Kwenye telecom, hakuna blablabla, kama serikalini, huku issues zinatafutiwa solutions, anayeleta madudu anaadhibiwa fasta, maana ukiruhusu madudu, unakosa mapato,kampuni inakufa, kila mfanyakazi, anajua juhudi zake kuhakikisha hakuna fuckups, ndio kampuni inasonga mbele,
Serikalini, kwanza kuna politics nyingi, mtaani kwangu, senior retired civil servants, hawalipi bill za maji, wala umeme, wanatumia bureeee, serikalini, hata usipojishughrisha Sana, salary will come, ukitibua Sana, unahamishwa tu, hakuna "owner ship" Ya task Fulani, madudu y akitokea, hujui nani atumbuliwe, kuna mlolongo mreeefu wa protocali!
Telecom, kuna clear standard operation procedures SOP, ikitokea shida tu, aliyechemka, anaanza kuwajibika, kurekebisha, kabla Mambo hayajawa mabaya!
Tatizo linaweza likatokea kwenye mnara Kyelwa mrongo border, inaweza ikawa issue ya pesa kibao, itasoviwa kwa conference call btn wahusika, hakuna eti MTU atoke Dar aende ziarani kagera, kote huko kuna watendaji, mnazungumza kupitia conference call, aliyechemka, anapata adhabu halo halo, kama kibarua kinaota nyasi, ni, hapo hapo uamuzi, unatoka,! No time to waste