Watatu jela maisha kwa kukutwa na kemikali za kutengeneza ‘Smart Gin’, ‘Double Kick’

Watatu jela maisha kwa kukutwa na kemikali za kutengeneza ‘Smart Gin’, ‘Double Kick’

Wahalifu wakifungwa,mnalalamika,wakiaachiwa bado mnalalamika ,hata sijui watanzania mnataka nini hasa mbona kama mnatuchanganya sana!!??
Adhabu iendane na kosa.
Yaani isiwe mafisadi wanaachiwa tu wanaonekana mashujaa halafu mtu aliyejiongeza ili apate laki ya kulisha familia aonekane kama muuwaji/jambazi sugu/Muhujumu uchumi wakati mafisadi wanaoficha mabilioni ndio wahujumu uchumi namba moja.
 
Adhabu iendane na kosa.
Yaani isiwe mafisadi wanaachiwa tu wanaonekana mashujaa halafu mtu aliyejiongeza ili apate laki ya kulisha familia aonekane kama muuwaji/jambazi sugu/Muhujumu uchumi wakati mafisadi wanaoficha mabilioni ndio wahujumu uchumi namba moja.
Yeah! Inatakiwa kuwe na a Fair play. Mtu kaiba (bila kujali mbinu aliyotumia) mabilioni tena kodi zetu, halafu anasawazishwa au anaachwa kabisa lakini aliyekutwa na pombe (Ethanol) lita chache tu anahukumiwa tena adhabu kali kupitiliza. Hii sio sawa.
 
Siiafiki sana hoja yako ila ukitulia na kuliangalia hilo linaloitwa ni kosa:-
1. Uchumi uliohujumiwa na wa mtu mmoja binafsi i.e. Mmiliki wa kiwanda na sio uchumi wa Nchi.
2. Kwamba anahatarisha maisha ya ya wananchi sio kweli kwa sababu ethanol hiyo hiyo ndio inayouzwa au kunyweka kama Konyagi, Jogoo, K-vanti na Smart gin n.k. ambazo ni baadhi ya vinywaji vinachotengenezwa hapa nchini na kuuziwa wananchi.
Ukitazama kwa jicho positive ni kwamba hao watu tayari wanao Ubunifu na ni watu wanaothubutu. Hivi ni vigezo muhimu sana kwa Mjasiriamali. Kwa mantiki hiyo, hao ni Wajasiriamali tayari. Wanachohitaji ni kuendelezwa au kuwa motivated ili "wafunguke" zaidi na nchi iweze kunufaika kutokana na kipaji chao hicho cha ubunifu.
Kuwatupa jela ni kuzika Talanta waliyo nayo. Ndo mana mdau hapo juu ameiweka hoja hiyo kwa kutaja Ulaya; ila sio lazima iwe ni ile Ulaya unayoijua wewe.
 
Ethanol inaua brother.

Hawa njaa zao zilikuwa zinaua watu wengine.

Ingechunguzwa zaidi walioathirika na madhara ya hizo pombe feki.

Inaweza kuwa mbaya zaidi.

Ulaya wangehukumiwa zaidi.
Iliyopo kwenye K Vant ni nini
 
Siiafiki sana hoja yako ila ukitulia na kuliangalia hilo linaloitwa ni kosa:-
1. Uchumi uliohujumiwa na wa mtu mmoja binafsi i.e. Mmiliki wa kiwanda na sio uchumi wa Nchi.
2. Kwamba anahatarisha maisha ya ya wananchi sio kweli kwa sababu ethanol hiyo hiyo ndio inayouzwa au kunyweka kama Konyagi, Jogoo, K-vanti na Smart gin n.k. ambazo ni baadhi ya vinywaji vinachotengenezwa hapa nchini na kuuziwa wananchi.
Ukitazama kwa jicho positive ni kwamba hao watu tayari wanao Ubunifu na ni watu wanaothubutu. Hivi ni vigezo muhimu sana kwa Mjasiriamali. Kwa mantiki hiyo, hao ni Wajasiriamali tayari. Wanachohitaji ni kuendelezwa au kuwa motivated ili "wafunguke" zaidi na nchi iweze kunufaika kutokana na kipaji chao hicho cha ubunifu.
Kuwatupa jela ni kuzika Talanta waliyo nayo. Ndo mana mdau hapo juu ameiweka hoja hiyo kwa kutaja Ulaya; ila sio lazima iwe ni ile Ulaya unayoijua wewe.
Yeah uko sahihi ndugu.
Hao wana kipawa cha ujasiriamali na ubunifu sema tu wamekosa mtaji wa kuanzisha brand yao na wakichekecha hawakupata mahali pa kupata pesa nyingi ya mtaji wakaona wajiongeze kutengeneza kinyemela vinginevyo wanakufa maskini.
Watu wanaanziaga mbali sana kwenye process ya kutoboa maisha.
Usione watu wana brand zao maarufu ukadhani waliibuka tu wana siri nzito
 
Kha! Hivi iko hiyo sheria???. au ni namna mojawapo ya kuhamasisha Ushoga?
Mbona yule njagu wa visiwani kwani iliishaje? Alisamehewa kumbe.
 
Back
Top Bottom