Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA

Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA

Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.

Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..

Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwamvaomaana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.

Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.

Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.

Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.

Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Mamlaka bado hazijaamka vizuri, inapaswa ipite operation nyingine ya kurudisha wahamiaji haramu kwenye nchi wanazotokea.
 
Hilo ni kitu huwa najiuliza sana ni kama wapemba na uarabuni,yaani wanyaranda ni wazalendo kwa nchi yao kupitiliza.mimi mwenyewe kuna sumaku inanivuta kuishi huku japo ninezaliwa pwani
You can't avoid nature bro. Hata kama umezaliwa bongo hapa. Siku mzazi akakuambia asili yenu unajikuta tu sumaku imeanza kuvutia huko. Hata kama alikimbia vita miaka hiyo kuna uwezekano mkubwa wewe kurudi huko.
 
Another load of Bull-Crap.

Not every Tutsi or Hutu come from Rwanda-Urundi. Some of them were subjects of Buha Kingdom of TZ, Empire of Bunyoro-Kitara in UG and some Buganda Kingdom in UG.

Huu upuuzi wa kusema kila Mtutsi ni Mnyarwanda au Mrundi mnao tu ninyi watanganyika.​
Unaweza kuwa sahihi watutsi wako nchi nne, Uganda, Tanzania, Congo, Burundi na Rwanda yenyewe. Lakini Utambulisho wa kitutsi uko Rwanda ndio maana inasemwa ni wanyarwanda kama ambavyo wewe ni mnyakyusa ingawa kiasili wewe ni Mlugulu wa Kingorowila Morogoro
 
Back
Top Bottom