Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

Kwanini mkuu?
Utotoni nilisoma kayumba, maendeleo yangu school yalikuwa mazuri, mtaani watoto wa huko nilikuwa nawakimbiza kwa kuwafanyia maswali yao, kuna binti wa olympio, jamaa yangu yupo dycc(yemen) pale ye la 7 mie la 6 lakini pepa zao namsaidia fresh tu, ila pepa zetu hagusi, labda sababu nilikuwa najua hisabati kama kipaji lakini siamini hivyo naona wao walikuwa wakifundishwa kawaida mnoo tofauti na sisi.

Lakini kayumba naona nilijifunza mengi kuanzia maisha, kuna watu wanakuja viatu vimetoboka, shati halieleweki, tisheti imechoka, nikajifunza maisha kwa namna nyingine, kuna jamaa yetu alikuwa anakaa na mama wa kambo, huyu mapumziko tulikuwa tunamchangia hrla ili nae aenjoy.
Ubabe na vitu vingine, nilijifunza vingi ambavyo naamini kule st. Nini nini nisingeyaona.

Ila tu kama mtoto kichwa mbovu jitahidi kumsimamia, tuition ya kutosha, vitabu(material) yote awe nayo hapo itasaidia, tofauti na hivyo atateseka maana kayumba darasa kuwa na wanafunzi 70 mpaka 100+ ni kawaida tu.
Hivyo itakupasa umkomalie mtoto.
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu . Aliekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha .
Hayo si maamuzi yako bwanaa unawapigia wengine kivipi? Kila mtu anamaisha yake
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu . Aliekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha .
hawa wa englishi medium, wakifika university wanakuwa ni average students, waliosoma kayumaba wankuwa super na ndyo wanaobakshwa chuon kuwa wahadhiri
 
Utotoni nilisoma kayumba, maendeleo yangu school yalikuwa mazuri, mtaani watoto wa huko nilikuwa nawakimbiza kwa kuwafanyia maswali yao, kuna binti wa olympio, jamaa yangu yupo dycc(yemen) pale ye la 7 mie la 6 lakini pepa zao namsaidia fresh tu, ila pepa zetu hagusi,

Lakini kayumba naona nilijifunza mengi kuanzia maisha, kuna watu wanakuja viatu vimetoboka, shati halieleweki, tisheti imechoka, nikajifunza maisha kwa namna nyingine, kuna jamaa yetu alikuwa anakaa na mama wa kambo, huyu mapumziko tulikuwa tunamchangia hrla ili nae aenjoy.
Ubabe na vitu vingine, nilijifunza vingi ambavyo naamini kule st. Nini nini nisingeyaona.

Ila tu kama mtoto kichwa mbovu jitahidi kumsimamia, tuition ya kutosha, vitabu(material) yote awe nayo hapo itasaidia, tofauti na hivyo atateseka maana kayumba darasa kuwa na wanafunzi 70 mpaka 100+ ni kawaida tu.
Safi Sana mkuu nimeipenda Sana hoja yako watoto wanajifunza uhalisia wa maisha kwenye shule za Kayumba. Ems Kuna maigizo mengi
 
Utotoni nilisoma kayumba, maendeleo yangu school yalikuwa mazuri, mtaani watoto wa huko nilikuwa nawakimbiza kwa kuwafanyia maswali yao, kuna binti wa olympio, jamaa yangu yupo dycc(yemen) pale ye la 7 mie la 6 lakini pepa zao namsaidia fresh tu, ila pepa zetu hagusi, labda sababu nilikuwa najua hisabati kama kipaji lakini siamini hivyo naona wao walikuwa wakifundishwa kawaida mnoo tofauti na sisi.

Lakini kayumba naona nilijifunza mengi kuanzia maisha, kuna watu wanakuja viatu vimetoboka, shati halieleweki, tisheti imechoka, nikajifunza maisha kwa namna nyingine, kuna jamaa yetu alikuwa anakaa na mama wa kambo, huyu mapumziko tulikuwa tunamchangia hrla ili nae aenjoy.
Ubabe na vitu vingine, nilijifunza vingi ambavyo naamini kule st. Nini nini nisingeyaona.

Ila tu kama mtoto kichwa mbovu jitahidi kumsimamia, tuition ya kutosha, vitabu(material) yote awe nayo hapo itasaidia, tofauti na hivyo atateseka maana kayumba darasa kuwa na wanafunzi 70 mpaka 100+ ni kawaida tu.
Hivyo itakupasa umkomalie mtoto.
Nyie endeleeni kujifariji na shule za st kayumba hamna kitu, ni kuanda watoto wa kufanya odd jobs kama bodo boda nk.
 
Nyie wndeleeni kujifariji akayumba hamna kitu, ni kuanda watoto wa kufanya odd jobs kama bodo boda nk.
Kwamba hakuna mtoto alisoma English medium na ni bodaboda, yupo mtoto wa faza wangu mdogo.

Hicho kitu unachozungumzia ni kipana sana.
Na hakuna sehemu nimelazimisha mtoto asome kayumba hayo ni maamuzi yangu binafsi, jibu langu la kwanza kabisa nilisema, tuishi kwa vipato vyetu, tusijiumize kufanya jambo lolote lile, elimu, shughuli ama chochote kile.
Kama kipato kinaruhusu mpeleke mtoto huko EM.

ila nikasema binafsi yangu haijalishi kipato, mie mwenyewe nimeamua wanangu wasome kayumba.
 
Kupanga ni kuchagua kama pesa ipo mpeleke mtoto shule unayoona inafaa. Zamani hatukuwa na shule nyingi za private, lakini shule za serikali zilikidhi mahitaji mengi ya shule, ikiwemo walimu,vifaa vya shule na hata uwiano wa wanafunzi darasani. Sasa hivi darasa lina wanafunzi zaidi ya 50, kiasi ambacho kinanpa shida mwalimu katika kufundisha.
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu. Aliyekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset, hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.
Mawazo ya kijinga
 
Kwa hali ya Sasa ilivyo haiepukiki kumtafutia mtoto elimu Bora ili aje ajisaidie siku za usoni huko.

Serikali haionyeshi u serious wowote kuboresha mfumo wa elimu kwenye public schools ili angalau kuwapunguzia wananchi mzigo, baadala yake wanaendekeza siasa wakati uhalisia wa hizi shule za serikali Kila mtu anauona.
 
Unajua mtoto anauma eeeee. Just imagine katoto kako kananyanyasika mtaani hadi kanakonda kakiona vigari vya njano vinawabeba wenzake waende shule.. hata kama wewe una ka Vitz kako unampeleka hapo kayumba, lakini yeye bado atatamani school bus... mbaya zaidi vitoto vya hizo miedium vinacheza kwa kiinglish muda woteee.. ... katoto kako kanakodoa macho tu... hakana raha mtaani, hakana raha nyumbani, kanatamani kangezaliwa kwa jirani. Hapo ndipo utakuta Mzazi anaamua kujitosa... kama mbwai na iwe mbwai wote watasoma huko huko kwenye kingereza cha kucheza na wenzao. Labda muishauri serikali ya government yenu ibadilishe mitaala, iweke na skulibasi. KUNA WALIONIELEWA
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu. Aliyekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset, hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.

Nafikiri ifike mahala tuache tabia ya kupangia watu hata yale mambo ya kibinafsi!!!!
Mtu asomeshe mtoto wake anapo ona inafaa; Kayumba, English medium, Uganda, Kenya, South Africa, Ulaya nk mbona kote huko watoto wakitanzania wanasoma na wako poa tu?
 
Kila mtu afanye anavyoona inafaa kwa ajili ya vizazi vyake. Kama wazee wetu walilima na kujinyima kwa ajili ya elimu zetu, walioimq kahawa, mahindi na ndizi ili tukasome. Kwa nini sisi tuone kusomesha watoto ni utumwa.

Kweli shule za serikali ni dhaifu sana, kama unawapenda watoto wako na unajibidisha kufanya kazi hutaruhusu wakasome huko.
 
Back
Top Bottom