Nina rafiki niliosoma nao wenye asili ya huko. Ukubwani huku wamerudisha mapenzi ya kwao na hasa ukizingatia kuna umoja wa watu wa huko. Kiuhalisia hata muwe na uraia wa hapa Tz na kupata kazi mamlaka za juu bado mioyo yenu inakuwa RwandaSio rahisi,kuna mwaka Kikwete alijaribu akashindwa,jamii ya kitutsi inazaa kwa fujo naeneo haya na wengine wamwjipenyeza kwenye chama mpaka serikalini,uchaguzi wa seeikali za mitaa uliopita kuna wenyeviti wa vijiji na vitongoji wengi sana wana asili ya rwanda
Mkitusumbua hatutoangalia hizo nduiMi nimezaliwa muhimbili nimesoma mnazi mmoja primary,nina ndui,baba yangu ni mtoto wa mjini kabisa,kiswahili ndio my first language,jina na urefu tu ndio tatizo
Hilo ni kitu huwa najiuliza sana ni kama wapemba na uarabuni,yaani wanyaranda ni wazalendo kwa nchi yao kupitiliza.mimi mwenyewe kuna sumaku inanivuta kuishi huku japo ninezaliwa pwaniNina rafiki niliosoma nao wenye asili ya huko. Ukubwani huku wamerudisha mapenzi ya kwao na hasa ukizingatia kuna umoja wa watu wa huko. Kiuhalisia hata muwe na uraia wa hapa Tz na kupata kazi mamlaka za juu bado mioyo yenu inakuwa Rwanda
HamuaminikiMimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.
Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..
Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwamvaomaana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.
Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.
Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.
Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.
Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Hao hawana tatizo wtakubali tu.Tatizo ni kizimkazi atasumbua kutoka.Si unaona hata alivyofanya sarakasi kule Dodoma kukiuka kanuni za chama Kwa kujiteua mwenyewe pasipo kushindwanishwa.Kila la kheri,museveni na kagame nani atakubali kupoteza urais ,au itakuwa kama tangantika na zanzibar,kila nchi ibaki na rais wake,
Kama aliingia kama mkimbizi akapewa hifadhi ya ukimbizi bado hawezi kuwa raia bila kupewa uraia. Hata kizazi chake hakiwezi kuwa raia kwa sababu Toka mwanzo waliingia kama wakimbizi na hivyo wanahesabiwa hivyo mpaka warudishwe makwao au wapewe uraia. Wapo waliopewa ila sio wengi kihivyo. Rwanda Kuna amani so hakuna sababu kwa nini wasirudi makwao.Asilimia kubwa wamezaliwa Tanzania,kyna waluokuja 1994 kama wakimbizi,kuna waliokuja kitambo kabla na baada ya uhuru
Kwahiyo nipigie mstari ninayoyawaza kichwaningara23 muhangaza wa murugwanza ngara jirani ya eric david nampesya mtangazaji wa BBC sema ndio hao hao tu,kutoka ngara mpaka rusumo mpakani mwa rwanda au kabanga mpakani nwa burundi unaenda kwa baiskeli tu
Hata wewe ungenyimwa tu maana ni askari mtiifu wa KagameSio uzembe,wamejitahi sana kuhoji hoji watu,hawakutoa vitambulisho kizembe,kuna watu wamenyimwa
Kwa walioingia kabla ya uhuru ni rahisi kupata uraia maana sheria yetu ya uraia ilisema yeyote aliyekutwa kwenye mipaka ya Tanganyika siku ya uhuru ni Mtanganyika. Suala ni waliokuja baada ya tangazo la uhuru hata wafanyaje hawawezi kuwa raia bila kupewa huo uraia. Ndo maana Kibu Dennis unaona alipewa uraia wa Tanzania kwa sababu alikuja kama mkimbizi Tanzania.Asilimia kubwa wamezaliwa Tanzania,kyna waluokuja 1994 kama wakimbizi,kuna waliokuja kitambo kabla na baada ya uhuru
Rwanda hakuna ardhi,watutsi ni wafugaji kwa asili,mtu na mifugo kama 500+ kwenye pori lajahama au kimisi unamrudishaje kwaoKama aliingia kama mkimbizi akapewa hifadhi ya ukimbizi bado hawezi kuwa raia bila kupewa uraia. Hata kizazi chake hakiwezi kuwa raia kwa sababu Toka mwanzo waliingia kama wakimbizi na hivyo wanahesabiwa hivyo mpaka warudishwe makwao au wapewe uraia. Wapo waliopewa ila sio wengi kihivyo. Rwanda Kuna amani so hakuna sababu kwa nini wasirudi makwao.
Sio tatizo letu kwamba hakuna ardhi. We did not create the boundaries but we will stop at nothing to safeguard them. You are partly to blame for what is happening around your neighborhood especially In congo. You are greedy and that is your downfall.Rwanda hakuna ardhi,watutsi ni wafugaji kwa asili,mtu na mifugo kama 500+ kwenye pori lajahama au kimisi unamrudishaje kwao