David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Wakina nani?Tuwatie moyo
Sikunangi mzee soma vizuriKaka sijakuelewa vizuri unaninang'a Mimi au hawa jamaa wa English Medium ?
ko kayumba hali ni mbaya kweli kweli
Hapo sawa 🤛Sikunangi mzee soma vizuri
usidharau kazi za watu mkuuNyie endeleeni kujifariji na shule za st kayumba hamna kitu, ni kuanda watoto wa kufanya odd jobs kama bodo boda nk.
Hata interview nyingi za KAZI zinaendeshwa kwa kiingereza.Imekuwa kipengele Sana watu kujieleza vizuri hata kama Wanajua. Kinachotafutwa ni kumpa mtoto msingi imara.Kwangu mimi Ni Bora akasoma Kayumba secondary.Mtoto akishaelewa kiingereza na kuwa na ufahamu mkubwa,inakuwa rahisi kwenda skondari yeyote.Wazazi wengi wamegundua shida ni kiingereza,huna haja ya kumpeleka tena sekondari za kulipia ghali.
sawa karibuMdogo wangu ,hongera Sana aisee ,vipi nikihitaji uwe unakuja kunipiga msasa wa kiinglishi utakubali ?
Malipo yatakuwepo
Mkuu me naona wa medium akiwa kichwa na wa kayumba akawa kichwa, utakuta wa kayumba anamzidi social skillsHivi unajua pale Udsm wanafunzi wengi wametokea Kayumba?
Alafu Kayumba Akiwa kichwa ujue ni kichwa kweli.
Mchukue kichwa wa Kayumba aliyepata One ya 7 alafu mchukue wa St. Aliyepata one ya 7 waweke waparangane Uone kama huyo wa St ataambulia chochote.
Pale Udsm au nenda Mzumbe Waliosoma EM hupata wakati mgumu Sana kukabiliana na mazingira ya chuoni.
Sasa kulipia milioni mbili Kwa mwaka ni kujifanya unahela?Wengi wanafuata mkumbo tu ili kuonekana nao wana hela za kusomesha huko. Ni ulimbukeni tu
Kwahiyo wewe unampeleka mwanao huko kisa anatamani mabasi ya njano?
Ni issue ya ushamba tu.Upo sahihi kabisa mkuu yani wanajitesa na kuwatesa watoto wao ili kuprove Kwa watu kwamba wao matajiri..
Huyu shoga yangu shule imefunguliwa mtoto wake yupo nyumbani haendi shule Kwa sababu ada hana wenzake wanaenda shule ya Kayumba nzuri tu Tena ina geti wanafurahia ila yeye yupo nyumbani amekaa tu Sasa hivi anamkomalia mama Ake ampeleke kwenye shule hiyo ya wenzake
100% FactMkuu me naona wa medium akiwa kichwa na wa kayumba akawa kichwa, utakuta wa kayumba anamzidi social skills
kama kujiamini,kuongea na watu,kukabili changamoto n.k wa medium mara nyingi anakuwa na academic skills tu, hana social skills. Hivyo anapotea maana anajikuta mjuaji, lakini pia ana uoga uoga kama ndezi na chuo ukipeleka undezi/ujuaji hutoboi
milioni mbili ni hela ndogo?Sasa kulipia milioni mbili Kwa mwaka ni kujifanya unahela?
Kwa mwaka ni ndogo.wanaolipia milioni ishirini Kwa mwaka utasemaje Sasa?Tafuta pesa kijana acha kujifariji na kayumba schoolsmilioni mbili ni hela ndogo?
Get this in your head. EM na Kayumba wakitoka UDSM wote ni UDSM products. Nobody gives a fvck where they went in Primary school.Unaota unajua ushindani wa mtu kujiunga na UDSM? Lazima mtoto.awe amefaulu sana Form four na form six kwa mpigo
Wengi wa kayumba huwa si rahisi kuingia UDSM sababu ufaulu wao huwa kiwango cha chini sana form sababu ya msingi mbovu wa kiingereza wanaishia tu kusoma vyuo vikuu vingine vya kata sio UDSM
Hivi vitu vinawasumbua nyinyi wazazi. Mtoto wala habari hana labda mtoto wako lama amashinda njaa. Ila mengine ni mizigo mnajipqchika wazazi wa dotcomUnajua mtoto anauma eeeee. Just imagine katoto kako kananyanyasika mtaani hadi kanakonda kakiona vigari vya njano vinawabeba wenzake waende shule.. hata kama wewe una ka Vitz kako unampeleka hapo kayumba, lakini yeye bado atatamani school bus... mbaya zaidi vitoto vya hizo miedium vinacheza kwa kiinglish muda woteee.. ... katoto kako kanakodoa macho tu... hakana raha mtaani, hakana raha nyumbani, kanatamani kangezaliwa kwa jirani. Hapo ndipo utakuta Mzazi anaamua kujitosa... kama mbwai na iwe mbwai wote watasoma huko huko kwenye kingereza cha kucheza na wenzao. Labda muishauri serikali ya government yenu ibadilishe mitaala, iweke na skulibasi. KUNA WALIONIELEWA
Kweli kabisa mkuuHata interview nyingi za KAZI zinaendeshwa kwa kiingereza.Imekuwa kipengele Sana watu kujieleza vizuri hata kama Wanajua. Kinachotafutwa ni kumpa mtoto msingi imara.Kwangu mimi Ni Bora akasoma Kayumba secondary.