Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari haijanikalia sawa.1.Unamteka mtoto wa kike kwa mtutu wa bunduki
2.Kundi la wanaume saba wakatili mnakubali kwenda kumteka, kumdalilisha, kumnyanyasa na kutweza utu wa mwanamke kwa ujira wa fedha?
3.Mnafunga kitambaa usoni mwanamke kisha mnamtoa nyumbani kwake Kibiti mnamsafirisha hadi mapori ya Kisarawe kwenda kumnyanyasa na kumfanyia ukatili
4.Mnajitambulisha kuwa ni maafisa wa chombo cha dola kisha mnatumia gari la kodi za wananchi, pingu na bunduki zilizonunuliwa kwa kodi zetu.
5.Mnachana nguo za mwanamke aliyefunzwa kujistiri kwa dini yake safi ya kiislamu tangu utotoni na kumuacha utupu.
6.Mwanamke mmoja anashirikiana na wanaume saba kumshambulia na kumdhalilisha mwanamke mwenzake kwa ujira wa pesa tu
7.Mmemaliza kumfanyia ukatili Mwanamke mnamtekeleza maporini mnaondoka na kujiona wajanja... mnajiona mmeyapatia maisha kweli.
8.Nawakumbusha yupo Mungu juu anayeona kila kitu muda wote na sehemu zote. Ipo siku kabla hamjazikwa na kufukiwa na udongo huu mnaotumia kumwaga damu, mtakumbushwa kila tukio moja mlilotenda.
9.Nawaonea huruma ninyi watekaji na wauaji, kwa kuwa najua hamjui watu makatili kama ninyi mwisho wenu unakuwaga vipi.
10.Lakini niwahakikishie akili za upinzani na harakati hazizimwi kwa mtutu wa bunduki na kufuli la Jela tulifikiri mmejifunza kwa Hayati Magufuli
Hamtoweza kuua watu wote,wapo watakaobaki nyuma yetu,wao watatulipia visasi vyetu.hilo mnatakiwa kulielewa siku zote.
Hakunaga Jambo linafanywa na watu zaidi ya wawili likabakia kuwa siri.
Boni yai TwitterView attachment 3133118
Ni chama lako, usijitoe akiliHii habari haijanikalia sawa.
. Maadui wa Tanzania yenye amani wako wengi.
Siyo kweli, huyo mama hasemi kweli.Ni chama lako, usijitoe akili
Je, kijana huyu amepatikana au bado?Ni siku ya furaha na huzuni pia
1. Ni siku ya huzuni kwakuwa bado Kombo Mbwana anasota rumande licha ya kutimiza vigezo vyote vya dhamana.. Simulizi yake inajulikana wazi hakuna haja ya kuirudia hapa
2. Ni siku ya huzuni kwakuwa Shadrack kijana aliyechoma picha ya mkuu wa kaya kisha kukamatwa kupandishwa kizombani, kuhukumiwa kifungo na hatimaye kulipiwa faini na Watanganyika wazalendo na kutoka lupango sasa ni saa 48+ zimepita tangu atekwe na wasiojulikana
3. Ni siku ya faraja na furaha kuu kwakuwa katikati ya mtanziko, taharuki, fadhaa na mashaka makuu wakili msomi Mwabukusi kashinda kinyang'anyiro cha kuwa rais wa chama cha wanasheria wa Tanganyika (Tanganyika law society) Anastahili pongezi nyingi mno maana haikuwa rahisi kabisa...!
Utekaji bado upo.. Utekaji na watekaji is for real.... Watu bado wanatekwa na kutokomezwa kusikojulikana na wasiojulikana.. Hali ni mbaya kuliko tunavyodhania.
Watakaosalimika ni wachache kati ya wengi ama ni wengi kati ya wachache
Wafaidikaji
Chawa, kunguni na viroboto
Waunga juhudi
'Wenzetu'
Watakaoweza kukaa kimya kabisa
Wa ndio mkuu
Wasiojua kuhoji
Wasioweza kuhoji
Waabudu sanamu
Wasifuni.. nk
Hapo kabla Watanganyika walikuwa wakihoji kimya kimya na wazi wazi kuhusu wanaopotea na huko wanakopotea.. Lakini baada ya simulizi ya Katavi jibu likapatikana
Ogopa sana mateke ya mwisho ya mnyama anayekufa.. Yaogope mno! Maana ni mateke ya kutafuta wa kuondoka naye
Walioko kwenye list ni wengi.. Pengine hata wewe na mimi tumo!
Swali muhimu: Ni nani atasalimika?
View attachment 3060067
Doesn’t matter, no justification kwa ushenzi aliofanyiwa, 60 years tangu mtawale, siku ya independent tulikuwa sawa na South Korea na Singapore lakini sasa wenzetu ni first world with GDP per capital better than US, sasa Rwanda ananunua Gold yetu kuliko BOT na Ana refineries kuliko Tanzania, najua huelewi , pumbaf sana CCMSiyo kweli, huyo mama hasemi kweli.
Hapo naona huyo ni msaliti wa mitaa ya kibiti, anajulwa alichoulizwa na alichojibu na onyo alilopewa hajalisema.
Once a system always a system - Zomba.
Mlaumu aliyeweka misingi yautawala.Doesn’t matter, no justification kwa ushenzi aliofanyiwa, 60 years tangu mtawale, siku ya independent tulikuwa sawa na South Korea na Singapore lakini sasa wenzetu ni first world with GDP per capital better than US, sasa Rwanda ananunua Gold yetu kuliko BOT na Ana refineries kuliko Tanzania, najua huelewi , pumbaf sana CCM
Hii picha ipo siku itaongea
Hilo ni genge la Chura Kiziwi. Mpaka 2025 tutaona mengi sana