuna mwenye mchongo wa kusafirisha ngada anipe tu.
 
Watanzania wengi Wana DNA za Umbeya, kutafuta SIFA na kupenda ngono.

Ndio maana kuanzia Media mpaka MITANDAONI, watu wanaojua kubuni tabiri tabiri, kujifanya wanajua Nini kinaendelea sehemu fulani ni wengi.

Vitu Kama, Za ndaaaani kabisa .,....vina wafuasi wengi.

Pili, Watu wengi sana Wana imagination za ajabu sana kuhusu TISS Kwasababu shughuli zao ni siri. Na wengi wamekuwa wakiwafikiria kwa makubwa sana kuliko uhalisia.

Binafsi, nimewahi kuwa mlinzi, lindo nililokuwepo tulikuwa tunalinda na hao TISS enzi za Magu.

Mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu TISS kiuwezo hayana uhalisia
Ubarikiwe saana, hii Comment yako itasaidia vijana wengi wengi akili timamu na fikra sahihi
 
Back
Top Bottom