Watato wakiniona huwa wanacheka sana na kunizoea hata niwe mkali

Mimi kipindi sijajaaliwa mtoto walikua wananifuata ndani wanasema tugaiye mwanao tukacheze nae nikisema sina mtoto wananiambia muongo umemficha.


Ila wale ni malaika kama unawapenda ndan ya nafsi yako ata umuoneshe ukali hajali ila nafsi ikiw huwapendi hawatokusogelea watoto wapo kama mnyama ukimpenda atakupenda mala 1000.
 
Umefuga midev au....ila moyo wak ni saf mtoto anajua huwa anamacho kama X-ray anajua yupo mwema wake na mmbaya

Hahaha,
Watoto bwana!Halafu wakiona huwafanyi kitu wanakuonea sana!
 
Inawezeakana unafanana na huyu h apa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mpe Mola shukran kwa baraka zake jombaa. Wengine wetu mitaani watoto wakikataa kula chakula huwa wanatishiwa na mama zao kwamba wataitiwa jirani. Wakisikia hivo tu hapo sasa ndo huwa wanaanzaga kumeza vijiko vinne vinne kwa mpigo. Afu kikombe cha maziwa wanakichapa flush. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hahahahhaha!
Hii hata mimi nilikuwa nafanyiwa sana!
 
Hawajakuvunjia miwani mkuu?

Mimi ni opposite. Watoto hawaivani na mimi kabisa na napenda iendelee hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…