Baada ya mlolongo wa vifo vya Depression ikiwemo cha jana usiku mwanafunzi kujirusha ghorofani niseme tu kwamba watu wanapitia mengi sana, huwa inashauriwa kufunguka matatizo yako kwa watu wa karibu kundoa machungu lakini kwa hapa bongo hali watu wengi huyatunza rohoni.
Shida ni kwamba watu wengi wanapitia kwenye depression lakini hawawezi kusema kwa watu sababu sikuiz watu wamegeuza matatizo yetu kama matangazo😢 imagine unamwambia mtu wako wa karibu jambo lako alafu kesho unaliskia kwa mwingine, kesho kutwa unakuta matatizo yako yanajadiliwa vijiweni hadi bar, mbaya zaidi wanaojadili hawana lengo la kukusaidia zaidi ya kukusimanga.
unadhani kumshirikisha mwenzako at least itapunguza matatizo kumbe yanaenda kukuzwa mara 100
Shida ni kwamba watu wengi wanapitia kwenye depression lakini hawawezi kusema kwa watu sababu sikuiz watu wamegeuza matatizo yetu kama matangazo😢 imagine unamwambia mtu wako wa karibu jambo lako alafu kesho unaliskia kwa mwingine, kesho kutwa unakuta matatizo yako yanajadiliwa vijiweni hadi bar, mbaya zaidi wanaojadili hawana lengo la kukusaidia zaidi ya kukusimanga.
unadhani kumshirikisha mwenzako at least itapunguza matatizo kumbe yanaenda kukuzwa mara 100