The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ulaya ipi unayoiongelea hapa? unajua kua kitendo chao hicho kinahatarifa afya za watumiaji?Kwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Hiyo ni criminal offence of forgery,inawezekana kabisa kuna watu wanateseka na maradhi au wengine wameshakufa kwa kunywa hizo pombe fake.