Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hiyo ajali kazini mkuuAjali kazini etieee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ajali kazini mkuuAjali kazini etieee?
Kwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
2022 smart gin ilishaingia sokoni??
By the way hizi Brands za pombe kali za bei chee za buku mbili, tunakunywa tu lakini siyo za kuaminika sana,.. Bora mtu kunywa brands zinazoeleweka kama Konyagi, Kvant, Grants, Valeur, Hanson choice n.k
Ethanol sijasema ni sumu. Ila inapotumiwa vibaya na kwakiwango ambacho sio sawa kwa mwili wa binadamu au kwa kuchanganya na vitu vingine lazima iwe sumu. Hao watu sio wakemia hivyo wanachotengeneza hakijathibitishwa kuwa halali kwa matumizi ya binadamu na mamlaka husika za kitaalamu.1.Maisha ya Vijana wengi yameharibika kwa vijana hao kuwa wakaidi, wakorofi na kutozingatia ushauri wanaopewa. Wanakwenda kunywa hayo mavitu kwa hiari yao wenyewe.
2. Ipo changamoto kubwa sana kwa sasa hv hapa nchini ya Ukosefu wa Ajira. Jambo hili la ukosefu wa ajira limepelekea vijana wengi baada ya masomo kuwa Idle. Hii inawaletea msongo wa mawazo (sonona au stress) na kwa ujinga wao hao vijana hawasikii tena ushauri ila wamekaza shingo na wanaona kwenda kujilipua( Ulevi) ndo ufumbuzi.
Ethanol sio sumu. Ingekuwa ni sumu, basi watu wengi sana (wote wanaokunywa Kilevi) wangelikuwa wameuawa na sumu hiyo. Lakini ukizingatia "Too much of anything is harmful" ndo mana hata wale wanywaji wa siku zote akizidisha hudhurikai.e. hiyo-hiyo pombe/kilevi huwa ni sumu kwake.
duu, sasa tukimbilie wapi? za rahisi fake, za ghali fake.Hizo ndio wanapenda kutoa fake maana ndio zenye pesa
Hata hizo ulizotaja zimejaa famba tu na ubaya mnywaji ni ngumu kujua.2022 smart gin ilishaingia sokoni??
By the way hizi Brands za pombe kali za bei chee za buku mbili, tunakunywa tu lakini siyo za kuaminika sana,.. Bora mtu kunywa brands zinazoeleweka kama Konyagi, Kvant, Grants, Valeur, Hanson choice n.k
Hizo pombe za bei mbaya ni kuwa nazo makini sana na maeneo unapotaka kununuaduu, sasa tukimbilie wapi? za rahisi fake, za ghali fake.
Kwanini wamefungwa?Ulaya ipi hiyo ambayo ingewafunga hivyo bila uthibitisho kuwa kemikali zao zimetumika kutengeneza pombe iliyoua watu? Kwa mtaji huo basi kila anayeiba pesa ya umma angekuwa anafungwa maisha maana pesa alizoiba zingeweza kutumika kununua dawa ambazo zingeokoa maisha ya watu wengi.
Msitake kutudanganya kwa kutumia simulizi za vijiweni.
Amandla...
Nasikia siku hizi hadi bia zimeingiliwa, kuna safari za mchongoHata hizo ulizotaja zimejaa famba tu na ubaya mnywaji ni ngumu kujua.
Na mix kabisa ili iwe gumzo haiwezekani unawaacha mbusii malishoni unaenda kuendekeza ulevi mnadani.Ethanol sijasema ni sumu. Ila inapotumiwa vibaya na kwakiwango ambacho sio sawa kwa mwili wa binadamu au kwa kuchanganya na vitu vingine lazima iwe sumu. Hao watu sio wakemia hivyo wanachotengeneza hakijathibitishwa kuwa halali kwa matumizi ya binadamu na mamlaka husika za kitaalamu.
Imagine mimi nataka ninywe konyagi yangu safi tu kumbe kuna mhuni kama Maghayo kaimix kikemia kemia janja janja hapo ghetoni kwake kumbe ni sumu.
Huyo ana tofauti gani na muuaji?
Umbwaaa 🤣🤣Na mix kabisa ili iwe gumzo haiwezekani unawaacha mbusii malishoni unaenda kuendekeza ulevi mnadani.
Mbusii wewe
Rahisi ni gharama. Pombe za bei kubwa inatakiwa uende sehemu zenye hadhi. Huku uchochoroni ni hatari sana. Hata ha wa wachina mimi nawaogopa sana. Hawana utu, hawana simile, wao ni fedha tu.Hizo pombe za bei mbaya ni kuwa nazo makini sana na maeneo unapotaka kununua
Unakuta hadi kwenye kiduka cha Mangi kuna Henny 😄
JE UNSAFE DRINKING WATER? /POOR TREATED WATER?Wangenyongwa kabisa.
Taifa halihitaji watu wahuni kiasi hichi
Hizi Pombe kali zinamaliza nguvu kazi ya taifa sasa wengine wanatengeneza bomb kubwa zaidi kwa vijana.JE UNSAFE DRINKING WATER? /POOR TREATED WATER?
ulaya ipi hiyo 😀 😀 😀 😀Kwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Hiyo nakubaliana na wewe 100%. Lakini hadi sasa hakuna kifo kilichothibitishwa kimetokana na hiyo pombe feki.Ethanol sijasema ni sumu. Ila inapotumiwa vibaya na kwakiwango ambacho sio sawa kwa mwili wa binadamu au kwa kuchanganya na vitu vingine lazima iwe sumu. Hao watu sio wakemia hivyo wanachotengeneza hakijathibitishwa kuwa halali kwa matumizi ya binadamu na mamlaka husika za kitaalamu.
Imagine mimi nataka ninywe konyagi yangu safi tu kumbe kuna mhuni kama Maghayo kaimix kikemia kemia janja janja hapo ghetoni kwake kumbe ni sumu.
Huyo ana tofauti gani na muuaji?
Ndo imeshakuwa, ila dah! Hiyo adhabu imewakandamiza mno au unasemaje broo.Hiyo ajali kazini mkuu
Watu wanaua watu wasaidiwe nenda pale muhimbili ukaone watu wenye shida za figo kufailKwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Wahalifu wakifungwa,mnalalamika,wakiaachiwa bado mnalalamika ,hata sijui watanzania mnataka nini hasa mbona kama mnatuchanganya sana!!??Ndo hukumu ya maisha jela. Naona zimetumika hisia zaidi
Hiyo adhabu wanastahili, binafsi naona hawajaonewa. Adhabu ambayo huwa sikubaliani nayo ni kifo tu kwa kosa lolote.Ndo imeshakuwa, ila dah! Hiyo adhabu imewakandamiza mno au unasemaje broo.