Ungesema international school Sawa lakini hawa EM ambao Mtaala wao ni uleule wa St. Kayumba. Waalimu ni walewale waliotokea St. Kayumba, wazazi kwa asilimia Fulani ni hawhawa huku mtaani ambao wenyewe kingereza kinawapiga chenga.
Sifikirii kama mawazo yako yatakuwa Sahihi.
Mimi kuna watu wamesoma hizo shule za English Medium lakini kuanzia matokeo ya kidato cha pili, cha nne, cha sita na Chuo niliwakimbiza.
Kingereza changu sio Fluently lakini ukiniletea hao waliosoma EM nawaburuza.
Niletee paper la kingereza Mimi niliyesoma Kayumba, na umtafute aliyesoma EM tufanye uone Nani atatoboa.
Huku mtaani, tunaendelea na maisha Mengine. Ambayo yapo Nje kabisa ya Elimu ya shuleni na sio ajabu tumeajiri waliosoma EM.(Ingawaje hii Sio hoja).
Alichosema
makaveli10 ndio Hoja.
Suala la kufanya Kazi na akili za mtaani inategemea na mtoto mwenyewe yupoje
Kwa sababu wapo ambao wameishia Darasa la Saba lakini wanaupeo na uwezo Mkubwa mtaani kuliko Sisi tuliosoma