Watatu jela maisha kwa kukutwa na kemikali za kutengeneza ‘Smart Gin’, ‘Double Kick’

Watatu jela maisha kwa kukutwa na kemikali za kutengeneza ‘Smart Gin’, ‘Double Kick’

2022 smart gin ilishaingia sokoni??

By the way hizi Brands za pombe kali za bei chee za buku mbili, tunakunywa tu lakini siyo za kuaminika sana,.. Bora mtu kunywa brands zinazoeleweka kama Konyagi, Kvant, Grants, Valeur, Hanson choice n.k

Kuna Hennessey, JD, Red Label za mchongo sembuse valeur na grants? Pombe kali za mchongo zipo nyingi sana ndo maana matatizo ya figo yameongezeka.
 
1.Maisha ya Vijana wengi yameharibika kwa vijana hao kuwa wakaidi, wakorofi na kutozingatia ushauri wanaopewa. Wanakwenda kunywa hayo mavitu kwa hiari yao wenyewe.
2. Ipo changamoto kubwa sana kwa sasa hv hapa nchini ya Ukosefu wa Ajira. Jambo hili la ukosefu wa ajira limepelekea vijana wengi baada ya masomo kuwa Idle. Hii inawaletea msongo wa mawazo (sonona au stress) na kwa ujinga wao hao vijana hawasikii tena ushauri ila wamekaza shingo na wanaona kwenda kujilipua( Ulevi) ndo ufumbuzi.
Ethanol sio sumu. Ingekuwa ni sumu, basi watu wengi sana (wote wanaokunywa Kilevi) wangelikuwa wameuawa na sumu hiyo. Lakini ukizingatia "Too much of anything is harmful" ndo mana hata wale wanywaji wa siku zote akizidisha hudhurikai.e. hiyo-hiyo pombe/kilevi huwa ni sumu kwake.
Ethanol sijasema ni sumu. Ila inapotumiwa vibaya na kwakiwango ambacho sio sawa kwa mwili wa binadamu au kwa kuchanganya na vitu vingine lazima iwe sumu. Hao watu sio wakemia hivyo wanachotengeneza hakijathibitishwa kuwa halali kwa matumizi ya binadamu na mamlaka husika za kitaalamu.

Imagine mimi nataka ninywe konyagi yangu safi tu kumbe kuna mhuni kama Maghayo kaimix kikemia kemia janja janja hapo ghetoni kwake kumbe ni sumu.

Huyo ana tofauti gani na muuaji?
 
2022 smart gin ilishaingia sokoni??

By the way hizi Brands za pombe kali za bei chee za buku mbili, tunakunywa tu lakini siyo za kuaminika sana,.. Bora mtu kunywa brands zinazoeleweka kama Konyagi, Kvant, Grants, Valeur, Hanson choice n.k
Hata hizo ulizotaja zimejaa famba tu na ubaya mnywaji ni ngumu kujua.
 
Ulaya ipi hiyo ambayo ingewafunga hivyo bila uthibitisho kuwa kemikali zao zimetumika kutengeneza pombe iliyoua watu? Kwa mtaji huo basi kila anayeiba pesa ya umma angekuwa anafungwa maisha maana pesa alizoiba zingeweza kutumika kununua dawa ambazo zingeokoa maisha ya watu wengi.
Msitake kutudanganya kwa kutumia simulizi za vijiweni.

Amandla...
Kwanini wamefungwa?
 
Ethanol sijasema ni sumu. Ila inapotumiwa vibaya na kwakiwango ambacho sio sawa kwa mwili wa binadamu au kwa kuchanganya na vitu vingine lazima iwe sumu. Hao watu sio wakemia hivyo wanachotengeneza hakijathibitishwa kuwa halali kwa matumizi ya binadamu na mamlaka husika za kitaalamu.

Imagine mimi nataka ninywe konyagi yangu safi tu kumbe kuna mhuni kama Maghayo kaimix kikemia kemia janja janja hapo ghetoni kwake kumbe ni sumu.

Huyo ana tofauti gani na muuaji?
Na mix kabisa ili iwe gumzo haiwezekani unawaacha mbusii malishoni unaenda kuendekeza ulevi mnadani.

Mbusii wewe
 
Hizo pombe za bei mbaya ni kuwa nazo makini sana na maeneo unapotaka kununua
Unakuta hadi kwenye kiduka cha Mangi kuna Henny 😄
Rahisi ni gharama. Pombe za bei kubwa inatakiwa uende sehemu zenye hadhi. Huku uchochoroni ni hatari sana. Hata ha wa wachina mimi nawaogopa sana. Hawana utu, hawana simile, wao ni fedha tu.
 
Ethanol sijasema ni sumu. Ila inapotumiwa vibaya na kwakiwango ambacho sio sawa kwa mwili wa binadamu au kwa kuchanganya na vitu vingine lazima iwe sumu. Hao watu sio wakemia hivyo wanachotengeneza hakijathibitishwa kuwa halali kwa matumizi ya binadamu na mamlaka husika za kitaalamu.

Imagine mimi nataka ninywe konyagi yangu safi tu kumbe kuna mhuni kama Maghayo kaimix kikemia kemia janja janja hapo ghetoni kwake kumbe ni sumu.

Huyo ana tofauti gani na muuaji?
Hiyo nakubaliana na wewe 100%. Lakini hadi sasa hakuna kifo kilichothibitishwa kimetokana na hiyo pombe feki.
 
Back
Top Bottom