Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

Kwa hali ya Sasa ilivyo haiepukiki kumtafutia mtoto elimu Bora ili aje ajisaidie siku za usoni huko.

Serikali haionyeshi u serious wowote kuboresha mfumo wa elimu kwenye public schools ili angalau kuwapunguzia wananchi mzigo, baadala yake wanaendekeza siasa wakati uhalisia wa hizi shule za serikali Kila mtu anauona.
Una uhakika?
 
Kwamba hakuna mtoto alisoma English medium na ni bodaboda, yupo mtoto wa faza wangu mdogo.

Hicho kitu unachozungumzia ni kipana sana.
Na hakuna sehemu nimelazimisha mtoto asome kayumba hayo ni maamuzi yangu binafsi, jibu langu la kwanza kabisa nilisema, tuishi kwa vipato vyetu, tusijiumize kufanya jambo lolote lile, elimu, shughuli ama chochote kile.
Kama kipato kinaruhusu mpeleke mtoto huko EM.

ila nikasema binafsi yangu haijalishi kipato, mie mwenyewe nimeamua wanangu wasome kayumba.
Nafikiria kumhamishia Katumba ila nitafute Mwalimu ambae anaonekana ni mzuri Kwa English na Mathematics Ili wawe wanawapiga msasa nyumbani hususani vipindi vya likizo na weekend.
 
Kwann uwaonee huruma, jambo zuri linamchakato
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu. Aliyekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset, hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.
Mtoa mada hutakiwi kumuonea huruma mtu mjinga mwache ateswke Hadi akili zikae sawa.
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu. Aliyekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset, hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.
Serekali inajenga shule za EM kwa speed kubwa sana. Ni muda mfupi tu itakuwa kila halmashauri ina shule kadhaa za English na bei nzuri
 
Kama huu mwezi Januari mpaka Febuari wanachanganyokiwa kabisa.
Hivi ni nani kawaroga hawa wajinga?
Unaingiaje kwenye vita na Taifa ambalo limekuzidi nguvu?
Someni Biblia mpate hekima

hakika kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa, na pia watu hupotea kwa kukosa maarifa. (maarifa ya KiUngu)
 
Nashukuru Mungu nilijitoa kwenye utumwa wa kujitakia na Sasa naishi kwa Amani kabisa watoto niliwatoa EM nimewaleta Kayumba sina Tena stress na mambo yanaenda vizuri na watoto wanafanya vizuri darasani. Twisheni ya nguvu. Aliyekuwa la 4 mwaka jana kapata A zote Masha'Allah.

Shoga zangu tuliokuwa tunasomesha wote EM karibu wote wamewarudisha Kayumba wanao wamebaki wachache ambao eti wanaogopa kuchekwa wataonekana wameshindwa maisha ila mateso Yao Sio ya dunia hii, mikopo kama yote, wananuka madeni na ndani hawana asset, hawana viwanja watoto wanalala chini ilimradi wasome EM..

Sasa najiuliza mateso yote hayo ya Nini wakati hata Kayumba wanaweza soma vizuri tu na Chuo wakafika kama.wanavyo fika wengine.

Poleni Sana watanzania wenzangu ambao bado mpo kwenye utumwa huo. Mungu awaongoze Sana mshituke mapema.

Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.

Hapa sasa wewe ndo umeusema ukweli wote. Watu wasomesha watoto wao kulingana na vipato vyao. Siyo wale wanaokuja bla blaa nyingi kwamba EM hakuna chochote ondoe watoto wenu humo.

Watu waendeshe maisha yao kulingana na vipato vyao, siyo kuiga wengine wanafanya nini na wewe ufanye, ni mateso sana!!
 
Back
Top Bottom