😂😂
Labda hujamuelewa Mtoa Mada vizuri kama ungemuelewa Wala usingetaja hao madaktari, sijui injinia and the likes.
Siku hizi hao bodaboda, Mama Ntilie, Machinga, Housegirl ndio wanapeleka watoto huko EM
Ada za EM nyingi zipo Kati ya 1.3M to 3M ndio Maana mtoa Mada kasema watu(yaani hao low class) wanachukua Mikopo ili watoto wao wasome shule za EM kwa mtazamo kuwa ndio shule nzuri.
So kama unafikiri shule anayosomea Mwanao wapo watoto wa madaktari, waalimu, Wanasheria au injinia utakuwa unakosea pakubwa Sana. Elewa huko EM siku hizi kumejaa watoto wa walalahoi kibao.
Labda ungesema International School ambazo Ada zake sio rafiki kwa Tabaka la chini hata wafanye nini.
Lakini hizo EM ambazo Ada ni 2M wengi wa watu wanajitutumua. Na wanasomesha huko.
So suala la connection Hilo achana nalo.