Watanzania wengi wanapenda mafanikio lakini sio watoaji

Watanzania wengi wanapenda mafanikio lakini sio watoaji

Naona lengo lako kuharibu Uzi huu
Sio kuharibu Uzi wewe akili huna watoto yatima inabidi serikali iwatunze na kuwahudumia mpaka wakikua kUWEZA kujitegemea halafu waingie mtaani wakapambane na maisha Yao sababu dunia Haina huruma sio kazi ya raia mtoa kodi kuanza kubebeshwa zigo eti kwakua anauwezo mfuate raisi wako anamihela ya Kodi ya sisi wananchi sio unakuja hapa kutia huruma wakati hii nchi inaendeshwa Kwa Kodi au huna akili timamu
 
Nilikuwa kwenye uzinduzi fulani wa kituo Cha watoto yatima mtoa hotuba alikuwa akilalamika watanzania hawajitoi kusaidia watoto wao misaada mingi inatolewa na wazungu na matajiri huku watanzania wengi wanatoa pesa zao nyingi kwa manabii kuchangia harusi na kuvaa vizuri wakisahau kama Kuna watoto masikini wanahitaji msaada

Watanzania tubadilike mafanikio bila utoaji hayapo jiulize ni lini ulienda kuwaona watoto yatima ila pesa za kunywa vileo mnazo nyie Wanawake pesa za kubadilisha nguo na mawigi kila siku mnazo
Hapo kwenye mawigi!
 
Tatizo sio hawapendi kutoa. Tatizo ni kwamba wanapotoa zinawafikia walengwa???? utapeli, wizi na ubabaishaji umekuwa mwingi na kuwakatisha tamaa watu kutoa!
 
Nilikuwa kwenye uzinduzi fulani wa kituo Cha watoto yatima mtoa hotuba alikuwa akilalamika watanzania hawajitoi kusaidia watoto wao misaada mingi inatolewa na wazungu na matajiri huku watanzania wengi wanatoa pesa zao nyingi kwa manabii kuchangia harusi na kuvaa vizuri wakisahau kama Kuna watoto masikini wanahitaji msaada

Watanzania tubadilike mafanikio bila utoaji hayapo jiulize ni lini ulienda kuwaona watoto yatima ila pesa za kunywa vileo mnazo nyie Wanawake pesa za kubadilisha nguo na mawigi kila siku mnazo

Mkuu hata kwa manabii au harusi ni kutoa vile vile.

Anayelalamika hapo bila shaka anasaka mafao take zaidi.

Kwani hata hivyo yeye katoa nini?
 
Mkuu hata kwa manabii au harusi ni kutoa vile vile.

Anayelalamika hapo bila shaka anasaka mafao take zaidi.

Kwani hata hivyo yeye katoa nini?
Ni Mzee mmoja kapambana tangu mwaka 80 kuhakikisha wanapata kituo Cha kulelea watoto anasema alikuwa anaona watoto wanasubiri dampo chakula kitupwe akajitoa kwa hali na mali anawapongeza wazungu na matajiri namna walivyombeba mpaka kituo rasmi kikaja kupatikana ndio walichangia ndio analalamika jinsi watanzania wengine wameshindwa kujitoa pesa nyingi wanazitoa kwa manabii kutafuta miujiza
hata baada ya kituo hicho kupatikana wazungu na matajiri ndio wanaendelea kujitoa
Watoto wale wanahitaji malazi na chakula
 
Acha ujinga Lea watoto mijitu mieusi sijui ipoje eti walionacho wanatoa hivi uombaomba mtaacha lini
Ukiwa na uwezo wa kusaidia hauwezi kuandika hiki unachoandika upo katika kundi la poverty circle ndio maana jazba za kutosha..
 
Ukiwa na uwezo wa kusaidia hauwezi kuandika hiki unachoandika upo katika kundi la poverty circle ndio maana jazba za kutosha..
Usaidiwe Ili iweje hudumia familia Yako unataka nani ahudumie mijitu mieusi bhana masikini wewe unaetaka msaada
 
Tusisimangane kila mtu ana msalaba wake
 
Ni Mzee mmoja kapambana tangu mwaka 80 kuhakikisha wanapata kituo Cha kulelea watoto anasema alikuwa anaona watoto wanasubiri dampo chakula kitupwe akajitoa kwa hali na mali anawapongeza wazungu na matajiri namna walivyombeba mpaka kituo rasmi kikaja kupatikana ndio walichangia ndio analalamika jinsi watanzania wengine wameshindwa kujitoa pesa nyingi wanazitoa kwa manabii kutafuta miujiza
hata baada ya kituo hicho kupatikana wazungu na matajiri ndio wanaendelea kujitoa
Watoto wale wanahitaji malazi na chakula

Huyo naye ana matatizo, akijitoa yeye inatosha mbona anataka kulazimisha watu wote tufanane!!?
 
Huo uhusiano wa kutoa na kufanikiwa hata sijawahi kuuelewa, ukitoa maana yake ulichonacho kinapungua, unafanikiwa vipi sasa?
 
Huo uhusiano wa kutoa na kufanikiwa hata sijawahi kuuelewa, ukitoa maana yake ulichonacho kinapungua, unafanikiwa vipi sasa?
Kinapungua kivipi ?mbona matajiri wanatoa na wanazidi kufanikiwa Kusaidia watoto yatima ni fursa usikae nyuma
Kutoa sio lazima ila tupo hapa kukumbushana tu kuwa jambo hili ni muhimu tusiwaachie wafadhili tu
 
Kutoa ni utamaduni zaidi ambao MTU huwa anajengwa nao tangu akiwa hana kitu na pale atakapopata kitu.

So wenzetu swala la kutoa hawajajifunza ukubwani ndo maana huwa inakuwa rahisi wao kutoa.
 
Back
Top Bottom