Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Hii story ipo kwenye vijiwe vingivsana vya kahawa na bodaboda, umeamua kuileta na humuNikweli Kuna NGO moja ya mzungu inalea watoto yatima na wenye Maisha magumu..
Siku moja Yule mfadhili mzungu alitembelea kituo alipo kua ameacha mkoba mle ofisin ikagundulika mtoto mmoja akaiba pesa kwenye ule mkoba
Baada ya kufanya msako mtoto mmoja akagundulika ndie Alie chukua zile pesa Basi wale walezi waafrika wakaanza kumshambulia kwa bakora na maneno..
Yule mzungu akawakemea wale walezi akamwita mtoto kwa upendo na kumfanya Yule mtoto rafiki na alipo ondoka akamwachia pesa na Mara kwa Mara akawa anamfuatilia maendeleo yake tangia siku hiyo..
Wenzetu hupenda kutumia Positive punishment Ila kina sisi waafrika Ni mwendo wa negative punishment
Ulaya ipi hiyo ambayo ingewafunga hivyo bila uthibitisho kuwa kemikali zao zimetumika kutengeneza pombe iliyoua watu? Kwa mtaji huo basi kila anayeiba pesa ya umma angekuwa anafungwa maisha maana pesa alizoiba zingeweza kutumika kununua dawa ambazo zingeokoa maisha ya watu wengi.Sio kweli, Tena Kwa Ulaya wangefungwa maisha na wangeozewa pale mbele ya kifungo 'without possibility of parole'
Nyie watu wa NGO na kulamba miguu ya wazungu ni jadi yenuNikweli Kuna NGO moja ya mzungu inalea watoto yatima na wenye Maisha magumu..
Siku moja Yule mfadhili mzungu alitembelea kituo alipo kua ameacha mkoba mle ofisin ikagundulika mtoto mmoja akaiba pesa kwenye ule mkoba
Baada ya kufanya msako mtoto mmoja akagundulika ndie Alie chukua zile pesa Basi wale walezi waafrika wakaanza kumshambulia kwa bakora na maneno..
Yule mzungu akawakemea wale walezi akamwita mtoto kwa upendo na kumfanya Yule mtoto rafiki na alipo ondoka akamwachia pesa na Mara kwa Mara akawa anamfuatilia maendeleo yake tangia siku hiyo..
Wenzetu hupenda kutumia Positive punishment Ila kina sisi waafrika Ni mwendo wa negative punishment
Acha UZOMBIE.Hawa nduyu zangu tulishaambiwa huko peponi kuna mito ya pombe isiyochacha ila wakaona wazianzie hapahapa...!
Sawa pombe inaweza inaweza kua Ni moja ya vyanzo Ila Kuna other factors nyingine nyingi nyingi TU
Huioni kvant kwa hiyo list?2022 smart gin ilishaingia sokoni??
By the way hizi Brands za pombe kali za bei chee za buku mbili, tunakunywa tu lakini siyo za kuaminika sana,.. Bora mtu kunywa brands zinazoeleweka kama Konyagi, Kvant, Grants, Valeur, Hanson choice n.k
Hawa kweli walikuwa hawajitambui, yaani kesi kubwa kama hiyo unajiwakilisha mwenyewe!! Anyway wacha iwe fundisho Kwa maharamia wengine, Vijana wetu wengi wanaangamia Kwa unjwaji pombe, Sasa wanawawekea na fake products!!???Dar es Salaam.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha jela vijana watatu waliokuwa wanajishughulisha na uzalishaji na usambazaji wa pombe kali bandia.
Ni baada ya kuwatia hatiani kwa kosa na kukutwa na kemikali hatarishi aina ya ‘ethanol’ isivyo halali.
Vijana hao waliohujumiwa adhabu hiyo, ambao walitumia kemikali hiyo kutengeneza vileo vikali aina ya K-Vant, Double Kick na Smart Gin kisha kuandika stika za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na nembo bandia za kampuni zinazozalishwa vileo hivyo, ni Frank Donatus Mrema, Faham Salim Ngoda na Issa Juma Hassan.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Mei 27, 2024 na Hakimu Mkazi Veneranda Kaseko baada ya kuridhika na ushahidi wa upande wa mashtaka, kuwa umethibitisha kesi katika mashtaka yote matatu yaliyokuwa yakiwakabili.
Hakimu Kaseko amesema kamikali hiyo ya ethanol washtakiwa walikuwa nayo wakitengenezea bidhaa hizo ambazo ni hatari kwa maisha ya watumiaji bila kuzingatia maelekezo ya wataalamu na kwamba kwa kosa kama hilo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.
"Mahakama hii imezingatia kifungu cha Sheria namba 15(1), (2) na 3) cha Sheria ya Udhibiti Dawa za Kulevya ambapo shtaka la kupatikana na kujihusisha na kemikali hatarishi kwa afya za binadamu ya ethanol, adhabu pekee ni kifungo cha maisha jela," amesema Hakimu Kaseko.
"Kwa kuwa adhabu pekee kwa kifungu hicho ni kifungo cha gerezani maisha yote, Mahakama hii inafungwa mikono haiwezi kuamua tofauti na hivyo, na kutokana na kifungu hicho katika shtaka la kwanza washtakiwa wote mahakama inawahukumu kutumikia kifungo cha maisha gerezani."
Mbali na shtaka hilo, mashtaka mengine yaliyokuwa yakiwakabili ni kukutwa na stika bandia za TRA na kutumia isivyo halali nembo za biashara za kampuni zinazozalisha vileo hivyo.
Vijana hao walitiwa mbaroni Septemba 17, 2022, katika eneo la Uwanja wa Panda, Tegeta, wilayani Kinondoni, baada ya kukutwa na askari wa doria wakiongozwa na Mkuu wa Upelelezi wa Kituo cha Polisi Kawe, wilayani Kinondoni, wakimiliki lita 531.2 za kemikali hiyo katika kiwanda walichokuwa wakitengenezea vileo hivyo.
Katika kuthibitisha mashtaka hayo upande wa mashtaka uliwaita jumla ya mashahidi 12 na kuwasilisha vielelezo 25, zikiwemo nyaraka na bidhaa bandia zilizokuwa zinatengenezwa na vijana hao.
Wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo washtakiwa hawakuwa na huduma ya uwakili walijiwakilisha wenyewe.
Hawa Vijana walikuwa wanafake brand zote, kutegemea na wahitaji, walikuwa wanachukua packaging materials kutoka viwanda husika (kutoka wafanyakazi wasiokuwa waaminifu), hasa hizi za bei mbaya Ndio walikuwa wanafake brand2022 smart gin ilishaingia sokoni??
By the way hizi Brands za pombe kali za bei chee za buku mbili, tunakunywa tu lakini siyo za kuaminika sana,.. Bora mtu kunywa brands zinazoeleweka kama Konyagi, Kvant, Grants, Valeur, Hanson choice n.k
NEMBO YA TRA na hio ethenol bila kibali ndio msala wao , wangekuwa na wakili hata wakuvungia tu wasingekula mvua kubwa namna hio,Kwani hawa jamaa wametiwa hatiani kwa kosa la kughushi bidhaa au kwa kosa la kukutwa(Kumiliki) Ethanol? Kama ni kughushi bidhaa, basi Mlalamikaji au mwenye kiwanda Halali ndiye anayefungua mashtaka dhidi ya mtuhumiwa i.e. Mwenye Hatimiliki (Nembo ya Kiwanda) Ndiye anayeshtaki Mahakamani.
Nendeni bonyokwa kwenye nabar kuna fake kibaoooo na zinatengenezwa na wanawake flan wanasambaza chunguzen wanakaa wapi wasijetumaliza hope awachanganyi na gongoDar es Salaam.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni imewahukumu adhabu ya kifungo cha maisha jela vijana watatu waliokuwa wanajishughulisha na uzalishaji na usambazaji wa pombe kali bandia.
Ni baada ya kuwatia hatiani kwa kosa na kukutwa na kemikali hatarishi aina ya ‘ethanol’ isivyo halali.
Vijana hao waliohujumiwa adhabu hiyo, ambao walitumia kemikali hiyo kutengeneza vileo vikali aina ya K-Vant, Double Kick na Smart Gin kisha kuandika stika za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na nembo bandia za kampuni zinazozalishwa vileo hivyo, ni Frank Donatus Mrema, Faham Salim Ngoda na Issa Juma Hassan.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Mei 27, 2024 na Hakimu Mkazi Veneranda Kaseko baada ya kuridhika na ushahidi wa upande wa mashtaka, kuwa umethibitisha kesi katika mashtaka yote matatu yaliyokuwa yakiwakabili.
Hakimu Kaseko amesema kamikali hiyo ya ethanol washtakiwa walikuwa nayo wakitengenezea bidhaa hizo ambazo ni hatari kwa maisha ya watumiaji bila kuzingatia maelekezo ya wataalamu na kwamba kwa kosa kama hilo adhabu yake ni kifungo cha maisha jela.
"Mahakama hii imezingatia kifungu cha Sheria namba 15(1), (2) na 3) cha Sheria ya Udhibiti Dawa za Kulevya ambapo shtaka la kupatikana na kujihusisha na kemikali hatarishi kwa afya za binadamu ya ethanol, adhabu pekee ni kifungo cha maisha jela," amesema Hakimu Kaseko.
"Kwa kuwa adhabu pekee kwa kifungu hicho ni kifungo cha gerezani maisha yote, Mahakama hii inafungwa mikono haiwezi kuamua tofauti na hivyo, na kutokana na kifungu hicho katika shtaka la kwanza washtakiwa wote mahakama inawahukumu kutumikia kifungo cha maisha gerezani."
Mbali na shtaka hilo, mashtaka mengine yaliyokuwa yakiwakabili ni kukutwa na stika bandia za TRA na kutumia isivyo halali nembo za biashara za kampuni zinazozalisha vileo hivyo.
Vijana hao walitiwa mbaroni Septemba 17, 2022, katika eneo la Uwanja wa Panda, Tegeta, wilayani Kinondoni, baada ya kukutwa na askari wa doria wakiongozwa na Mkuu wa Upelelezi wa Kituo cha Polisi Kawe, wilayani Kinondoni, wakimiliki lita 531.2 za kemikali hiyo katika kiwanda walichokuwa wakitengenezea vileo hivyo.
Katika kuthibitisha mashtaka hayo upandenendeni wa mashtaka uliwaita jumla ya mashahidi 12 na kuwasilisha vielelezo 25, zikiwemo nyaraka na bidhaa bandia zilizokuwa zinatengenezwa na vijana hao.
Wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo washtakiwa hawakuwa na huduma ya uwakili walijiwakilisha wenyewe.
InalegezaEthanol inauwa?????????
Mkuuu wengjne hata hizo tra wanawauzia. Wenyewe nenda vile vidubwasha vifungashio wametaja wanauziwa na wafanyakazi ambao badowakokazini hiizoezi gumusana sana mjiandae tu mapema na nauli za kuwasafirisha kwenu kabla amjafaT
NEMBO YA TRA na hio ethenol bila kibali ndio msala wao , wangekuwa na wakili hata wakuvungia tu wasingekula mvua kubwa namna hio,
nmejifunza mengi sana mahakaman ukienda bila wakili ata kesi ya kutukanana tu mtaani unaweza kunyongwa
Kiasi sio mbaya .mbaya kupitilizaKuna kiwanda niliwahi kufanya kazi, basi kulikuwa na ile kemikali inaitwa Ethanol, jamaa wengi walikuwa wanakunywa kwa kuchanganya na maji tu.
Wakitoka kazini wamelewa mbwi, sasa sijui kama ni hatari kuitumia ile kemikali maana vijana walikuwa wanabugia sana.
Hapana ase vijana wanaangamia sana zama hizi na hizo pombe bandiaKwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Hujaona hapo pia walikuwa wanatrngeneza kvant bandia2022 smart gin ilishaingia sokoni??
By the way hizi Brands za pombe kali za bei chee za buku mbili, tunakunywa tu lakini siyo za kuaminika sana,.. Bora mtu kunywa brands zinazoeleweka kama Konyagi, Kvant, Grants, Valeur, Hanson choice n.k
Dah! Kwani NEMBO YA TRA inatunzwa Under Lock and key au ipo-ipo tu hadi wasela wakaipata?T
NEMBO YA TRA na hio ethenol bila kibali ndio msala wao , wangekuwa na wakili hata wakuvungia tu wasingekula mvua kubwa namna hio,
nmejifunza mengi sana mahakaman ukienda bila wakili ata kesi ya kutukanana tu mtaani unaweza kunyongwa