Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA

Watanzania wenye asili ya kitutsi tulivyohenya kupata vitambulisho vya NIDA

Mkuu kuna koo za wahaya na wanyambo asili yao ni ya Rwanda. Hao wahangaza ni kabila linalotambulika kabisa kama wanyankole wanavyotambulika Uganda.

Kwa hiyo hata kabla ya Tanganyika, eneo la maziwa makuu haswa Rwanda, Burundi, Uganda na Tanzania magharibi lilikuwa ni eneo moja kwa interaction, kimila na hata asili. Ndio maana muhaya anashabihiana na waganda ama wanyarwanda kuliko wandengereko.

Kwa hiyo watu kuchukulia muingiliano wa Tanganyika na Rwanda umeanza leo. Naona wanakosea japo kwa vuguvugu lililopo sio mbaya nchi kuwa makini
 
Kuanzia sasa Watutsi ni adui wa taifa, hamjatangaziwa tu
Naamini serikali haijalala,
Kagame amegusa pabaya na kibaya zaidi watu wenye vyeo na wenye asili ya huko anaojidaia ndani ya nchi za jirani zake watapata shida wasizostahili.

Hii itabidi niipe jina la Operation ya KIMYA KIMYA CHINI YA KAPETI.
Hatuwezi kudharauliwa kwa kiasi hicho.
 
Pole mvandimwe
Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.

Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..

Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwamvaomaana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.

Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.

Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.

Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.

Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Pole mvandimwe.
Hapo kwenye ine na bokisi nimecheka sana.
 
Sijasema umtaje baba, lakini mama na ujombani ziko too much.
No wonder mnakaziwa huko kwenye usajili.
Mama mama. Hamchelewi kuiba huku mpeleke huko ujombani.
Nunavyojua mwanamke wa kitutsi kubeba mimba ya asiye mtutsi ni kama haiwezekani, nimekaa nao nawafahàmu sàna.
Kama Siyo mtutsi unaoa kweli lakini matokeo ni hàya ya kupewa majina ya ujombani. Wana maana yao hao mjomba ni baba kule ututsini.
 
Sijasema umtaje baba, lakini mama na ujombani ziko too much.
No wonder mnakaziwa huko kwenye usajili.
Mama mama. Hamchelewi kuiba huku mpeleke huko ujombani.
Bila hivyo hamchelewi kunirudisha rwanda wakati sipajui,lazima niweke msisitizo
 
Back
Top Bottom