Watanzania wengi wanapenda mafanikio lakini sio watoaji

Watanzania wengi wanapenda mafanikio lakini sio watoaji

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Nilikuwa kwenye uzinduzi fulani wa kituo Cha watoto yatima mtoa hotuba alikuwa akilalamika watanzania hawajitoi kusaidia watoto wao misaada mingi inatolewa na wazungu na matajiri huku watanzania wengi wanatoa pesa zao nyingi kwa manabii kuchangia harusi na kuvaa vizuri wakisahau kama Kuna watoto masikini wanahitaji msaada

Watanzania tubadilike mafanikio bila utoaji hayapo jiulize ni lini ulienda kuwaona watoto yatima ila pesa za kunywa vileo mnazo nyie Wanawake pesa za kubadilisha nguo na mawigi kila siku mnazo
 
Lea watoto kenge wewe usikimbie majukumu halafu utegemee jasho la mtu wakati starehe ulipata wewe mnazaa kama panya halafu mnaanza kutia huruma dunia hii Haina huruma Kila mtu yupo na mambo yake hata serikali ipo na mambo yake maisha yenyewe mafupi haya

Akili yako ina shida mahali.

Unatumia lugha chafu sana humu JF.

Una changamoto ya kimaisha ambayo inahitaji tiba.

Makasiriko yako siyo ya kawaida.
 
Akili yako ina shida mahali.

Unatumia lugha chafu sana humu JF.

Una changamoto ya kinaisha ambayo inahitaji tiba.

Makasiriko yako siyo ya kawaida.
Lea watoto usikimbie majukumu unazaa kama panya halafu unakimbia kulea full stop sindano imeshakuchoma
 
Back
Top Bottom