Mwaka jana kuna rafiki yangu ailkutana na msichana mmoja aliyesoma nae!Kwa muda msichana alimganda sana mshkaji na "I LOVE YOU" kibao.Mwezi uliopita mshkaji anaambiwa hivi unajua fulani kaolewa juzi?
Si zaidi ya miezi miwili kuna mshkaji wangu nae alikua ananiimbia nyimbo hizo hizo..leo ananiambia nijiandae kwa kadi ya harusi.
Nikajiuliza sasa hawa watu hua wanawachukulia vipi hao wachumba wao?Watu wengine kua nao ni hasara tu kwa kweli.Nawaonea huruma watarajiwa wao!Mungu awape ujasiri!
alikuwa anatafuta mchumba...ungekubali pengine wewe ndio ungekuwa mke mtarajiwa....just an assumption.
Kuna watu wengine huwa wanaona wenzao kama makaratasi vile anachezea feeling zako jinsi anavyojisikia bila kujali utajisikiaje
Ndani ya miezi miwili ameshampata na kutambua kwamba ndie na kutangaza ndoa??Kwa mazingira aliyomo sidhani!Ila ngoja ntamuuliza!
...aaaah,
mimi wala siwalaumu.
"I love you!" na "Am In-Love with you!" zina maana mbili tofauti.:whistle:
Mbu how was ur easter?...aaaah,
mimi wala siwalaumu.
"I love you!" na "Am In-Love with you!" zina maana mbili tofauti.:whistle:
Kuna watu wengine huwa wanaona wenzao kama makaratasi vile anachezea feeling zako jinsi anavyojisikia bila kujali utajisikiaje
Kuna watu wengine huwa wanaona wenzao kama makaratasi vile anachezea feeling zako jinsi anavyojisikia bila kujali utajisikiaje
Mwaka jana kuna rafiki yangu ailkutana na msichana mmoja aliyesoma nae!Kwa muda msichana alimganda sana mshkaji na "I LOVE YOU" kibao.Mwezi uliopita mshkaji anaambiwa hivi unajua fulani kaolewa juzi?
Si zaidi ya miezi miwili kuna mshkaji wangu nae alikua ananiimbia nyimbo hizo hizo..leo ananiambia nijiandae kwa kadi ya harusi.
Ahaa ahaa nimecheka sana mkuu....tena karatasi yenyewe ile ya chooni (toilet paper)...akishamaliza kuitumia wala haiangalii..
ana flush iende zake huko!
Swadaaktachezeaa alarm...zikilia yeyote utakayekutana nae, akili inasema sasa nataka mwenza tu. Atazungukia wote aliokuwa nawaadmire, atakayekubali kusema I do ndio huyo.
chezeaa alarm...zikilia yeyote utakayekutana nae, akili inasema sasa nataka mwenza tu. Atazungukia wote aliokuwa nawaadmire, atakayekubali kusema I do ndio huyo.
Embu fikiria kama kwenye maandalizi ya kitanzi tu watu hawana uaminifu hizo ndoa wanazozitaka ndo wataziweza kweli??
nafikiri tatizo lilikuwa kwako..wewe hukuweza kusoma alama za nyakati. Inawezekana mchumba wako alikusoma, akaona hauko tayari kwa ndoa, na yeye asingeweza kusubiri mpaka uwe tayari...
Pia, inawezekana sio chaguo la Mungu kwa ajili yako, cha kufanya ni kumshukuru Mungu na kusubiri kwa hekima..
wakati mwingine hizi nafasi za kuoa na kuolewa ni nadra sana, pamoja na matatizo ya ndoa,
Ni kweli sigma inasikitisha sanaIt goes both ways TF, unaweza fikiri unamchezea kumbe nae ana same thought.
It is a matter of being outsmarted.
Sijui niseme inakera sijui niseme inasikitisha hata sielewi yaani mimi nachoka kabisaEmbu fikiria kama kwenye maandalizi ya kitanzi tu watu hawana uaminifu hizo ndoa wanazozitaka ndo wataziweza kweli??
Oh come on..sijaleta neno kwa neno kwahiyo hiyo tofauti tuiweke pembeni!Au inawezekana anaeoa/olewa nae akawa sio wa "In love with" bali wa "I love you?"
Mbu how was ur easter?