Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ndo maana ukapewa jina la ujombani.Anayejua baba wa mtoto ni nama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana ukapewa jina la ujombani.Anayejua baba wa mtoto ni nama
Ni byiza! Amakuru yawe se?Amakuru gawe
Wale Ni Kuimba KwayaNapajua huko,mabira,kaisho,murongo,nyakahanga,bugene,nyaishozi,omurushaka nusu wanyambo nusu watutsi
NIDA wawe makini sana,mamluki ni wengi sana na hawajawahi kuukana uraia wa huko wanapohisiwaMimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.
Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..
Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwamvaomaana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.
Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.
Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.
Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.
Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
How is you Nigga ? I want to argue against you in English are you ready Nigga ?Another load of Bull-Crap.
Not every Tutsi or Hutu come from Rwanda-Urundi. Some of them were subjects of Buha Kingdom of TZ, Empire of Bunyoro-Kitara in UG and some Buganda Kingdom in UG.
Huu upuuzi wa kusema kila Mtutsi ni Mnyarwanda au Mrundi mnao tu ninyi watanganyika.
Operesheni kimbunga ikirudi mkuu inabidi ukae mguu sawa, si Rwanda bado una mahali pa kufikia ?Biri kugenda bite
Hakika mkuuWanajitahidi kiasi chao japo wanakazi kubwa kuwatanbua wageni haranu
Mnatakiwa kurudishwa ruandaMimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.
Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..
Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwamvaomaana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.
Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.
Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.
Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.
Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Mkileta usenge wenu wa Rwanda na Congo tutawabutcher Yale ya kimbari mtaona Cha mtotoMsitubague sasa na nyie
Sema wao wanatumika tu Kwa maslahi ya mtu mmojaNina rafiki niliosoma nao wenye asili ya huko. Ukubwani huku wamerudisha mapenzi ya kwao na hasa ukizingatia kuna umoja wa watu wa huko. Kiuhalisia hata muwe na uraia wa hapa Tz na kupata kazi mamlaka za juu bado mioyo yenu inakuwa Rwanda
Una hoja ila hatuwezi kuwapuuzia wahamiaji haramu kwa kufuata nadharia yakoAnother load of Bull-Crap.
Not every Tutsi or Hutu come from Rwanda-Urundi. Some of them were subjects of Buha Kingdom of TZ, Empire of Bunyoro-Kitara in UG and some Buganda Kingdom in UG.
Huu upuuzi wa kusema kila Mtutsi ni Mnyarwanda au Mrundi mnao tu ninyi watanganyika.
Haahaa mkuu umeamua kukaa mbali na poti ushaona anataka kukuletea balaa
Pole mkuuKumbe,mimimkwere ila jina nusura liniponze
MhamiajiUgenini wapi mi mtanzania