Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasema umtaje baba, lakini mama na ujombani ziko too much.Kukulua ujombani tatizo,utamtaja baba ambaye huna chemistry nae
Haahaa hiyo wanafanya jamii za Uganda uko...daah umenkumbusha mbali aisee ni moja ya dream yangu kupata wa ivo aisee. naskia ukivuta ile maneno ukazama zako ni jotro la kufa mtu kama upo ndani ya koti la mjapani vile🤣ila kitendo cha kuvuta kis...hadi kuwa kirefu hapa msifanye
Naamini serikali haijalala,Kuanzia sasa Watutsi ni adui wa taifa, hamjatangaziwa tu
Pole mvandimwe.Mimi nina asili ya kitutsi kwa upande wa mama,baba yangu ni mzaliwa wa Msoga.
Nguvu ya nama nikapewa jina la ujombani la kwanza,kosa kubwa..
Wiki mbili zilizopita kulukuwa na zoezi la kuandikisha NiDA wilayani kwetu,wajihi wangu mrefu na hili jina nusura viniponze sema kiswahili changu ni cha mwamvaomaana nimekulia pwani ila niko huku kikazi ujombani.
Kuna mwenzangu alianbiwa atamke nne akasema ine.boksi akatamka bokisi,alipigwa pingu pale pale mpaka walipojiridhisha kuwa amezaliwa Ngara.
Kijijini kwamama asilimia 50 ni wahamiaji wa kitutsi wenyemiaka mingi sana sema wanajiita kabila la hapo wilaya walipo.
Sina lengo la kuwapinga Mamlaka ya Vitambulisho maana lazima wajiridhishe na uraia wa wanaovihitaji ila mlijua kutuchangamsha.
Kuanzia kahama,nasumbwe,runzewe,ushirombo,ngara,karagwe,,biharamulo,watutsi ni wengi sana ni kama tuko Rwanda tu.tunaishi nao na tumezaa nao,sijajua miaka 20 ijayo itakuwaje wakiamua watambulike kama kabila rasmi la Tanzania?
Haahaa mkuu umeamua kukaa mbali na poti ushaona anataka kukuletea balaa🤣🤣Hapana mkuu japo mi nimezaliwa lake zone
Hivyo ni vitu vya mwisho mwishoNdui na lafudhi yangu inawazidi maafisa wa NIDA,
Aisee. Ujombani, au sio?Napajua huko,mabira,kaisho,murongo,nyakahanga,bugene,nyaishozi,omurushaka nusu wanyambo nusu watutsi
Ni chuo cha kimataifa wanajilipia kila kitu.Warwanda na Burundi wanasoma sana hapo udsm sijui wanapataje nafasi.
Nunavyojua mwanamke wa kitutsi kubeba mimba ya asiye mtutsi ni kama haiwezekani, nimekaa nao nawafahàmu sàna.Sijasema umtaje baba, lakini mama na ujombani ziko too much.
No wonder mnakaziwa huko kwenye usajili.
Mama mama. Hamchelewi kuiba huku mpeleke huko ujombani.
Kapimwe dna utajua hujui.Ujombani huko mkuu
Bila hivyo hamchelewi kunirudisha rwanda wakati sipajui,lazima niweke msisitizoSijasema umtaje baba, lakini mama na ujombani ziko too much.
No wonder mnakaziwa huko kwenye usajili.
Mama mama. Hamchelewi kuiba huku mpeleke huko ujombani.