LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
🤣🤣🤣🤣🤣Ukiishi kwa kutaka kuridhisha walimwengu lazima dunia uione chungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Ukiishi kwa kutaka kuridhisha walimwengu lazima dunia uione chungu.
Hiyo uliyo soma itakuwa Kayumba ya kijijini interior ndani ndaniHao wegi wanaotetea Kayumba wamesoma Kayumba zile angalau zenye Hali nzuri, Mimi nimesoma Kayumba secondary mpaka naingia kwenye paper la form two sikuwahi kumuona mwalimu chemistry wala biology halafu mtu Yuko serious mwanae anaempenda akasome shule hizo..
Hao walimu wenyewe wa kayumba watoto zao wanawakimbiza huku private..
Hakuna kiongozi mwanae anasoma huko serikalini
Ukiona mtoto anafaulu Kayumba ni mtoto mwenyewe tu ana akili za kuzaliwa.
Hawa watoto wengine akili zao mbili zinazohitaji ukaribu wa walimu wanaambulia 0.
Mtu anasema mtoto aende tuition kama siyo kuchosha watoto kashakaa shule masaa 8, kwanini aende tuition na ELIMU ya kayumba ni Bora kwanini akitoka shule afanye majukumu ya nyumbani mengine au apumzike baadae ajisomee Yale aliyofundishwa shule...
Kwani amekushikia bunduki? Una pata wapi ujasiri WA kusema amekupangia?Nafikiri ifike mahala tuache tabia ya kupangia watu hata yale mambo ya kibinafsi!!!!
Mtu asomeshe mtoto wake anapo ona inafaa; Kayumba, English medium, Uganda, Kenya, South Africa, Ulaya nk mbona kote huko watoto wakitanzania wanasoma na wako poa tu?
Mdogo wangu ,hongera Sana aisee ,vipi nikihitaji uwe unakuja kunipiga msasa wa kiinglishi utakubali ?Government schools are better than english medium schools. Hii ndio topic ya kujadiliwa, lakini kwa upande wangu wakuu, kusomesha mtoto kayumba au EM ni kipato na utashi wa mzazi mwenyewe, manake kwanza hizi kayumba mwanafunzi ukiona amefaulu ujue alikuwa anapambana kweli kweli,huko EM ni ufaulishwaji tu,haiwezekani mtoto nilisoma nae,nilikuwa nampiga vibaya mno darasani eti kahamia EM eti amekuwa na uwezo ananipiga. mimi nimesomea kayumba nimemaliza O LEVEL 2019 na nimefaulu vema tu cjaona tofauti iliyopo kati ya EM na KAYUMBA. S3003/0014 2019 kode hiyo hapo mnaweza kuthibitisha matokeo yangu
Nimesoma Zanaki tena town huko ndani ndani Hali ikoje?Hiyo uliyo soma itakuwa Kayumba ya kijijini interior ndani ndani
Nani kamuomba ushauri? Pesa zao zinamhusu nini?So wewe ni tajiri mkuu?
Matajiri wanaongeaga hivyo?
Kama na wewe ni tajiri Basi there is no hope to the future.
Mwenzako ka share story Yake Kwa sababu anataka kuwasaidia na watanzania wenzake wanao poteza pesa zao bure
Wewe Tena " Mideko" . Ukideka tu Kwa Hassan, Juma na Kelvin ada hiyo hapo. Mwenzako Fateema anatafuta hela Yake Kwa jasho ndio maana anaona ni upuuzi kulipa mamilioni shule za EMs wakati hana assets za maana na ana option ya kuwasomesha KayumbaMateso niliyoyapitia kayumba sitaki mwanangu ayapitie kitaeleweka tu.
Zanaki Secondary ya downtown Dar es salaam?Nimesoma Zanaki tena town huko ndani ndani Hali ikoje?
Kuna ndugu yangu mmoja ndio lilikuwa life lake tena shule alikuwa anaenda na baiskeli kabeba viazi vitamu na karanga na chupa ya maji lita 1.5 ...kila siku alikuwa ananiambia maisha sio lele mama..ila sasa hivi maisha yamenyookea kinamnaMkuu maisha magumu kwa mtu moja sio wote mualimu kunywa maji ya dawsco sio poa kabisa au kubeba viazi shuleni kama vitafunwa vya chai ni kujidhalklishwa.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Nani kamuomba ushauri? Pesa zao zinamhusu nini?
Kuwa na pesa siyo lazima uwe tajiri Chief.
Afungue ofisi wenye shida ya ushauri wake watamfuata huko.
Hiyo hiyo....Zanaki Secondary ya downtown Dar es salaam?
Kuna jamaa mmoja kwao alikuwa mambo safi... kuanzia chekechea hadi sekondari kasoma EM hadi chuo kaenda ST niniliu... lakini kingereza bado changamoto... kingine mnavyo shadadia kingereza,, kwani kinaongeza nini kwenye uchumi wako zaidi ya kuwa mtumwa tu? Kama kijua jifunze tu lakini usidhani ya kwamba kujua kingereza ni hakika ya mafanikio yako......Subiri aende secondari ndio utajua english ni bora.
Kwanini?Umefanya vizuri sana.
😅😅😅 Hatari sanaWewe Tena " Mideko" . Ukideka tu Kwa Hassan, Juma na Kelvin ada hiyo hapo. Mwenzako Fateema anatafuta hela Yake Kwa jasho ndio maana anaona ni upuuzi kulipa mamilioni shule za EMs wakati hana assets za maana na ana option ya kuwasomesha Kayumba
100% FactKuna jamaa mmoja kwao alikuwa mambo safi... kuanzia chekechea hadi sekondari kasoma EM hadi chuo kaenda ST niniliu... lakini kingereza bado changamoto... kingine mnavyo shadadia kingereza,, kwani kinaongeza nini kwenye uchumi wako zaidi ya kuwa mtumwa tu? Kama kijua jifunze tu lakini usidhani ya kwamba kujua kingereza ni hakika ya mafanikio yako......
Mtoto wako wa EM anaenda kuishia UDSM kama wa Kayumba. Wakimaliza hapo wote wanakuwa products za UDSM. Nobody gives a fu.ck where he went in Nursery/Primary school.Sahihi chukua mtoto wa darasa la saba kayumba waongee kiingereza na mtoto wa English medium darasa la pili
Kitoto cha English Medium kitamtoa knock out huyo darasa la saba wa kayumba
Vinaongea kingereza kilichonyooka na vinajiamini.
Amepunguza gharama ya nini kujitesaKwanini?
Ukitaka uishi maisha ya tabu basi ishi ili uwaridhishe jamii.Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu. Aliyekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.
Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset, hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..
Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.
Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.
Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.
Umeongea kinyume chake mkuu. The vice versa is true.Unajua mtoto anauma eeeee. Just imagine katoto kako kananyanyasika mtaani hadi kanakonda kakiona vigari vya njano vinawabeba wenzake waende shule.. hata kama wewe una ka Vitz kako unampeleka hapo kayumba, lakini yeye bado atatamani school bus... mbaya zaidi vitoto vya hizo miedium vinacheza kwa kiinglish muda woteee.. ... katoto kako kanakodoa macho tu... hakana raha mtaani, hakana raha nyumbani, kanatamani kangezaliwa kwa jirani. Hapo ndipo utakuta Mzazi anaamua kujitosa... kama mbwai na iwe mbwai wote watasoma huko huko kwenye kingereza cha kucheza na wenzao. Labda muishauri serikali ya government yenu ibadilishe mitaala, iweke na skulibasi. KUNA WALIONIELEWA
100%Fact. Una Akili nyingi Sana wewe mwanamke .Ungekuwa mke wangu Leo ningekupa zawadi ya kulala na Mimi kitanda kimojaAmepunguza gharama ya nini kujitesa