Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

Mateso niliyoyapitia kayumba sitaki mwanangu ayapitie kitaeleweka tu.
Mimi nimesoma kayumba, niko mtaani sasa hivi na teammates wangu wengi wamesoma private. Mazungumzo yao ni fulani alifungua kampuni ya logistics, huyu tangu aende Canada hajawahi rudi, huyu amekopa milioni 50 kashindwa marejesho, huyu duka lake liliungua sasa hivi tunamchangia aanze kidogo upya.

Class langu la STD 7 na lile la Form 4 mwenye degree ni mmoja tu, story zao ni huyu kamkimbia mke wake, huyu kaiba TV, huyu kapata kazi unesi Nachingwea. Alafu nina walevi wa visungura wengi.

Kayumba wenzangu wamezalisha wanawake vibaya mno uko mtaani. Hainikai akilini mwanangu nikimpata naye aende amebeba vidumu shule kama mimi.
 
Kuna tofauti kubwa ya tuition na shule. Shule mnatumia muda mwingi na maongezi yanakua marefu,tuition muda mchache,mtoto kachoka hivyo umakini unapungua.

Ila akirudi nyumbani anaongea Kiswahili.

Walimu wanao mfundisha , English Sio lugha Yao na wanawasiliana Kwa Kiswahili on daily basis.

It doesn't make any sense
Mamilioni ni mbwembwe tu za wazazi. Ndo maana unaona mtu anasomesha shule za mamilioni bado anamtafutia mwanae connection za kazi mfano mzuri mwigulu,mwanae yupo feza international ila bado anamhangaikia vinafasi uvccm ya watoto

Mtoa Mada anawazungumzia watanzania wenye kipato cha chini wanao jistress kulipa mamilioni kwenye Ems
 
Huu ndio uhalisia
Mimi nimesoma kayumba, niko mtaani sasa hivi na teammates wangu wengi wamesoma private. Mazungumzo yao ni fulani alifungua kampuni ya logistics, huyu tangu aende Canada hajawahi rudi, huyu amekopa milioni 50 kashindwa marejesho, huyu duka lake liliungua sasa hivi tunamchangia aanze kidogo upya.

Class langu la STD 7 na lile la Form 4 mwenye degree ni mmoja tu, story zao ni huyu kamkimbia mke wake, huyu kaiba TV, huyu kapata kazi unesi Nachingwea. Alafu nina walevi wa visungura wengi.

Kayumba wenzangu wamezalisha wanawake vibaya mno uko mtaani. Hainikai akilini mwanangu nikimpata naye aende amebeba vidumu shule kama mimi.
 
Nyumbani mnakaa nae muda mchache hivyo haina madhara kwake kuongea kiswahili au kilugha. Mcheki mtoto wa mwijaku,home mzee wake full kiswahili ila binti anapiga ung'eng'e kumzidi biden

Sio mbaya wacha wateseke si wamependa wenyewe au ndo vile wameshaona mateso waliyoyapata kwa kusoma kayumba hivyo wanalipa kwa watoto wao kusoma ems
Ila akirudi nyumbani anaongea Kiswahili.

Walimu wanao mfundisha , English Sio lugha Yao na wanawasiliana Kwa Kiswahili on daily basis.

It doesn't make any sense


Mtoa Mada anawazungumzia watanzania wenye kipato cha chini wanao jistress kulipa mamilioni kwenye Ems
 
Sasa huko EM wanafundishwa Mtaala upi?

Unajua watu kuna mambo hamyaelewi kuhusu suala la Elimu. Mtoto afundishwe juu ya mti, kwenye ghorofa, au popote pale kama Mtaala ni uleule. Inatarajiwa wote watapata lilelile.

Kwenye Elimu kuna mambo yafuatayo:
1. Sera ya Elimu ya nchi
2. Malengo ya Elimu katika nchi
3. Malengo ya Elimu kwa kila Kozi au Somo
4. Mtaala
5. Muhtasari wa kila Masomo.

Kama Lengo ni kumpeleka mtoto EM ajue kingereza Walau cha kung'atia half cake Sawa. Ila kama unafikiri atapewa Elimu tofauti na Ile ya Kayumba basi unapoteza pesa yako.
Mkuu mpeleke janja shule za maana acha janja janja mtani.
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu. Aliyekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset, hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.
Umefanya vizuri sana.
 
Utotoni nilisoma kayumba, maendeleo yangu school yalikuwa mazuri, mtaani watoto wa huko nilikuwa nawakimbiza kwa kuwafanyia maswali yao, kuna binti wa olympio, jamaa yangu yupo dycc(yemen) pale ye la 7 mie la 6 lakini pepa zao namsaidia fresh tu, ila pepa zetu hagusi, labda sababu nilikuwa najua hisabati kama kipaji lakini siamini hivyo naona wao walikuwa wakifundishwa kawaida mnoo tofauti na sisi.

Lakini kayumba naona nilijifunza mengi kuanzia maisha, kuna watu wanakuja viatu vimetoboka, shati halieleweki, tisheti imechoka, nikajifunza maisha kwa namna nyingine, kuna jamaa yetu alikuwa anakaa na mama wa kambo, huyu mapumziko tulikuwa tunamchangia hrla ili nae aenjoy.
Ubabe na vitu vingine, nilijifunza vingi ambavyo naamini kule st. Nini nini nisingeyaona.

Ila tu kama mtoto kichwa mbovu jitahidi kumsimamia, tuition ya kutosha, vitabu(material) yote awe nayo hapo itasaidia, tofauti na hivyo atateseka maana kayumba darasa kuwa na wanafunzi 70 mpaka 100+ ni kawaida tu.
Hivyo itakupasa umkomalie mtoto.
Big up Sana mkuu.

You are the true son of your father
 
Mimi nimesoma kayumba, niko mtaani sasa hivi na teammates wangu wengi wamesoma private. Mazungumzo yao ni fulani alifungua kampuni ya logistics, huyu tangu aende Canada hajawahi rudi, huyu amekopa milioni 50 kashindwa marejesho, huyu duka lake liliungua sasa hivi tunamchangia aanze kidogo upya.

Class langu la STD 7 na lile la Form 4 mwenye degree ni mmoja tu, story zao ni huyu kamkimbia mke wake, huyu kaiba TV, huyu kapata kazi unesi Nachingwea. Alafu nina walevi wa visungura wengi.

Kayumba wenzangu wamezalisha wanawake vibaya mno uko mtaani. Hainikai akilini mwanangu nikimpata naye aende amebeba vidumu shule kama mimi.
Hao wegi wanaotetea Kayumba wamesoma Kayumba zile angalau zenye Hali nzuri, Mimi nimesoma Kayumba secondary mpaka naingia kwenye paper la form two sikuwahi kumuona mwalimu chemistry wala biology halafu mtu Yuko serious mwanae anaempenda akasome shule hizo..

Hao walimu wenyewe wa kayumba watoto zao wanawakimbiza huku private..
Hakuna kiongozi mwanae anasoma huko serikalini
Ukiona mtoto anafaulu Kayumba ni mtoto mwenyewe tu ana akili za kuzaliwa.
Hawa watoto wengine akili zao mbili zinazohitaji ukaribu wa walimu wanaambulia 0.

Mtu anasema mtoto aende tuition kama siyo kuchosha watoto kashakaa shule masaa 8, kwanini aende tuition na ELIMU ya kayumba ni Bora kwanini akitoka shule afanye majukumu ya nyumbani mengine au apumzike baadae ajisomee Yale aliyofundishwa shule...
 
Siku zote tunawaambia mtafute pesa muache kujifariji ujinga!

Mngekuwa mna amani na maamuzi yenu msingekuwa mnashinda huku kutueleza mambo yenu.

Mlipowapeleka huko EM mbona hamkutuambia?
So wewe ni tajiri mkuu?

Matajiri wanaongeaga hivyo?


Kama na wewe ni tajiri Basi there is no hope to the future.

Mwenzako ka share story Yake Kwa sababu anataka kuwasaidia na watanzania wenzake wanao poteza pesa zao bure
 
Back
Top Bottom