David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Kwani alikufata kukuomba pesa akamlipie mwanae ada?ungempa ukweli hapo hapo kuliko kuja kumsema humu . Nafikiri kila mtu apambane na hali Yake.
Halafu sijui kama unazijua kweli kayumba,uko kayumba hali ni mbaya kweli kweli usiwasikilize wanasiasa kwamba wameboresha elimu uko.
Halafu sijui kama unazijua kweli kayumba,uko kayumba hali ni mbaya kweli kweli usiwasikilize wanasiasa kwamba wameboresha elimu uko.