Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA

Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA

Unaweza kuwa sahihi watutsi wako nchi nne, Uganda, Tanzania, Congo, Burundi na Rwanda yenyewe. Lakini Utambulisho wa kitutsi uko Rwanda ndio maana inasemwa ni wanyarwanda kama ambavyo wewe ni mnyakyusa ingawa kiasili wewe ni Mlugulu wa Kingorowila Morogoro
Nyakyusa are not Lugulu.
 
Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.

Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..

Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwambao maana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.

Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.

Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.

Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.

Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Mkileta chokochoko mtafutwa tu,hatutaki magaidi Tz
 
Muwe makini sasa mkianzisha yale mavalangati yenu ya M23, hatuta wavumilia.
Kama ni m23 ya kuondoa kinye💩 cha ccm tutawaunga mkono ...hakuna mtanzania mpumbavu atakaye pigana vita kuilinda ccm ya ukoo wa kikwete na genge la raia feki kina samia bushiri.... never......
 
Unaweza kuwa sahihi watutsi wako nchi nne, Uganda, Tanzania, Congo, Burundi na Rwanda yenyewe. Lakini Utambulisho wa kitutsi uko Rwanda ndio maana inasemwa ni wanyarwanda kama ambavyo wewe ni mnyakyusa ingawa kiasili wewe ni Mlugulu wa Kingorowila Morogoro
Kuna wahima,yaani Abahima n8 jamii zote zinazofanana na watutsi,huko uganda wanaitwa abanyakole ,kiuhalusia watutsi ni waburundi na rwanda
 
Either you bring me anthropological evidence, or I take you as credulous.​
Kuna mtu ana masters ya anthropology and archiology thesis yake ya PHD inahusu hao jamaa naisubiri kwa hamu
 
Nakuuliza;
1.Hayo mahekari ya land mnayojimilikisha kwa maelfu nani aliwapa?
2.Ujambazi wa ng'ombe mmeacha ?
3.Kwa nini mnajifanya na nyie ni Wasukuma ,mnaogopa nini?
4.Kwa nini mnajitenga ,mnawafanyia ubaguzi wenyeji mliowakuta?
Nikipata madaraka Watusi wote nachuna nyayo za miguu,mtatembea kwenye lami jua kali kwa miguu.Kituo cha kupumzikia kitakuwa Gisenyi.Wacongo,Warundi,Wamalawi mtabaki kuweni na amani.
 
Nakuuliza;
1.Hayo mahekari ya land mnayojimilikisha kwa maelfu nani aliwapa?
2.Ujambazi wa ng'ombe mmeacha ?
3.Kwa nini mnajifanya na nyie ni Wasukuma ,mnaogopa nini?
4.Kwa nini mnajitenga ,mnawafanyia ubaguzi wenyeji mliowakuta?
Nikipata madaraka Watusi wote nachuna nyayo za miguu,mtatembea kwenye lami jua kali kwa miguu.Kituo cha kupumzikia kitakuwa Gisenyi.Wacongo,Warundi,Wamalawi mtabaki kuweni na amani.
Africa ni moja mioaka kaweka mkoloni,
Mipaka ifutwe,mpaka mwaka 1884 burundi na rwanda zilikuwa nchi moja na tanganyika
 
Africa ni moja mioaka kaweka mkoloni,
Mipaka ifutwe,mpaka mwaka 1884 burundi na rwanda zilikuwa nchi moja na tanganyika
Kile kipigo mlichopewa na jeshi la Magereza pale Kijiji cha Nuja-Kahama ,unakikumbuka .Na ile ardhi kwa nini ilichukuliwa na jeshi la Magereza kama Afrika ni moja.
Ule msako wa JPM kwenye ajira za serikalini.Kwa nini baada ya mahojiano mlikuwa mnalala mbele hamtaki kurudi tena makazini
Ule msako wa kwenye mapori wa JPM kwa nini mlikuwa mnatelekeza ng'ombe kama Afrika ni moja.
Nyinyi Tutsi mna bahati sana hii nchi ni shamba la bibi na kwa nini nyinyi tu mbona Wacongo,Warundi,Wamalawi tunaishi nao freesh.
 
Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.

Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..

Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwambao maana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.

Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.

Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.

Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.

Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Usiwe na hofu na hilo, tunaelekea kwenye East Africa Federation. 🤔
 
Wa
Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.

Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..

Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwambao maana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.

Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.

Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.

Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.

Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?

Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.

Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..

Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwambao maana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.

Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.

Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.

Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.

Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Watakuwa wanazungumza lugha ipi ili watambulike kama kabila moja?
 
Back
Top Bottom