Watato wakiniona huwa wanacheka sana na kunizoea hata niwe mkali

Kama kwenye profile ni picha yako sishangai. Lakini kupendwa na watoto ni kipaji. Fungua daycare

Aisee huwa mimi vinaniboaga sana basi tuu,
Unakuta kimekuja na andazi au bagia kinaanza kutaka kukulisha.
Unatamani hata ukaweke Teke moja kakatulie kule tuuu lakini ndiyo kanakazana hako.
 
Mimi nishang'ang'aniwa na mtoto supermarket 'daddy daddy....'

hii mbaya mkuu, kuna bwana mmoja aliwahi ng'ang'aniwa na katoto' baba' 'baba' jamaa akakibeba safiii kumbe baba yake anaona huo mchezo ukijumlisha na akili yake ndogo akakasirika.

Akamtuhumu jamaa kutembea na mke wake na mtoto atakua kaoneshwa na mama kwamba huyu ndo 'baba" sema wazee waliamua kwa busara pale.
 

Huyo jamaa hajiamini aisee..
 
Jua kua wewe ni mtoto mwenzao ila chunga usije kuundiwa zengwe kama la Babu seya hutasamehewa nakuambia
 
Acha mazoea na watoto asee utakuja kuzuliwa jambo kama la babu seya na wanae likakutupa ndani na hutapata msamaha wa mkulu wa kaya.
 
angalia yasije yakakukuta ya Babu seya na kocha
 
strategy ya kuwakamata single mothers wa JF.
 
Chunga sana hiyo hali Mkuu siyo ya kuendekeza sana

Afadhali kidogo kama ni Mwalimu wa chekechea lakini vinginevyo wajabambikwa janga ujute
 
Msafi wa moyo au una babyface...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…