Watatu jela maisha kwa kukutwa na kemikali za kutengeneza ‘Smart Gin’, ‘Double Kick’

Watatu jela maisha kwa kukutwa na kemikali za kutengeneza ‘Smart Gin’, ‘Double Kick’

Nikweli Kuna NGO moja ya mzungu inalea watoto yatima na wenye Maisha magumu..

Siku moja Yule mfadhili mzungu alitembelea kituo alipo kua ameacha mkoba mle ofisin ikagundulika mtoto mmoja akaiba pesa kwenye ule mkoba

Baada ya kufanya msako mtoto mmoja akagundulika ndie Alie chukua zile pesa Basi wale walezi waafrika wakaanza kumshambulia kwa bakora na maneno..

Yule mzungu akawakemea wale walezi akamwita mtoto kwa upendo na kumfanya Yule mtoto rafiki na alipo ondoka akamwachia pesa na Mara kwa Mara akawa anamfuatilia maendeleo yake tangia siku hiyo..

Wenzetu hupenda kutumia Positive punishment Ila kina sisi waafrika Ni mwendo wa negative punishment
😂😂😂 Mi jana nimechapa dogo hapa mambo hayo hayo...
Mtu anafanya mambo kwa kujirudia huku sio ulaya..

Vitoto vya kule vinaweza elewa mara moja huku kwetu leo unamwambia asirudi hom sa 2..

Kesho ataacha baada ya week mziki ule ule .. ukisema utumie positive punishment atakuona na wewe zwazwa....

Ni fimbo tuuu na adhabu kali ili akili ikae sawa
 
Pombe isiyokuwq na viwango vya ubora ni sawa na kuwapa watu sumu Kwa makusudi Ili kujineemesha
Trust me Kuna bidhaa nyingi fake kuanzia mafuta ya kula ,kuku broiler, mavyakula na mavinywaji ya kiwandani mengine yame expired na wanabadilisha expired date
Mpaka madawa ya binadamu wanabadilisha expired date ie. Kuna mtu alikamatwa kahama
 
Sema wakemia wamekamatwa kizembe sana..
Nahisi walijisahau hao....😁😁😁🚬🚬

Watalamu wapo kibao.. hajira hakuna unazani matokeo yake ni nini....
.hainaga vipimo chuki chuki
 
😂😂😂 Mi jana nimechapa dogo hapa mambo hayo hayo...
Mtu anafanya mambo kwa kujirudia huku sio ulaya..

Vitoto vya kule vinaweza elewa mara moja huku kwetu leo unamwambia asirudi hom sa 2..

Kesho ataacha baada ya week mziki ule ule .. ukisema utumie positive punishment atakuona na wewe zwazwa....

Ni fimbo tuuu na adhabu kali ili akili ikae sawa
Sawa mchape fimbo kiasi Ila usizidishe mkuu usimpe CORPOLAR PUNISHMENT 😊
Kwa sisi waafrika fimbo zinasaidia Sana kutu shape
 
Dah! Kwani NEMBO YA TRA inatunzwa Under Lock and key au ipo-ipo tu hadi wasela wakaipata?
Hiyo hoja ya kumiliki Ethanol bila kibali inafikirisha sana. Hivi nikikutwa na Konyagi (40% ethanol), k-vant (40% ethanol) au vodka(40 -60% ethanol) bila kibali nitashtakiwa? au spiriti (ethanol + methanol 95-100%) ya kuwashia karabai au kusafishia kidonda changu ni makosa?
Sijui hata nianzie wapi lakini niwaombe tu wataalam wasomi TLS wakishirikiana na LHRC kwa huruma zao kama inawezekana waokoe jahazi kama ilivokuwa kwa yule mama aliyekutwa na kilo 12 tu za nyama pori huko Iringa akahukumiwa 22 yrs gerezani. Hawa ndugu wataozea jela simply kwa kukosa mtetezi. Mungu atawabariki.
sio kila kitu unaweza tu kumiliki kama korodani mkuu vitu vingine ni process lazina zifuatwe ukikutwa na nyara za serikali(stika) bila kibali lazima upakatwe ukikutwa na materials ambayo jamuhuri imeyaainisha kama hatari (raw ethanol) bila kibali jua umepakatwa yaan api wahuni kesi yao haijatofautiana na aliekutwa na kichwa cha twiga na bunduki isio na usajili , sheria imekaa wima inakusubir unase na nyie mnaopenda kutumia common sense kwenye mambo ya kisheria ndio huwaga mnanyongwa mapema
 
Sawa mchape fimbo kiasi Ila usizidishe mkuu usimpe CORPOLAR PUNISHMENT 😊
Kwa sisi waafrika fimbo zinasaidia Sana kutu shape
Kuna mda wa positive punishment mkuu nakubali..

Mfano mtoto unapoona ameanza mambo ya ajabu 🌈mybe hapo uwezi ukakimbilia kupiga direct...

Utakaa chini utamfundisha utamuelekeza na mambo mengine yataendelea..

Ila kwa ishu zingine bila fimbo hawa vichwa ngumu... Japo kuna vipimo tunazingatia
 
Trust me Kuna bidhaa nyingi fake kuanzia mafuta ya kula ,kuku broiler, mavyakula na mavinywaji ya kiwandani mengine yame expired na wanabadilisha expired date
Mpaka madawa ya binadamu wanabadilisha expired date ie. Kuna mtu alikamatwa kahama
Nakazia hoja. Hapo inaelekea Kuna kitu nyuma ya pazia kwa Polisi, Hakimu na Adhabu waliyopewa hawa jamaa.
 
Kuna mda wa positive punishment mkuu nakubali..

Mfano mtoto unapoona ameanza mambo ya ajabu 🌈mybe hapo uwezi ukakimbilia kupiga direct...

Utakaa chini utamfundisha utamuelekeza na mambo mengine yataendelea..

Ila kwa ishu zingine bila fimbo hawa vichwa ngumu... Japo kuna vipimo tunazingatia
Upo sahihi lakini nikinukuu "Ila kwa ishu zingine bila fimbo hawa vichwa ngumu... Japo kuna vipimo tunazingatia" kwa kesi ya hao jamaa Je, hii ni mara ya ngapi walishakutwa na kosa hilo-hilo na kunywa halafu ndo tuseme hawa ni vchwa ngumu?
Inaonekana dhahiri kwamba adhabu hiyo ni kuwakomoa na imepitiliza kiwango mnoo. Hatukatai wao kuadhibiwa lakini hiyo adhabu ni kali mno na imewanyima nyima walau last chance.
 
Upo sahihi lakini nikinukuu "Ila kwa ishu zingine bila fimbo hawa vichwa ngumu... Japo kuna vipimo tunazingatia" kwa kesi ya hao jamaa Je, hii ni mara ya ngapi walishakutwa na kosa hilo-hilo na kunywa halafu ndo tuseme hawa ni vchwa ngumu?
Inaonekana dhahiri kwamba adhabu hiyo ni kuwakomoa na imepitiliza kiwango mnoo. Hatukatai wao kuadhibiwa lakini hiyo adhabu ni kali mno na imewanyima nyima walau last chance.
Kweli mkuu hao shida wamekosa wakili tu...
 
sio kila kitu unaweza tu kumiliki kama korodani mkuu vitu vingine ni process lazina zifuatwe ukikutwa na nyara za serikali(stika) bila kibali lazima upakatwe ukikutwa na materials ambayo jamuhuri imeyaainisha kama hatari (raw ethanol) bila kibali jua umepakatwa yaan api wahuni kesi yao haijatofautiana na aliekutwa na kichwa cha twiga na bunduki isio na usajili , sheria imekaa wima inakusubir unase na nyie mnaopenda kutumia common sense kwenye mambo ya kisheria ndio huwaga mnanyongwa mapema
Je, ni sheria hiyo hiyo inayoruhusu upande mmoja na kubana kwa wengine? Kama ishu ni kutokuwa na Kibali, Je, adhabu iliyoainishwa ni kifungo cha maisha? Mbona yule mama aliyekamatwa na nyamapori alihukumiwa 22 yrs. Yeye ilikuwaje kwani alikuwa na kibali cha kumiliki hiyo kg. 12 nyama pori?
Huyo Hakimu hakuweza kutumia weledi hata kidogo. Wenye viwanda au TRA wamepata hasara kubwa kiasi gani hata Jamhuri (Polisi na Hakimu) kuona ni halali hao ndg. Wafungwe maisha?
 
Nilijua tu mutu ya kaskazini haikosi katika list, hawa watu ni wametumwa pesa sio kucheka na kima mjini.
 
Sasa hakimu anatakiwa nae ajiongeze, hivi unajisikiaje kutoa hukumu ambayo inakuja kutenguliwa. Unaonekana huna akili wala welidi juu ya taaluma yako. Kuna taalum hutakiwa kuwa unakosea kabisa.
Nyie wenyewe mnaongozwa na hisia mnaangalia walio hukumiwa tuu,hamuangalii madhara walio yatengenez kwenye jamii
 
Back
Top Bottom