Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Mwaka jana kuna rafiki yangu ailkutana na msichana mmoja aliyesoma nae!Kwa muda msichana alimganda sana mshkaji na "I LOVE YOU" kibao.Mwezi uliopita mshkaji anaambiwa hivi unajua fulani kaolewa juzi?
Si zaidi ya miezi miwili kuna mshkaji wangu nae alikua ananiimbia nyimbo hizo hizo..leo ananiambia nijiandae kwa kadi ya harusi.
Nikajiuliza sasa hawa watu hua wanawachukulia vipi hao wachumba wao?Watu wengine kua nao ni hasara tu kwa kweli.Nawaonea huruma watarajiwa wao!Mungu awape ujasiri!
Si zaidi ya miezi miwili kuna mshkaji wangu nae alikua ananiimbia nyimbo hizo hizo..leo ananiambia nijiandae kwa kadi ya harusi.
Nikajiuliza sasa hawa watu hua wanawachukulia vipi hao wachumba wao?Watu wengine kua nao ni hasara tu kwa kweli.Nawaonea huruma watarajiwa wao!Mungu awape ujasiri!